Monday, 14 July 2014

BRAZIL :FELIPE SCOLARI AACHIA NGAZI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Luiz Felipe Scolari.
KOCHA wa timu ya Taifa Brazil, Luiz Felipe Scolari ametangaza rasmi kuachia nafasi ya ukocha katika kikosi hicho baada ya matokeo mabaya katika michuano ya Kombe la Dunia 2014.
Share:

KILIMANJARO:WATU WAWILI WAHOFIWA KUPOTEZA MAISHA BAADA KUFUNIKWA NA KIFUSI MKOANI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
WATU zaidi ya wawili wanadhaniwa kupoteza maisha baada ya kufunikwa na kifusi wakati wakiendelea na shughuli za uchimbaji wa miamba kwa ajili ya uchongaji wa matofali.
Share:

GERMANY YABEBA KOMBE LA DUNIA,YAIFUNGA ARGENTINA 1-0,LIONE MESSI AWA MCHEZAJI BORA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
                                   GERMANY 1-0 ARGENTINA
kwa mara ya kwanza timu ya taifa ujerumani imetwaa kombe la dunia ikiwa katika ardhi ya  america ya kusini;Ujerumani imetwaa taji hilo ikiwa ni mara ya kwanza tangu 1990.

Pongezi za pekee ziende kwa mshambuliaji Mario Goetze ambae alitokea bench na kufunga goli na kuiwezesha ujerumani  kuongoza kwa ushindi wa goili 1-0 katika dakika ya 113.
Share:

Sunday, 13 July 2014

FOOD SCIENCE WAULA NI BAADA YA, TBS KUPEWA KIBALI CHA KUAJIRI WAFANYAKAZI 200

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

TBS KUPEWA KIBALI CHA KUAJIRI WAFANYAKAZI 200


Serikali  inatarajia kutoa vibali vya kuajiri  wafanyakazi 200 katika Shirika la Viwango Tanzania (TBS) na zaidi ya asilimia 95 ya wafanyakazi hao wataongeza nguvu katika kutayarisha na kusimamia viwango vya ubora. 
Share:

BREAKING NEWZ:MWIMBAJI MWINGINE WA MUZIKI WA INJILI NCHINI AFARIKI DUNIA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY




Zikiwa ni takribani wiki tatu tangu tasnia ya muziki wa injili nchini kumpoteza mmoja wa waimbaji wake marehemu mchungaji Debora Saidi, taarifa ambazo GK imezipata ni kwamba mwimbaji mwingine wa muziki wa injili Orida Njole amefariki dunia mchana wa leo katika hospitali ya Temeke jijini Dar es salaam alikokuwa akipatiwa matibabu.
Share:

MAHUSIANO: HIZI NI DALILI ZA MSICHANA MWENYE MAPENZI KWA MWANAUME JAPO HAWEZI KUSEMA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

 
1 KUONGEA NA KUKAA MUDA MWINGI NA WEWE
 
kama msichana anakupenda hatoichezea nafasi ya kukuona kukaa na kuongea na wewe. Siku zote atatafuta nafasi ya kuongea au kukuona. Unapoongea naye anakuwa makini kukusikiliza na hufurahi kila unachokiongea hata kama hakifurahisha.
Share:

TAFAHDALI KAMA UNAJUA UMEFUNGA USIINGIE HAPA,NI KWA WAKUBWA TU

 


MAMBO MAKUU 4 UNAPOKUWA CHUMBANI
NA MPENZI WAKO
Mambo ya Chumbani hayoooo!!
Fahamu mambo 4 muhimu unayopaswa
kuyazingatia uwapo chumbani na mpenzi
wako mnapotaka kufanya mapenzi
1. WEKEZA MAWAZO YAKO KWA MPENZI
WAKO
Share:

VIDEO MPYA YA PROFESSOR NA DIAMOND WIMBO WA KIPI SIJASIKIA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Msanii wa muziki wa Hip Hop Professor Jay ameanza ku-shoot video ya wimbo ‘Kipi Sijasika’ ambao amemshirikisha msanii Diamond.
Professor Jay akiwa na pingu mkononi na P-Funk akiwa kwenye vazi la jaji
Professor Jay akiwa na pingu mkononi na P-Funk akiwa kwenye vazi la hakimu
Share:

SOMA MAGAZETI YA LEO JUMAPILI TAREHE 13.07.2014-KUBWAA SOMA "KAULI YA MWISHO YA BALALI"

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Share:

HUYU NDIO REFA ATAKAECHEZESHA MECHI YA FAINALI KATI YA GERMANY NA ARGENTINA,SOMA HISTORIA YAKE KISOKA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Nicola Rizzoli amechaguliwa na Fifa kuwa mwamuzi katika mchezo wa fainali - Kombe la Dunia Brazil 2014 kati ya Ujerumani na Argentina.
Howard Webb kutoka England, aliyechezesha fainali ya Kombe la Dunia 2010 Afrika Kusini, aliorodheshwa lakini hakuchaguliwa.
Share:

UHOLANZI YASHIKA NAFASI YA 3 KOMBE OLADUNIA BAADA YA KUISMABARATISHA BRAZIL KWA MAGOLI 3-O

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Wachezaji wa Uholanzi wakipozi na medali zako baada ya kushika nafasi ya tatu Kombe la Dunia 2014.
Share:

Saturday, 12 July 2014

UHAMISHO WA WATUMISHI WA SERIKALI ZA MITAA MWEZI JUNI 2014 -WATUMISHI 3733 WAHAMISHWA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
OFISI YA WAZIRI MKUU 
                 
TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
                                                            TANGAZO:
Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI inatangaza orodha ya Majina 3,733 ya watumishi wa Umma waliohamishwa katika Mamlaka za Serikali za mitaa nchini,Aidha orodha ya watumishi 112 ambao hawakukidhi vigezo vya kuhama nayo imetangazwa.
Share:

MAJINA WANAFUNZI WAPYA KIDATO CHA TANO NA MABADILIKO YA SHULE WALIZOPANGIWA 2014

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
                                                        
KUBADILISHA SHULE NA TAHASUSI KWA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO 2014
Taarifa ya uchaguzi wa wanafunzi wa kuingia kidato cha Tano katika Shule za Serikali na Vyuo vya Ufundi kwa mwaka 2014 ilitangazwa kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI mwezi Juni, 2014. Wanafunzi waliochaguliwa awali walitakiwa kuripoti kuanzia tarehe 10 – 30/7/2014 .
Baada ya taarifa ya Uchaguzi wa wanafunzi kutolewa, baadhi ya wanafunzi/wazazi/walezi wamewasilisha barua za maombi ya kuwabadilishia wanafunzi waliochaguliwa shule na tahasusi au mojawapo ya hivyo. Ofisi ya Waziri Mkuu - TAMISEMI baada ya kupokea imechambua maombi hayo na kubaini kuwa sababu zilizotolewa kwenye baadhi ya maombi hayo zina tija na hivyo kulazimika kuridhia kuwabadilishia shule, tahasusi au vyote kwa pamoja baadhi ya wanafunzi hao.
Share:

MOROGORO :MTOTO AFICHWA UVUNGUNI KWA MIAKA 6

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Wakati jamii ikiwa bado haijasahau mateso aliyoyapata mtoto Nasra Mvungi na kusababisha  kifo chake, tukio lingine la aina hiyo limetokea katika Kijiji cha Matongola, Tarafa ya Magole Wilaya ya Kilosa, baada ya kubainika mtoto wa miaka sita akiwa amefichwa uvunguni mwa kitanda na kufanyiwa vitendo vya kikatili na mama yake mzazi. 
Share:

FIFA :YATAJA WACHEZAJI 10 WANAOWANIA TUZO YA MCHEZAJI BORA WA KOMBE LA DUNIA 2014

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Orodha kamili:
Kiungo wa timu ya taifa ya Argentina, Ángel Fabián Di María Hernández.
Share:

ANGALIA ZIARA YA MH.PINDA UINGEREZA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na mkewe Tunu  (kulia) wakiongozana na Madona Pemba (kushoto) , mtanzania aishie Uingereza kuelekea kwenye ukmbi wa mikutano  ili kuzungumza na watanzania waishio Reading.
Share:

PICHA ZIKIMWONESHA JINI KABULA NA VIMINI RAMADHANI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

STAA wa sinema za Kibongo, Miriam Mjolwa ‘Jini Kabula’ amecharuka baada ya kukosolewa juu ya mavazi ya mitego, vimini, anayovaa ndani ya mwezi wa Ramadhani.
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger