Tuesday, 15 July 2014

CHADEMA :YATOA TAARIFA MAALUM YA MWENENDO WA BUNGE LA KATIBA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
 Katibu mkuu wa chama cha demokrasia na maendeleo chadema Dr Wilbrod  Slaa akionyesha kabrasha lenye mambombalimbali ya mikaba kuhusiana na kampuni ya IPTL na Excro Pamoja na taarifa maalum kuhusu mwenendo wa bunge maalum la katiba pia katibu mkuu ameongelea kuhusu mkutano mkuu utakaofanyika hivi
Share:

30 WATWISHWA ZIGO BUNGE LA KATIBA,MBOWE,WEREMA NDANI WENGINE SOMA HAPA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
sittakampeni Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta
Na Mwandishi wetu
15th July 2014

Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta, kwa kushirikiana na Makamu Mwenyekiti, Samia Hassan Suluhu, wameteua wajumbe 30 wa Bunge hilo watakaoshiriki katika kikao cha kamati ya Mashauriano kitafachofanyika Julai 24 na 25 mwaka huu, katika ofisi ndogo za bunge jijini Dar es Salaam.
Share:

TRAFIKI WA KIKE: ATEKWA JIJINI DAR

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY


Alexander Msowoya (35), ambaye ni mkazi wa Chang’ombe, jijini Dar es Salaam, amefikishwa katika Mahakama ya Mwanzo Magomeni akikabiliwa na shtaka la kumteka nyara askari wa kike wa usalama barabarani.

Akiwa anaendesha gari, mshtakiwa huyo anadaiwa kumteka Kostebo Ester katikati ya maeneo ya Tameke na Chang’ombe kabla ya kukamatwa maeneo ya katikati ya Mabibo na Ubungo baada ya msako mkali wa polisi waliokuwa wakitumia redio za upepo.
Share:

EDWARD LOWASSA:AFUNGUKA KUHUSU URAIS 2015,SOMA HAPA UKWELI WOTE



Naipenda Nchi yangu Tanzania, Namwamini Edward Lowassa 2015 kwa haya tu inatosha mimi kumpatia kura yangu pamoja na familia yangu yote 

1. Mwasisi na msimamizi wa Ujenzi shule za Kata zilijegwa jumla ya shule 2000 ndani ya miezi 6 tu ni kasoma leo watoto wa masikini wapo University . 

2. Ujenzi wa Mradi mkubwa wa maji kutoka ziwa Victoria kwenda shinyanga, Tabora na Singida, 
Share:

CCM 2015:SUMAYE AMSHUKIA JANUARI AULIZA NANI HAJAWAHI KUWA KIJANA ADAI KWA KANUNI ZA CCM JANUARI NI MZEE

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
WAZIRI Mkuu wa zamani, Frederick Sumaye, amewashukia wale wanaotumia kete ya umri kuwania urais na kwamba, hawafai kuwa viongozi wa taifa la Tanzania.
Kauli hiyo, inaonekana ni kujibu mapigo ya Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba (40), ya kuwataka wazee wakae pembeni na kuwachia vijana kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao.
Share:

BREAKING NEWZ-MOSHI:AJALI YA MAGARI MAWILI NA PIKIPIKI YAPOTEZA MAISHA YA WATU WAWILI.

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Share:

SOMA MAGAZETI YA LEO JUMANNE TAR.15/07/2014,KUBWA KATIKA MAGAZETI NI TAMKO ZITO KWA KIKWETE

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

3_00f9c.jpg
Share:

RIDHIWANI KIKWETE ATAJA MAJINA II WANAPOTOSHA KUGOMBEA URAIS 2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete ametaja majina 11 ya wanachama wa CCM wanaofaa kuwania urais kurithi kiti cha baba yake, Rais Jakaya Kikwete anayemaliza muda wake mwakani.
Ridhiwani (35), ambaye alishinda kiti cha ubunge wa Jimbo la Chalinze Aprili mwaka huu, alitaja majina hayo katika mahojiano maalumu na gazeti hili yaliyofanyika mjini Dodoma hivi karibuni.
Share:

UKATILI:HOUSEGIRL- MIAKA 8 AJERUHIWA NA BOSI WAKE

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Mtoto Miseto (8), anayedaiwa alikuwa akifanya kazi za ndani kwa mama mmoja aliyejulikana kwa jina la  Mary Jerald mkazi wa Kijiji cha Busurwa, Wilaya ya Rorya, mkoani Mara ameokotwa ufukweni mwa Ziwa Victoria Juni 28, mwaka huu akiwa amejeruhiwa na anayedaiwa ni bosi wake.
Share:

WEMA SEPETU ALIZWA TENA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

KUNA STAA wa sinema za  Bongo na Miss Tanzania 2006, Wema Isaac Sepetu ‘ameingizwa mjini’ na mhariri wa filamu Bongo mwenye asili ya Kiarabu aliyejulikana kwa jina moja la Chidy kwa kuingia mitini na shilingi 5,000,000 alizompa ili azihariri filamu zake mbili lakini kazi haikufanyika.
Share:

Monday, 14 July 2014

KIKOSI CHA TIMU YA DUNIA HIKI HAPA-WORLD CUP 2012 TEAM OF THE TOURNMENT


INNOCENT-THE BLOGGER-BOY


Manuel Neuer (Germany);
Philipp Lahm (Germany),

Share:

WAZIRI GHASIA AFUNGUA MKUTANO WA VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA NGAZI YA TAIFA MJINI MORO

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

picha ya pamoja
WAZIRI wa Tamisemi, Hawa Ghasia, Julai 14, mwaka huu, amefungua mkutano wa Viongozi wa Vyama vya Siasa  vilivyokuwa na usajili wa kudumu ngazi ya Taifa  kujadili maoni ya wadau mbalimbali ya kuboresha kanuni za uchanguzi wa viongozi wa mamlaka za serikali za mitaa unaotarajia kufanyika Oktoba 2014.
Share:

MKE WA WA RIDHIWAN AGAWA MISAADA KWA FAMILIA ZENYE MAHITAJI MUHIMU CHALINZE‏

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Arafa Mohammed Mke wa Mbunge wa Jimbo la Chalinze Mh. Ridhiwani Kikwete (kushoto) akimkabidhi zawadi ya vyombo vya ndani na Tende Mzee Ahmad Ramadhan mmoja wa wazee wa kijiji cha Changarikwa wakati alipotoa zawadi hizo kwa familia zenye mahitaji muhimu katika kata ya Mbwewe jana.
Share:

BRAZIL :FELIPE SCOLARI AACHIA NGAZI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Luiz Felipe Scolari.
KOCHA wa timu ya Taifa Brazil, Luiz Felipe Scolari ametangaza rasmi kuachia nafasi ya ukocha katika kikosi hicho baada ya matokeo mabaya katika michuano ya Kombe la Dunia 2014.
Share:

KILIMANJARO:WATU WAWILI WAHOFIWA KUPOTEZA MAISHA BAADA KUFUNIKWA NA KIFUSI MKOANI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
WATU zaidi ya wawili wanadhaniwa kupoteza maisha baada ya kufunikwa na kifusi wakati wakiendelea na shughuli za uchimbaji wa miamba kwa ajili ya uchongaji wa matofali.
Share:

GERMANY YABEBA KOMBE LA DUNIA,YAIFUNGA ARGENTINA 1-0,LIONE MESSI AWA MCHEZAJI BORA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
                                   GERMANY 1-0 ARGENTINA
kwa mara ya kwanza timu ya taifa ujerumani imetwaa kombe la dunia ikiwa katika ardhi ya  america ya kusini;Ujerumani imetwaa taji hilo ikiwa ni mara ya kwanza tangu 1990.

Pongezi za pekee ziende kwa mshambuliaji Mario Goetze ambae alitokea bench na kufunga goli na kuiwezesha ujerumani  kuongoza kwa ushindi wa goili 1-0 katika dakika ya 113.
Share:

Sunday, 13 July 2014

FOOD SCIENCE WAULA NI BAADA YA, TBS KUPEWA KIBALI CHA KUAJIRI WAFANYAKAZI 200

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

TBS KUPEWA KIBALI CHA KUAJIRI WAFANYAKAZI 200


Serikali  inatarajia kutoa vibali vya kuajiri  wafanyakazi 200 katika Shirika la Viwango Tanzania (TBS) na zaidi ya asilimia 95 ya wafanyakazi hao wataongeza nguvu katika kutayarisha na kusimamia viwango vya ubora. 
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger