Saturday, 5 April 2025

TUME YA MADINI KUENDELEA KUWASAIDIA WASAMBAZAJI NA WAUZAJI BARUTI

Tume ya Madini imesema itaendelea kutoa ushirikiano na kuwasaidia wasambazaji na wauzaji wa baruti nchini ili wafanye shughuli zao kwa mujibu wa Sheria na kanuni za baruti zilizopo. Mkaguzi Mkuu wa Migodi Mhandisi Hamisi Kamando amesema hayo ,Jijini Dodoma wakati akifungua kikao kazi kilichowakutanisha...
Share:

NELSON MANDELA KUNADI TAFITI ZAKE USWISI

Balozi wa Uswisi nchini Mhe. Nicole Providoli ( mwenye suti nyeupe) akipata maelezo kuhusu Kompyuta ya Kuchakata Taarifa kwa kasi kubwa ( HPC) kutoka kwa Afisa Tehama Bw. Mdoe Mwamunyange ( kulia) wakati wa ziara ya kikazi , wa kwanza kushoto ni Makamu Mkuu Taasisi ya Afrika Sayansi na Teknolojia...
Share:

MASHINDANO YA KATAMBI U-17 CUP YAHITIMISHWA KWA KISHINDO! KATUNDA FC MABINGWA

Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Julius Mtatiro akikabidhi zawadi ya fedha kwa washindi wa mashindano hayo. Na Marco Maduhu,SHINYANGA MSHINDANO ya Katambi U-17 CUP yametamatika rasmi,huku Timu ya Katunda FC wakiibuka washindi wa michuano hiyo,baada ya kuifunga Busulwa Sec kwa mikwaju ya penati,na...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger