Friday, 4 July 2014
STORI KAMILI: KUHUSU SHEKH ALIJERURIWA NA BOMU ARUSHA MDA WA KULA DAKU
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Kuhusu shekh wa Arusha aliyejeruhiwa wakati anakula Daku.
Kutoka
Arusha taarifa ambayo imetangazwa kupitia Leo tena ambayo imetolewa
kama breaking news ni kuhusu Sheikh wa msikiti wa Qiblatan Sood Ally
Sood (37) uliopo eneo la Kilombero
Kuhusu shekh wa Arusha aliyejeruhiwa wakati anakula Daku.

WAFUNGAJI BORA HADI MDA HUU -KOMBE LA DUNIA HAWA HAPA
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Wanaoongoza kwa mabao mpaka leo;3-Thomas MUELLER-Ujerumani
Robin VAN PERSIE-Uholanzi
Arjen ROBBEN-Uholanzi
2-Karim BENZEMA-Ufaransa
Mario MANDZUKIC-Ujerumani
Tim CAHILL-Australia
NEYMAR-Brazili
GERVINHO-Ivory Coast
James RODRIGUEZ-Colombia
HAYA NDIO MAJESHI YENYE NGUVU ZAIDI DUNIANI-HUKU MAREKANI IKIONGOZA KUWA IMARA ZAIDI
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
HAYA NDIO MAJESHI YENYE NGUVU ZAIDI DUNIANI
1. US Navy SEAL
2. British SAS
RATIBA KOMBE LA DUNIA-ROBO FAINALI JULY 04 2014
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
KOMBE
LA DUNIA
RATIBA

ROBO
FAINALI
IJUMAA,
JULAI 4, 2014
|
|||
SAA
|
MECHI
|
KUNDI
|
UWANJA
|
1900
|
France
v Germany [57]
|
ROBO
FAINALI
|
Estadio
do Maracanã, Rio de Janeiro
|
2300
|
Brazil
v Colombia [58]
|
ROBO
FAINALI
|
Estadio
Castelão, Fortaleza
|
JUMAMOSI,
JULAI 5, 2014
|
|||
SAA
|
MECHI
|
KUNDI
|
UWANJA
|
1900
|
Argentina
v Belgium [59]
|
ROBO
FAINALI
|
Nacional,
Brasilia
|
2300
|
Netherlands
v Costa Rica [60]
|
ROBO
FAINALI
|
Arena
Fonte Nova, Savador
|
NUSU
FAINALI
JUMANNE,
JULAI 8, 2014
|
|||
SAA
|
MECHI
|
KUNDI
|
UWANJA
|
2300
|
Mshindi
57 v Mshindi 58 [61]
|
NUSU
FAINALI
|
Estadio
Mineirão, Belo Horizonte
|
JUMATANO,
JULAI 9, 2014
|
|||
SAA
|
MECHI
|
KUNDI
|
UWANJA
|
2300
|
Mshindi
59 Mshindi 60 [62]
|
NUSU
FAINALI
|
Arena
Corinthians, Sao Paulo
|
MSHINDI
WA TATU
JUMAMOSI,
JULAI 12, 2014
|
|||
SAA
|
MECHI
|
KUNDI
|
UWANJA
|
2300
|
Aliefungwa
61 v Aliefungwa 62
|
MSHINDI
WA 3
|
Nacional,
Brasilia
|
FAINALI
JUMAPILI,
JULAI 13, 2014
|
|||
SAA
|
MECHI
|
KUNDI
|
UWANJA
|
2200
|
Mshindi
Mechi 61 v Mshindi Mechi 62
|
FAINALI
|
Estadio
do Maracanã, Rio de Janeiro
|
TANGAZO BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA-KWA WATAHINIWA KIDATO CHA SITA 2015
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

TANGAZO
BARAZA
LA MITIHANI LA TANZANIA
Baraza
la Mitihani la Tanzania linapenda kuwatangazia watu wote wanaotaka
kufanya Mtihani wa Kidato cha Sita (ACSEE) mwezi, Mei
2015 kama Watahiniwa wa Kujitegemea kwamba kipindi cha usajili
kilianza rasmi tarehe 1
Julai, 2014 hadi
tarehe
30 Septemba, 2014
kwa ada ya Shilingi 50,000/=.
Aidha kuanzia tarehe 1
Oktoba, 2014 hadi
tarehe 31
Oktoba, 2014
waombaji watajisajili kwa ada ya Shilingi 65,000/-
(ada pamoja na faini).
JIJINI MBEYA: KIJANA APEWA ADHABU YA KUTUNDIKWA KWENYE MTI BAADA YA KUKUTWA ANAIBA FUNGUO ZA DALADALA KATIKA GARAGE MOJA SOWETO.
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Kijana
huyo ambaye hajajulikana jina kwa Mara moja akiwa ametundikwa katika
mti baada ya kukamatwa anaiba funguo za magari katika Garage moja
Soweto.
ROBO FAINALI KOMBE LA DUNIA:TAKWIMU MBALIMBALI ZA KOMBE LA DUNIA KABLA YA MECHI ZA ROBO FAINALI
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Hatua ya
robo fainali ya kombe la dunia inaendelea leo. Saa 1:00 usiku kwa saa za
Afrika mashariki, Ufaransa watachuana na Ujerumani.
Saa 5:00 usiku, wenyeji Brazil watakuwa kibaruani dhidi ya Colombia.
Kfikia sasa hizi ndio takwimu muhimu za kombe la dunia mwaka 2014, nchini Brazil.
Kufikia sasa mpaka michezo 56 kati ya 64 imekwishachezwa,
Takwimu muhimu mpaka sasa,
Mfungaji
bora anayeongoza akiwa ni James Rodrguez wa Colombia mwenye mabao
matano, huku Neymar, Lionel Messi na Thomas Muller wa Ujerumani
wakifuatia wakiwa na mabao manne kila mmoja.
BIFU ZITO BONGO MUVI-JOHARI Vs CHUCHU HANS, TIDVs RAY C
HUYU HAPA LULU TENA NA KITUKO KINGINE
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

GAUNI alilovaa msanii wa filamu Bongo, Elizabeth Michael hivi karibuni alipokuwa kwenye hafla ya utoaji wa Tuzo za Watu limeonesha kuwatega wanaume hasa wakware kufuatia kuuanika ‘upaja’ wake.
GAUNI alilovaa msanii wa filamu Bongo, Elizabeth Michael hivi karibuni alipokuwa kwenye hafla ya utoaji wa Tuzo za Watu limeonesha kuwatega wanaume hasa wakware kufuatia kuuanika ‘upaja’ wake.
Thursday, 3 July 2014
Huyu ndie Mwigulu Nchemba Akiweka Siasa Pembeni ni Mwelewa na Mjuzi wa Mambo
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Kwa muda mrefu nilikuwa nikimuona Mwigulu bungeni na michango yake,
nilikuwa nimeshamuweka kwenye kundi la watu wazandiki, wafitini,
wahafidhina, mchochezi na vitu vingine kama hivyo. Leo nimemsikia
kupitia Clouds Fm nimependa ufafanuzi wake kuhusu kukopa na kulipa
MATUKIO KATIKA PICHA:WANAFUNZI WA SUA WAKIWA KATIKA PILIKA PILIKA ZA MITIHANI YA UE JULY 2014
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Wanafunzi wa chuo kikuu cha sokoine
kilichopo mjini morogoro ambao wanaendelea na mitihani yao ya mwisho wa muhula
wa pili(2ND SEMI ESTER)
Wamekutwa na kamera yetu ilikuwa ikipita maeneo mbalimbali chuoni hapo
kwa ajili ya kuangalia hali ya wanafunzi hao wawapo kwenye mitihani yao hiyo ya
mwisho.
Hawa ni wanafunzi wa kozi ya engineering iliyopo
chuoni hapo wakiwa
katika discussion ya kwa ajili ya maandalizi ya mitihani yao.
( picha na innocent the-blogger)
katika discussion ya kwa ajili ya maandalizi ya mitihani yao.
( picha na innocent the-blogger)
TAHADHARI KWA WAOMBAJI WA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU KUHUSU KUZUKA KWA GENGE LA MATAPELI WANAODAI FEDHA KUTOKA KWA WAOMBAJI MIKOPO
BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU
HIGHER EDUCATION STUDENTS’ LOANS BOARD

Plot No. 8, Block No. 46, Sam Nujoma Road, Mwenge; P.O. Box 76068, Dar es Salaam, Tanzania
Tel: (General) +255 22 2772432/2772433; Fax: +255 22 2700286; E-mail: info@heslb.go.tz Website: www.heslb.go.tz
TAHADHARI KWA WAOMBAJI WA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU KUHUSU KUZUKA KWA GENGE LA MATAPELI WANAODAI FEDHA KUTOKA KWA WAOMBAJI MIKOPO
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu inapenda kuwatahadharisha waombaji wa mikopo na umma kwa ujumla, juu ya kuibuka kwa genge la matapeli wanaowalaghai wananchi ambapo hujitambulisha kuwa wao ni wafanyakazi wa Bodi ya Mikopo.
HIGHER EDUCATION STUDENTS’ LOANS BOARD
Plot No. 8, Block No. 46, Sam Nujoma Road, Mwenge; P.O. Box 76068, Dar es Salaam, Tanzania
Tel: (General) +255 22 2772432/2772433; Fax: +255 22 2700286; E-mail: info@heslb.go.tz Website: www.heslb.go.tz
TAHADHARI KWA WAOMBAJI WA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU KUHUSU KUZUKA KWA GENGE LA MATAPELI WANAODAI FEDHA KUTOKA KWA WAOMBAJI MIKOPO
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu inapenda kuwatahadharisha waombaji wa mikopo na umma kwa ujumla, juu ya kuibuka kwa genge la matapeli wanaowalaghai wananchi ambapo hujitambulisha kuwa wao ni wafanyakazi wa Bodi ya Mikopo.
RATIBA NA MPANGILIO WA KADA ZA USAILI WA MCHUJO TAREHE 5 JULAI 2014 SEKRETARIETI YA AJIRA
|
MPANGILIO WA KADA ZA USAILI WA MCHUJO TAREHE 5 JULAI 2014 |
MPANGILIO WA KADA ZA USAILI WA MCHUJO
WAJIRI:-
1. College Of Business Education (CBE)
2. Small Industries Development Organisation (SIDO)
3. Social Security Regulatory Authority (SSRA)
4. Mwalimu Nyerere Memorial Academy (MNMA)
MAHALI: CHUO CHA MWALIMU NYERERE
TAREHE: 05/07/2014
WAJIRI:-
1. College Of Business Education (CBE)
2. Small Industries Development Organisation (SIDO)
3. Social Security Regulatory Authority (SSRA)
4. Mwalimu Nyerere Memorial Academy (MNMA)
MAHALI: CHUO CHA MWALIMU NYERERE
TAREHE: 05/07/2014
MUDA WA KUANZA USAILI
AWAMU YA KWANZA: SAA MOJA KAMILI ASUBUHI
WAHUSIKA:
1.COMPUTER LAB.TECH - CBE
2.T.A. MATHS AND STATISTICS - CBE
3.PRINCIPAL ACADEMIC OFFICER - CBE
4.LINGUISTIC KISWAHILI – MNMA
5.T.A. ECONOMICS – MNMA
6.T.A. PROCUREMENT - MNMA


