Thursday 28 April 2022

Dkt. FIMBO : MTUMIAJI WA DAWA ZA KUONGEZA NGUVU ZA KIUME ATAKUFA

...

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) Dkt. Adam Fimbo
**
Mkurugenzi Mkuu wa TMDA Dkt. Adam Fimbo, amesema kwamba watumiaji wa dawa za kuongeza nguvu za kiume wapo kwenye hatari zaidi ya kupoteza maisha kwa sababu dawa hizo hupanua mishipa ya damu.

Dkt. Fimbo, amesema kwamba dawa za kuongeza nguvu za kiume zinaongoza kwa sasa kwa kununuliwa zaidi kwenye maduka makubwa ya dawa nchini.

"Watumiaji wa dawa hizi watakufa kwa sababu zinapanua mishipa ya damu, mishipa ya kichwani ikishapanuka, itapasuka na hivyo mtumiaji wa dawa hizi atakufa tu,"amesema Dkt. Fimbo.

Chanzo - EATV
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger