Sunday, 22 June 2014

MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA (TCRA) YAJA NA MBINU YA KUDHIBITI MITANDAO

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

cy
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), inajipanga kuja na mfumo wa kompyuta utakaoratibu taarifa zote zinazopakiwa mtandaoni ili kukabiliana na vitendo vya udhalilishaji vinavyofanywa na watu wasio na maadili ya uandishi wa habari. 
Share:

LOWASSA ATANGAZA"UAMUZI MGUMU"

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Monduli. Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Edward Lowassa ametangaza kuanza kwa hatua za kuyarejesha kwenye Mamlaka za Serikali za Vijiji mashamba 21 ya wawekezaji  yenye ukubwa wa zaidi ya ekari 10,000,  ambayo hayajaendelezwa.
Share:

Mapendekezo ya Kamati za Bunge Maalumu yanayodhoofisha Muungano – 2

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Makala haya ni mwendelezo wa makala yaliyoanza wiki iliyopita. Madhumuni ya makala hizi ni kupitia kamati zote za Bunge Maalumu kiuchambuzi ili kubaini mapendekezo ambayo yanadhoofisha Muungano. Aidha, uchambuzi huu utawawezesha wadau wote katika mchakato wa kuandika Katiba Mpya ya Tanzania ikiwamo wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kuwa na utambuzi wa kina kuhusu Rasimu ya Katiba Mpya.
Kamati namba 1 katika ukurasa wake wa 8 inasema “kiutawala na kimamlaka” Serikali ya Muungano kama ilivyopendekezwa katika Rasimu inatenganishwa na wananchi kwa sababu haihusiki na mambo yanayowagusa wananchi moja kwa moja. Hoja hii ya Kamati haina mashiko na haiakisi uhalisia sasa wa namna Serikali inaevyoenenda kiutawala na kimamlaka, lakini pia huu sio uhalisia wa yaliyomo katika Rasimu ya Katiba Mpya Toleo la Pili.
Share:

VYAMA VYA SIASA TANZANIA VYAIPINGA NEC

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

http://freemedia.co.tz/daima/wp-content/uploads/2014/06/nccr.jpg
Hatua ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuandika upya daftari la kudumu la wapiga kura, imeendelea kupingwa kwamba haijavishirikisha vyama vya siasa nchini kama wadau muhimu.Katika mahojiano na Tanzania Daima Jumapili, Katibu Mkuu wa NCCR – Mageuzi, Mosena Nyambabe, alisema NEC itegemee changamoto nyingi kujitokeza katika mchakato ambao wameupanga na Serikali ya CCM.
Share:

JAHAZI MODERN TAARAB: YAZINDUA ALBAMU MPYA IITWAYO 'CHOZI LA MAMA'

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Meneja wa Jahazi Modern Taarab, Mohammed Rashid Mauji 'Father Mauji' pamoja na shabiki wa Jahazi wakizindua albamu mpya iitwayo Chozi la Mama
Share:

Saturday, 21 June 2014

WIZARA YA AFYA YATANGAZA:MAOMBI YA NAFASI ZA MAFUNZO 2014/2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
                              
 WIZARA YA AFYA INATANGAZA NAFASI ZA MAFUNZO MWAKA WA MASOMO
Share:

MAINDA WA BONGO MUVI AFUNGUKA KUHUSU WANAOHOJI ULOKOLE WAKE

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

www.hypersmash.com/dreamhost/
Share:

ASKARI MAGEREZA WAPO FITI:ANGALIA MAADHIMISHO YA SIKU YA MAGEREZA NCHINI CHUO CHA UKONGA DAR!

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Askari akiwa kabeba tofali linalovunjwa kwa nyundo huku chini kukiwa na kisu.
Share:

DALADALA YAUA DAR

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Kushoto ni gari ndogo aina ya Range Rover ambayo iligongwa na Daladala (kulia) iliyosababisha ajali hiyo
Share:

"MOTO MKUBWA WATOKEA CHUO KIKUU CHA DODOMA (UDOM)", WANAFUNZI WAKOSA AMANI ONA MTUKIO YOTE HAPA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Moto uhuu umezuka  karibu na hostel za mabinti katika skuli ya sanaa na lugha (humanities), chanzo cha moto huo hakijajulikana mpaka sasa..... tutakujuza kadri taarifa zitavyozidi kutolewa.
Share:

VICKY KAMATA AFUNGUKA,AFANYIWA SHEREHE KUBWA SOMA HAPA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

 

BAADA ya kimya kirefu tangu ndoa iliyopagwa kufungwa kati yake na Charles Pai kuyeyuka, Mbunge wa Viti Maalum (CCM) anayewakilisha vijana Mkoa wa Geita, Vicky Kamata ameibuka na kufunguka mambo mengi lakini kubwa ni kwamba, amefanyiwa sherehe.
Mbunge wa Viti Maalum (CCM) anayewakilisha vijana Mkoa wa Geita, Vicky Kamata akiwa Bungeni.
Share:

MCHUNGAJI AFUNGUKA NI KUHUSU FLORA MBASHA NA MUMEWE

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY


 Mbasha akiwa na Pingu.
WAKATI mume wa mwimba Injili Bongo,  Flora Mbasha, Emmanuel Mbasha akiachiwa huru kwa dhamana kufuatia kesi ya kudaiwa kumbaka shemejiye, Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo na Uzima la jijini Dar es Salaam, Josephat Gwajima ameibuka na kunena mazito kuhusiana na sakata hilo, Risasi Jumamosi limesheheni mkobani.
Share:

Friday, 20 June 2014

BREAKING NEWZ:ST.JOSEPH UNIVERSITY TAWI LA ARUSHA WAGOMA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
                                                         

                       HABARI ZILIZOTUFIKIA HIVI PUNDE NI KWAMBA WANAFUNZI WA GHO KIKUU ARUSHA WAMEGOMA KUINGIA DARASANI KWA SABABU YA KUTOKUWA NA FEDHA YA KULA.
Share:

MZEE WA UPAKO AMPA MAKAVU LIVE MCHUNGAJI GWAJIMA ...!

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY


Mzee wa Upako
Kasema Gwajima anafanya hadaa kwa wafuasi wake, kasema kama kweli anafufua misukule, mbona hafufui
Share:

CHEKI FUMANIZI HILI NI KIBOKO

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
KABAANG! Mume aliyejulikana kwa jina moja la Ngosha, mkazi wa Mabibo jijini Dar, amemfumania rafiki yake aitwaye Jazira akiwa chumbani na mkewe Jack wakiivunja amri ya sita ya Mwenyezi Mungu.
Share:

"SHILOLE" ADAIWA KUTAPELI LAKI MBILI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

MUIGIZAJI ambaye kwa sasa amejikita kwenye muziki, Zuena Mohammed ‘Shilole’ amegandwa na madai ya utapeli kufuatia jamaa mmoja aitwaye Samir kuibuka na kudai kuwa, walimpa shilingi laki mbili ili awakodishie madansa kwa ajili ya video yao lakini mpaka sasa anachenga.
Share:

TUMWONE HURUMA:WAKIMBIWA NA MUME WAKE KISA UGONJWA WA SARATANI


INASIKITISHA! Mama mmoja  mkazi Karagwe mkoani Kagera, Josephine
 Domisian (34) ametelekezwa na mumewe aitwaye Dominic baada  ya kupatwa 
na ugonjwa wa  saratani ya kizazi miaka mitatu iliyopita.


 Akizungumza kwa uchungu akiwa katika hospitali ya magonjwa ya Saratani ya
 Ocean Road, jijini Dar mama huyo alisema awali mumewe alikuwa akimnyanyapaa
 kwa kumnyima msaada hata wa chakula, hali iliyosababisha wanakijiji wenzake 
kumsaidia fedha za usafiri wa kumpeleka Dar kwa ajili ya matibabu. “Nilisaidiwa 
 kiasi cha shilingi 150,000 na kufanikiwa kufika hospitalini. Kule nilimuacha mume
 wangu na wanangu wanne, lakini nimepewa taarifa kwamba mume wangu
 amewaacha watoto, sasa wanalelewa na majirani na yeye ameoa mke mwingine.
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger