Sunday 10 April 2022

Picha : MAPOKEZI YA MAKAMU MWENYEKITI WA CCM KINANA JIJINI DAR ES SALAAM

...
Baadhi ya wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wakishangilia katika hafla ya kumkaribisha Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara Ndg. Abdulrahman Omar Kinana Mkoa wa Dar es Salaam katika ukumbi wa Diamond Jubilee .
Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara Ndg. Abdulrahman Omar Kinana akisalimiana na wazee wa CCM katika hafla ya kumkaribisha Makamu mwenyekiti huyo leo katika ukumbi wa Diamond Jubilee Jijini wa Dar Es Salaam muda huu
Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara Ndg. Abdulrahman Omar Kinana akifurahi jambo na Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mhe.Daniel Chongolo katika hafla ya kumkaribisha Makamu mwenyekiti huyo leo katika ukumbi wa Diamond Jubilee Jijini wa Dar es Salaam muda huu

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger