INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
KUELEKEA Uchaguzi Mkuu 2015 utakaofanyika Oktoba 25, mwaka huu, msanii ambaye ni kiongozi wa Kundi la Sanaa la Jakaya Theatre linalorusha mchezo wake kupitia Televisheni ya ITV, Daudi Mponji a.k.a Lazi amerithi mikoba ya aliyekuwa mtunzi wa nyimbo za kuhamasisha za Chama Cha Mapinduzi (CCM), marehemu Kepteni John Komba aliyefariki dunia Februari 28, mwaka huu.
Akizungumza na gazeti hili, Mponji alisema ametunga nyimbo tano ambazo ni Pambazuko, Sema Usiogope, CCM Imeweza, Tumpambe na Mambo Hadharani, zinazokamilisha albam inayokwenda kwa jina la Pambazuko.
KUELEKEA Uchaguzi Mkuu 2015 utakaofanyika Oktoba 25, mwaka huu, msanii ambaye ni kiongozi wa Kundi la Sanaa la Jakaya Theatre linalorusha mchezo wake kupitia Televisheni ya ITV, Daudi Mponji a.k.a Lazi amerithi mikoba ya aliyekuwa mtunzi wa nyimbo za kuhamasisha za Chama Cha Mapinduzi (CCM), marehemu Kepteni John Komba aliyefariki dunia Februari 28, mwaka huu.
Akizungumza na gazeti hili, Mponji alisema ametunga nyimbo tano ambazo ni Pambazuko, Sema Usiogope, CCM Imeweza, Tumpambe na Mambo Hadharani, zinazokamilisha albam inayokwenda kwa jina la Pambazuko.
Kajala Masanja ‘Kay. 


Nguza Vicking Babu Seya, (kulia) na Mtoto wake Papii Nguza.

Wema Sepetu na Nangari.



