Thursday, 10 April 2025
JAMII IBADILI MITAZAMO UKATILI WA KIJINSIA : DKT. JINGU
Wednesday, 9 April 2025
NIMEBAINI SIRI NZITO KATI YA MKE WANGU NA BOSI WANGU!

Hili ni suala ambalo lilighubikwa na usiri mzito ajabu, ila kwa uwezo wa Kiwanga Doctors ndipo nilipobaini mbinu hiyo chafu ya Bosi wangu, nakumbuka nafiki yangu mmoja alinipa namba ya mtaalamu huyo na kuniambia anaweza kumfunga mke wangu asiweze kutoka nje ya ndoa.
Nilifika ofisini kwa Kiwanga Doctors huko Migori nchini Kenya, alinipatia dawa na kuanza kuzitumia, niliendelea na shughuli zangu, wakati huo Bosi wangu alikuwa kila mara ananipa safari nyingi za kikazi ili apate muda wa kuendelea kumshawishi mke wangu.
Hata hivyo, mke wangu hakujua kama nimemfunga, wala Bosi wangu hakujua hilo, hivyo nilipokuwa napata safari za kikazi nilikuwa na amani tele na furaha zaidi hasa kutokana na kuongezeka ka fedha ambayo nilikuwa napatiwa kama posho ya kujikimu na safari.
Baada ya muda wa miezi kadhaa mke wangu aliniita chumbani na kuniambia Bosi wangu alikuwa akimtongoza na kumwambia anataka kuzaa naye kutokana anaona watoto wetu ni wazuri.
Mke wangu aliniambia kwa muda mrefu alifanya jambo hilo kuwa siri lakini anaona kadiri anavyofanya siri moyo wake unakosa amani kabisa.
Alilia sana na kuniomba msamaha kwa kutunza siri hiyo ya ajabu ambayo ingeweza kumfanya akazaa nje ya ndoa yetu ambayo imedumu kwa miaka nane sasa.
Hadi kufika hapo nikajua kabisa dawa ya Kiwanda Doctors kweli inafanya kazi yake ipasavyo. Kilichokuja kunishangaza ni yule Bosi wangu alikuja kufukuzwa kazi katika mazingira ambayo sikuwahi kuyaelewa hadi sasa na hapo ndoa yangu ikazidi kuwa na usalama zaidi.
Ni watu wengi hadi sasa wamepata uponyaji na furaha kupitia huduma za Kiwanga Doctors ambao unaweza kuwasiliana na kwa namba +254 116469840 au tembelea tovuti yao kwa maelezo zaidi kuhusu huduma zao ambazo zimewasaidia wengi.
MAONESHO YA MADINI MKOA WA LINDI KUFANYIKA JUNI 11 HADI 14, 2025
EVANCE KAMENGE ATANGAZA NIA YA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA NKENGE UCHAGUZI MKUU 2025
Na Lydia Lugakila - Kagera
Evance Kamenge, Mkulima na mchumi kutoka Wilaya ya Missenyi, Mkoani Kagera, ametangaza rasmi nia yake ya kugombea nafasi ya ubunge katika Jimbo la Nkenge katika uchaguzi wa mwaka 2025.
Akizungumza na waandishi wa habari katika Manispaa ya Bukoba, Kamenge amethibitisha kwamba yuko tayari kuwasilisha ombi lake la ridhaa kwa wananchi wa Nkenge.
"Niliwahi kugombea na sasa nataraji kugombea tena mwaka huu 2025," alisema Kamenge.
Kamenge ameeleza kuwa yeye ni sehemu ya mabadiliko na kwamba kuna umuhimu wa kuweka mikakati thabiti ya kuboresha hali ya maisha ya wananchi.
"Mimi ni mkulima na ninaajiri watu, haya ninayoyasema yanatokana na hali halisi ya maisha ya familia yangu," amesema Kamenge.
Mwanasiasa huyo pia amesisitiza kwamba anapokusudia kugombea, anataka kuwa sehemu ya mapinduzi siyo mageuzi.
Amesema kuwa ameona mambo mengi yanapaswa kubadilishwa ili kufikia maendeleo halisi huku akidai kutoridhishwa na hali ya maendeleo katika eneo hilo.
Aidha, Kamenge ameonesha kuwa ana imani kwamba viongozi wa sasa wanapaswa kutekeleza ahadi zao huku akiongeza kuwa anatazamia kuwaambia wananchi ukweli huo wakati atakapokuwa na afya njema.
Kamenge pia amegusia umuhimu wa viongizi kuwa waaminifu katika siasa, akitaja msemo ulioko kwenye kadi yake ya chama chake isemayo "Nitasema kweli daima, fitina kwangu ni mwiko." kauli ambayo imeonesh ya kukazia dhamira yake na kueleza haja ya kuwa na viongozi waaminifu na wanaojali maslahi ya wananchi.
Tuesday, 8 April 2025
WAZIRI DKT.GWAJIMA AAMSHA ARI YA WANAWAKE KUJIUNGA MAJUKWAA YA UWEZESHAJI WANAWAKE KICHUMI

DAWA YA WANAUME WANAOKATAA MIMBA NA KUTELEKEZA WATOTO
Hapo awali mimi nilizalishwa mtoto wa kwanza lakini mwanaume tangia mimba hakuwahi kunihudumia kitu chochote kile na hadi leo sijui yupo wapi mbaka mtoto ana miaka mitano na shule ameanza.
Jambo hilo lilinipa hasira sana na kusema hata akija kumuona sitoongea naye, nitakuwa bubu tu maana haina maana unampa mwanamke ujauzito halafu unatokomea huko kusiko julikana bila kujali kiumbe chako.
Jamani nilikaa nyumbani hadi nafikisha miaka 30, wazazi walinipambania sana pamoja na mwanangu mpaka akawa mkubwa. Lakini nikajikuta nimebeba mimba ya mwanaume mwingine.
Nakawaza mama akijua anaweza kunifukuza, sasa nikawa nafikiria jamani wapi nitaenda?, ndipo nikakimbilia kwa Kiwanga Doctors ambaye alinifanyia dawa (get back your ex lover) ambayo ilinisaidia kumrudisha mtu huyu wa pili kwangu.
Ni kama naye alitaka kunitelekeza nikiwa na hii mimba lakini kwa dawa hizo alirejea kwangu na kuja nyumbani kujitambulisha na kunioa.
Baada ya kujifungua, niliweza kumchukua yule mtoto wangu kutoka kwa wazazi wangu na sasa anaishi naye. Ikiwa unapitia kitu kama hicho, ninakushauri kuwa fika au wasiliana na Kiwanga Doctors.
Tiba zao zinafanya kazi haraka na wanaweza kukusaidia katika changamoto mbalimbali za kimaisha, kuanzia masuala ya uhusiano hadi matatizo ya kiafya kama kuchelewa kupata mtoto na mengine mengi.
Hadi sasa wengine wengi wamepata uponyaji na furaha kupitia huduma zao. Basi wasiliana na Kiwanga Doctors kwa namba +254 116469840 au tembelea tovuti yao.















































