Sunday 28 November 2021

Ngoma Matata ya Walevi : MSANII MEZA - WALWA

...


Kama kawaida ya Malunde1 blog kukuweka karibu na wasanii wa nyimbo za asili.Leo ninayo ngoma mpya kali ya asili kutoka kwa msanii wa Nyimbo za asili Meza kutoka Ilola Shinyanga vijijini inaitwa 'Walwa' (pombe).


Wimbo huu ni maalumu kwa walevi,umetengenezwa katika studio za Passmedia zilizopo mjini Kahama mkoani Shinyanga.


Tazama ngoma hii ya walevi hapa chini..ni balaa sana
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger