Jeshi la Uganda limeanzisha mashambulizi ya pamoja ya anga na ardhini dhidi ya kundi la waasi la Allied Democratic Forces -ADF, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
Msemaji wa Jeshi la Wananchi wa Uganda Brigedia Jenerali Flavia Byekwaso amethibitisha hayo kupitia akaunti yake rasmi...
Tuesday, 30 November 2021
NIC KUDHAMINI MBIO ZA UDSM MARATHON 2021

Mkurugenzi wa Masoko na Huduma kwa Wateja (NIC), Bw.Yessaya Mwakifulefule Mkurugenzi wa UDSM Marathon Bi.Lulu Kaaya wakionesha jezi ambayo itatumika katika mbio za UDSM Marathon ambazo zinatarajia kufanyika Disemba 4,2021 Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Masoko na Huduma kwa Wateja (NIC),...
CHUO CHA UONGOZI WA MAHAKAMA LUSHOTO CHAPONGEZWA KUWA NI KISIMA CHA UTOAJI MAFUNZO KWA WATUMISHI WA MAHAKAMA
Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mhe. Mustapher Siyani akifungua mafunzo elekezi ya siku tano yanayowashirikisha Naibu Wasajili na Watendaji wa Mahakama ambayo yanafanyika katika Chuo cha Uongozi wa Mahakama Lushoto (IJA).
Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Prof. Elisante Ole...
REA YAVUKA MALENGO KUWAFIKIA WANANCHI VIJIJINI

Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mhandisi Hassan Saidy (katikati) akizungumza na waandishi wa habari katika Ofisi za Wizara ya Nishati leo Novemba 30,2021 Jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mhandisi Hassan Saidy akisisitiza jambo mbele ya...
Balozi Mulamula Akutana Na Waziri Wa Mambo Ya Nje Wa China
Na mwandishi wetu, Dakar
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Liberata Mulamula amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa China Mhe. Wang Yi jijini Dakar nchini Senegal.
Katika mazungumzo yao viongozi hao wameelezea kuridhishwa kwao na ushirikiano...
Infinix Kuja na Toleo Jipya lenye ukubwa mara mbili zaidi ya matoleo ya awali.....Bofya Hapa Kujua Zaidi
Je ni kweli baada ya Infinix Zero X pro sasa kampuni ya simu za mkononi Infinix kuja na simu ya kwanza kwenye toleo la NOTE kuwa na ukubwa mara mbili zaidi ya matoleo ya awali ya NOTE?
Hivi punde picha yenye muonekano wa simu ikiwa imeandikwa ‘THE NEXT NOTE PLAY BIG’ imeonekana kuvuja...
DC KIBAHA AIPONGEZA TBS KUTOA MAFUNZO KWA WAJASIRIAMALI WA MAZIWA KATIKA MKOA WA PWANI

Mkuu wa Wilaya ya Kibaha Mhe. Sara Msafiri akifungua mafunzo kwa wajasiriamali wasindikaji, wasambazaji na wauzaji wa maziwa na bidhaa za maziwa wilayani Kibaha Mkoani Pwani.
Mkuu wa wilaya ya Kibaha Mhe Sara Msafiri (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa mafunzo kwa wadau...
Chuo Cha Ardhi Morogoro Chatakiwa Kuweka Mikakati Kukamilisha Urasimishaji Makazi
Na Munir Shemweta, WANMM MOROGORO
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula amekitaka Chuo cha Ardhi Morogoro (ARIMO) kujipanga na kuhakikisha kinamaliza kazi ya urasimishaji makazi katika maeneo waliyopewa kazi hiyo.
Hatua hiyo inafuatia Naibu Waziri Dkt Mabula kuelezwa...
Technical Advisor at Good Neighbors
Technical Advisor (TA) Terms of Reference (ToR) for Technical Advisor of KOICA – Enhancing Quality of Secondary School Education through a Holistic Approach in Zanzibar, Tanzania (EQSSE-Z) Project Description Enhancing the Quality of Secondary School Education in Zanzibar (EQSSE-Z) project is a fouryear project (2021-2024), with the expected outcomes of: Better teaching and...
Business Planning and Analytics Manager at NBC
Business Planning and Analytics Manager NBC is the oldest serving bank in Tanzania with over five decades of experience. We offer a range of retail, business, corporate and investment banking, wealth management products and services. Job Summary This role requires the holder to work closely with the Head of CIB & BB […]
This post Business Planning and Analytics Manager at...
SEKTA ZA MIFUGO SMT NA SMZ ZAWAWEKEA MIKAKATI YA MAENDELEO WAFUGAJI WA PANDE ZOTE MBILI

Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo), Amosy Zephania akifungua rasmi kikao cha ushirikiano kati ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (SMT) na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) kwa Sekta za Mifugo kilichofanyika Chakechake Pemba ambapo kikao hicho kilitanguliwa na...
IP & VAS Networks at Vodacom
Specialist: IP & VAS Networks At Vodacom, we’re working hard to build a better future. A more connected, inclusive and sustainable world. As a dynamic global community, it’s our human spirit, together with technology, that empowers us to achieve this. We challenge and innovate in order to connect people, businesses, and communities […]
This post IP & VAS Networks at Vodacom...
Key Account Manager-VGE at Vodacom
Key Account Manager-VGE At Vodacom, we’re working hard to build a better future. A more connected, inclusive and sustainable world. As a dynamic global community, it’s our human spirit, together with technology, that empowers us to achieve this. We challenge and innovate in order to connect people, businesses, and communities across the […]
This post Key Account Manager-VGE at...
Waziri Mchengerwa Awataka Watumishi Wa Umma Kuacha Kiburi Na Majivuno Wanapotoa Huduma Kwa Wananchi
Na. Veronica E. Mwafisi-Arusha
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Mohamed Mchengerwa, amewataka Watumishi wa Umma nchini kuacha kiburi na majivuno pindi wanapotoa huduma kwa wananchi kwani mishahara wanayolipwa na Serikali inatokana na kodi...
Senior Business Analyst at CRDB
Senior Business Analyst JOB REPORTING TO: Senior Manager Business Performance & Revenue Assurance JOB PURPOSE Responsible to ensure that revenue collection mechanisms are reviewed and monitored to help businesses identify system loopholes, errors, transaction errors, process weaknesses that could affect income collected from a transaction. To put in place systems and processes...
Zonal Relationship Manager; Channels Performance at CRDB
Zonal Relationship Manager; Channels Performance Job Reporting To: Zonal Business Manager (Administratively), Manager Agents Performance (Functionally) Job Purpose: To grow and retain a portfolio of Bank Channel’s Business including management of performance for agents, Merchant and ATMs as part of channel Distribution of the zone through relationships by performing both a pro- and re-active...
Mashirika Ya Kigeni Yazidi Kuvutiwa Kuwekeza Katika Sekta Ya Nishati Tanzania
Na Dorina G. Makaya - Dar-es-Salaam.
Idadi ya mashirika ya kigeni yanayovutiwa kuwekeza katika sekta ya Nishati nchini yameendelea kuongezeka ikiwemo katika sekta ndogo ya umeme na nishati Jadidifu.
Waziri wa Nishati, Mhe. January Makamba, tarehe 29 Novemba, 2021, amekutana na Meneja Mkuu...
Business Support Assistant (Fleet Manager) G4 at WFP
Business Support Assistant (Fleet Manager) G4 WFP seeks candidates of the highest integrity and professionalism who share our humanitarian principles. Selection of staff is made on a competitive basis, and we are committed to promoting diversity and gender balance. ABOUT WFP The United Nations World Food Programme is the world’s largest humanitarian agency fighting […]
This post Business...
VAM Officer NOB at WFP
VAM Officer NOB WFP seeks candidates of the highest integrity and professionalism who share our humanitarian principles. Selection of staff is made on a competitive basis, and we are committed to promoting diversity and gender balance. ABOUT WFP The United Nations World Food Programme is the world’s largest humanitarian agency […]
This post VAM Officer NOB at WFP...
Programme Policy Officer – Food Systems & Market Accessat WFP
Programme Policy Officer – Food Systems & Market Access WFP seeks candidates of the highest integrity and professionalism who share our humanitarian principles. Selection of staff is made on a competitive basis, and we are committed to promoting diversity and gender balance. Job Title: Programme Policy Officer- Food Systems & Market Access: P4 Type of […]
This post Programme Policy...
Key Account Manager-VGE at Vodacom
Key Account Manager-VGE At Vodacom, we’re working hard to build a better future. A more connected, inclusive and sustainable world. As a dynamic global community, it’s our human spirit, together with technology, that empowers us to achieve this. We challenge and innovate in order to connect people, businesses, and communities across the world. […]
This post Key Account Manager-VGE at...
MESSI ANYAKUA TUZO YA BALLON D'OR 2021
*************************
NA EMMANUEL MBATILO
Mchezaji wa klabu ya PSG ya nchini Ufaransa na timu ya taifa ya Argentina Lionel Messi amefanikiwa kunyakua tuzo ya Ballon D'or kwa mwaka 2021 mbele ya mpinzani wake Robert Lewandowski ambaye ameibuka mshindi wa pili kwenye kinyang'anyiro hicho.
Wachezaji...
Monday, 29 November 2021
TBS WAMETOA MAFUNZO YA UDHIBITI WA SUMUKUVU KWENYE MAHINDI NA KARANGA WILAYANI KONGWA

Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Mhe. Remidius Mwema Emmanuel akifungua mafunzo ya udhibiti wa sumukuvu kwenye mahindi na karanga pamoja na bidhaa zake wilayani Kongwa Jijini Dodoma.
Baadhi ya washiriki wa mafunzo ya udhibiti wa sumukuvu kwenye mahindi na karanga pamoja na bidhaa zake wilayani Kongwa wakisikiliza...