Showing posts with label NEWS. Show all posts
Showing posts with label NEWS. Show all posts

Saturday 7 December 2019

Form One Selection 2020 Mwanza

Form One Selection 2020 Mwanza Region The List of Selected Candidates is available for each Ward Education Coordinator, Each Board’s Advertising Boards and the Office of the Regional Head Office, Check it here http://Mwanza.go.tz/ Form one selection for the academic year 2020/2021 The following students have been selected to join form one for Mwanza Secondary schools for the… Read More »

The post Form One Selection 2020 Mwanza appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Mwanza Form one selection 2020

Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Mwanza Form one selection 2020 The List of Selected Candidates is available for each Ward Education Coordinator, Each Board’s Advertising Boards and the Office of the Regional Head Office Form one selection for the academic year 2020  The following students have been selected to join form one for Mwanza Secondary schools for the… Read More »

The post Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Mwanza Form one selection 2020 appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Form One Selection 2020 Mkoa wa Morogoro

Form One Selection 2020 – Waliochaguliwa kidato cha kwanza 2020 Morogoro Region for 2020/2021 Morogoro The List of Selected Candidates is available for each Ward Education Coordinator, Each Board’s Advertising Boards and the Office of the Regional Head Office, Check it here http://Morogoro.go.tz/ Form one selection for the academic year 2020  The following students have been selected to… Read More »

The post Form One Selection 2020 Mkoa wa Morogoro appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro Form one selection 2020

Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro Form one selection 2020 The List of Selected Candidates is available for each Ward Education Coordinator, Each Board’s Advertising Boards and the Office of the Regional Head Office Form one selection for the academic year 2020  The following students have been selected to join form one for Singida Secondary schools for the academic… Read More »

The post Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro Form one selection 2020 appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Form One Selection Singida Region for 2020/2021

Form One Selection 2020 Singida The List of Selected Candidates is available for each Ward Education Coordinator, Each Board’s Advertising Boards and the Office of the Regional Head Office Form one selection for the academic year 2020  The following students have been selected to join form one for Singida Secondary schools for the academic year 2020 Form one… Read More »

The post Form One Selection Singida Region for 2020/2021 appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza 2020 Mkoa wa SONGWE

Waziri wa Nchi OR-TAMISEMI Mhe. Selemani Jafo ametangaza wanafunzi waliochaguliwa kujiunga  na Kidato cha Kwanza  mwaka 2020  kuwa ni  701,038 sawa na asilimia 92.27 ya wanafunzi 759,000 waliofaulu.

Bonyeza Hapo Chini Kuona Majina ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza Mkoa wa Songwe   Na Mikoa Mingine



Share:

Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama Singida- Form one selection 2020

Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama Singida- Form one selection 2020 The List of Selected Candidates is available for each Ward Education Coordinator, Each Board’s Advertising Boards and the Office of the Regional Head Office, Check it here http://singida.go.tz/ Form one selection for the academic year 2020  The following students have been selected to join form one for Singida… Read More »

The post Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama Singida- Form one selection 2020 appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Ikungi Singida Form One Selection 2020

Ikungi Singida Form One Selection 2020 The List of Selected Candidates is available for each Ward Education Coordinator, Each Board’s Advertising Boards and the Office of the Regional Head Office, Check it here http://singida.go.tz/ Form one selection for the academic year 2020  The following students have been selected to join form one for Singida Secondary schools for the… Read More »

The post Ikungi Singida Form One Selection 2020 appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

LIVE: Rais Magufuli Akiweka Jiwe La Msingi Ujenzi Wa Daraja La Kigongo Busisi Jijini Mwanza

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli anaweka jiwe la msingi Ujenzi wa Daraja la Kigongo - Busisi lenye urefu wa 3.2 kilometa katika Ziwa Vitoria  litakalounganisha Mkoa wa Mwanza na Geita.


Share:

Form One Selection 2020 Njombe Region

Form One Selection 2020 – Waliochaguliwa kidato cha kwanza 2020 Njombe Region for 2020 Njombe The List of Selected Candidates is available for each Ward Education Coordinator, Each Board’s Advertising Boards and the Office of the Regional Head Office, Check it here http://Njombe.go.tz/ Form one selection for the academic year 2020  The following students have been selected to… Read More »

The post Form One Selection 2020 Njombe Region appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Form One Selection 2020 Songwe Region

Form One Selection 2020 – Waliochaguliwa kidato cha kwanza 2020 Songwe Region The List of Selected Candidates is available for each Ward Education Coordinator, Each Board’s Advertising Boards and the Office of the Regional Head Office, Check it here http://songwe.go.tz/ Form one selection for the academic year 2020  The following students have been selected to join form one… Read More »

The post Form One Selection 2020 Songwe Region appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Mkuchika Atoa ONYO Kwa Watumishi Wa Umma Wanaokaa Na Barua Za Watu Bila Kuwafikishia Wahusika

Na.Faustine Gimu Galafoni,Dodoma
Waziri wa Nchi ofisi ya Rais Menejimenti, Utumishi wa Umma na Utawala bora Kepteni Mstaafu George Mkuchika amewakemea viongozi wa umma wanaokaa na barua za uhamisho wa watumishi bila kuwafikishia wahusika.

Mkuchika ameyasema hayo jijini Dodoma Disemba 6,2019 wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu maandhimisho ya siku ya maadili na haki za binadamu yatakayofanyika Disemba 11,2019 Jijini hapa.

Amesema kuna watu baadhi ya viongozi wanachukua nafasi ya Katibu Mkuu Utumishi kwa kukaa na barua za wafanyakazi wao kinyume cha sheria za utumishi wa umma.

Amesema ili kukabiliana na changamoto hiyo wanapanga kufanya semina kwa viongozi na watumishi wa umma Kuhusu utawala bora na misingi ya maadili.

Mkurugenzi wa idara ya ukuzaji maadili katika Wizara ya Utumishi Fabiani Pokela amesema Serikali inataka taasisi wote ziweke mfumo wa ushughulikiaji wa malalamio ambayo yanatokea kwa wateja mbalimbali yanasababishwa na watumishi wa umma.

Siku ya maadili mwaka huu itafanyika Jijini Dodoma Disemba 11, 2019 ikiwa na kauli mbiu isemayo ‘kuwa maadili katika utumishi wa umma ni nguzo muhimu katika kuimarisha utawala bora na haki za binadamu’.

Mwisho.


Share:

Bodi ya Pamba Tanzania (TCB) yatekeleza agizo la Naibu waziri wa kilimo Hussein Bashe.

SALVATORY NTANDU
Siku chache baada ya Naibu waziri wa kilimo, Husein Bashe kuiagiza bodi ya Pamba Tanzania (TCB) kugawa mbegu za pamba kwa mkopo kwa pamba kwa wakulima wote nchini, hatimaye agizo hilo limeanza kutekelezwa katika wilaya ya mbogwe mkoani Geita.

Mahitaji ya mbegu kwa wilaya ya Mbogwe  ni tani 200 na mbegu ziliyopokelewa ni tani 126.5 kwa AMCOS ambazo zitakopeshwa kwa vyama vya msingi (AMCOS) 35 kwaajili ya msimu wa mwaka 2020.

Akipokea mbegu hizo kwa niaba ya wakulima katika wilaya ya Mbogwe mkoani Geita jana, mkuu wa wilaya ya Mbogwe, Matha Mkupas alisema mbegu hizo zimeletwa kwa wakati muafaka na zitasaidia kuongeza uzalishaji  kwa msimu huu.

“Wakulima walikuwa wamekata tamaa ya kulima zao la pamba kutokana kuuziwa mbegu na kampuni za ununuzi wa pamba lakini baada ya serikali kuagiza zikopeshwe kwa wakulima mwitikio wa ukopaji umekuwa ni mkubwa zaidi”alisema Mkupas.

Mkupas aliwataka viongozi wa vyama vya msingi kuhakikisha mbegu hizo zinawafikia wakulima wote kwa haraka ili kwenda sambamba na msimu wa kilimo ambao umeshaanza sambamba na kudhibiti wakulima kulisha mifugo mbegu hizo kwa msimu uliopita.

Kwa upande wake Mkaguzi wa Pamba wa wilaya ya Mbogwe, Atupele James alisema morali ya wakulima wa pamba kulima zao hilo kwa mwaka huu ilikuwa chini kutokana na kulazimika kununua mbegu kwa sababu baadhi yao bado hawajalipwa fedha.

“Wapo wakulima ambao mpaka sasa bado hawajalipwa fedha zao baada ya kuuza pamba katika msimu uliopita na kampuni zilizonunua mazao yao na kusababisha kushindwa kuendelea na kilimo ila kupatikana kwa mbegu hizi zitawahamasisha kulima”alisema James.

Simon Mtagwa ni mmoja wa wakulima wa pamba katika wilaya ya Mbogwe alisema kucheleweshwa kwa malipo yao baada ya kuuza pamba kumesababisha kushindwa kufanya maandalizi ya msimu mpya wa kilimo kutokana na kushindwa kunua mbegu.

Novemba 29 mwaka huu Naibu waziri wa kilimo Hussein Bashe kwenye kikao cha wadao wa pamba  aliiagiza wakulima  nchini wakopeshwe mbegu ili kwenda sambamba na msimu wa kilimo wa mwaka 2020.

Mwisho.


Share:

Waratibu Elimu Wazembe Kuchukuliwa Hatua Kali Mkoani Songwe

Waratibu Elimu kata na Wasimamizi wa Sekta ya Elimu Mkoa wa Songwe waliobainishwa katika ripoti ya uchunguzi wa hali ya sekta ya Elimu kuwa ni wazembe katika kusimamia maendeleo ya elimu watachukuliwa hatua kali za kinidhamu.

Katibu Tawala Mkoa wa Songwe David Kafulila amesema hayo jana wakati wa kikao na Waratibu Elimu Kata na Maafisa Elimu ili kutathmini maendeleo ya Sekta ya Elimu kwa mwaka 2019 na kupanga mikakati ya kuboresha elimu kwa mwaka 2020.

“Tuliwapa kazi wadhibiti ubora ya kufanya uchunguzi kwanini Mkoa wetu haufanyi vizuri kielimu na ripoti yao imebainisha uwepo wa uzembe wa waratibu elimu Kata katika usimamizi, sasa nitachukua hatua kali kwa waratibu elimu wote wazembe.”, amesema Kafulila.

Kafulila amesema Waratibu Elimu kata wote walisaini Mkataba ambao uliwataka kusimamia Sekta ya elimu na kuhakikisha kiwango cha elimu kinapanda lakini pia serikali imewawezesha posho na usafiri lakini wapo baadhi yao ambao wameshindwa kutekeleza majukumu yao.

“Serikali imewapa posho na Waratibu Elimu Kata lakini baadhi yao wamebainishwa katika ripoti kuwa wanafanya kazi kwa kuogopana na kuendekeza urafiki, hawawachukulii hatua walimu na wakuu wa shule ambao hawatimizi majukumu yao, hao hatuwezi kuwavumilia.”, amesisitiza Kafulila.

Naye Mwenyekiti wa Wadhibiti Ubora wa Elimu Mkoa wa Songwe Mwalimu Jackson Lwafu amesema walitathmini kwanini baadhi ya shule katika Mkoa wa Songwe zimeshuka kielimu na walibaini kuwa usimamizi dhaifu umechangia kwa kiasi kikubwa.

Lwafu amesema endapo wasimamizi wa Elimu Mkoa wa Songwe watatambua majukumu yao na kuyasimamia, maendeleo ya sekta ya Elimu Mkoa wa Songwe yatakuwa mazuri.

Mratibu Elimu Kata ya Mkukwe Wilayani Songwe Mwalimu Judith Mwasoke amesema taarifa ya wathibiti ubora inasikitisha kwakuwa ili kuwe na mafanikio lazima taratibu zifuatwe hivyo suala la kuoneana aibu na kuogopana halifai na waratibu Elimu Kata wenye tabia hiyo waache.

Afisa Elimu wa Halmashauri ya Mji wa Tunduma Mtafya Wilson amesema kwa mwaka 2020 watahakikisha walimu wanafundisha vipindi vyote pamoja na kuwasimamia Waratibu Elimu Kata wanatimiza wajibu wao.

Afisa Elimu Mkoa wa Songwe Juma Japhet Kaponda amesema Matokeo ya darasa la saba mwaka 2019 hali haikuwa nzuri kwakuwa Mkoa ulipanda ufaulu kwa asilimia 1.65 kwa kuwa na ufaulu wa asilimia 75 na Mkoa ukishika nafasi ya 21 ukilinganisha na ufaulu wa mwaka 2018 wa asilimia 73 na nafasi ya Mkoa wa Songwe ilikuwa 17.


Share:

Milioni 11 Zatumika Kulipia kadi za bima ya afya iliyoboreshwa (CHF) Kwa Wazee Kahama

SALVATORY NTANDU
Wazee 2271 katika Halamshauri ya Mji wa Kahama mkoani Shinyanga wamepatiwa kadi za bima ya afya iliyoboreshwa (CHF) ambazo zitawasaidia kupata matibabu bure kwa mwaka mzima na kuondokana kwenda kwa waganga wa kienyeji kutafuta tiba.

Wazee wasiojiweza waliosajiliwa na baraza la wazee la Halmashauri ya mji wa Kahama mkoani Shinyanga ni 6247 na waliopatiwa kadi za CHF ni 2271.

Hayo yalibinishwa jana Mwenyekiti wa Baraza la  wazee wa Halmshauri ya Mji kahama, Willfred Bilago wakati akizungumza na waandishi wa habari mjini kahama  alisema  hapo awali wazee walikuwa wanahangaika kupata matibabu kutokana na kukosa kadi za CHF iliyoboreshwa.

 “Wazee tulikuwa tunaona ni bora kwenda kwa waganga wa kienyeji kutafuta tiba mbadala kuliko kwenda katika hospitali ambapo tulikuwa hatuthamini na wengi wetu walipoteza maisha kutokana huduma hizo zisizokuwa za kitaalamu”alisema Bilago.

Alisema kadi  za CHF zimesaidia wazee wasiojiweza kupata huduma za matibabu ambapo kwa unafuu na haraka kwani katika hospitali ya Halmashauri ya Mji wa kahama kunadirisha la kuhudumia wazee na madaktari maalum kwaajili wao.

 “Tunawaomba wadau,wafanyabiashara,viongozi wadini kusaidia upatikanaji wa kadi za CHF kwa wazee wasiokuwa na waangalizi ili waweze kupata matibabu bure kwani suala hili tukiiachia serikali pekee kwani nasi tunawajibu wa kuwatuza wazee wetu” alisema Bilago.

Nae Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Kahama Abel Shija alisema kuwapatia kadi za CHF wazee katika halmashauri hiyo ni takwa la kisheria hivyo hawana budi kulitekeleza agizo hilo.

kwa mujibu wa sera ya taifa ya  wazee  ya mwaka 2003 inazielekeza halmashauri kuhakikisha haki za wazee waliofikia miaka 60 zinalindwa pamoja na kuwapatia huduma bure za matibabu.

Mwisho.


Share:

Mazingira Ya Uwekezaji Katika Sekta Ya Mifugo Na Uvuvi Yaboreshwa Zaidi

Na. Edward Kondela
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega amesema serikali ya awamu ya tano imefanya kazi kubwa ya kuandaa mazingira ya biashara za ndani ziweze kufanya vizuri zaidi.

Akizungumza jana (06.12.2019) wakati wa mkutano wa mashauriano kati ya serikali, wawekezaji na wafanyabiashara wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Ulega amesema serikali imeweza kudhibiti matumizi ya fedha kununua nyama, maziwa na samaki kutoka nje ya nchi ili kutosheleza soko la ndani.

Akifafanua katika kikao hicho ambacho kimeongozwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji) Mhe. Angellah Kairuki ambaye amekuwa mwenyekiti katika mikutano ya namna hiyo iliyofanyika pia katika mikoa ya Morogoro na Pwani, Mhe. Ulega amesema serikali imekuwa ikitumia takriban Shilingi Bilioni 10 kuagiza nyama kutoka nje ya nchi, Shilingi zaidi ya Bilioni 100 kuagiza samaki na zaidi ya Shilingi Bilioni 50 kuagiza maziwa, kitendo ambacho kwa sasa serikali haitumii fedha hizo tena kuagiza bidhaa hizo kutoka nje ya nchi.

Katika mkutano huo ambao umehusisha mawaziri na naibu mawaziri kutoka zaidi ya wizara 10, Mhe. Ulega amesema serikali imeendelea kuweka mazingira shindani ili kutoa fursa ya uwekezaji katika sekta ya ufugaji na uvuvi, hatua ambayo katika kipindi cha serikali ya awamu ya tano Benki ya Kilimo (TADB) imeweza kupata maombi ya mikopo ya zaidi ya Shilingi Bilioni 90 na kufanikiwa kusajili na kutoa mikopo ya Shilingi Bilioni 25.3 ambapo Shilingi Bilioni 23 kwa ajili ya sekta ya mifugo na takriban Shilingi Bilioni Mbili kwa sekta ya uvuvi ambayo miaka iliyopita haikuwahi kukopeshwa kiasi chochote cha fedha ilhali sekta ya mifugo iliwahi kukopeshwa kiasi kisichozidi Shilingi Bilioni Tisa pekee.

Naibu Waziri huyo ametoa fursa kwa wawekezaji na wafanyabiashara wa Mkoa wa Dar es Salaam wanaotaka kuwekeza katika sekta ya uvuvi kupitia ufugaji wa samaki, ambapo hitaji la samaki kwa mwaka ni Tani 800,000 wakati Tanzania inaweza kuzalisha wastani wa Tani 400,000 hadi 450,000 aidha amewataka pia kuwekeza katika viwanda vya maziwa, nyama na ngozi.

Katika kuhakikisha wanapata miongozo sahihi ya uwekezaji Naibu Waziri Ulega amewataka wadau kutumia Dawati la Sekta Binfasi lililo chini ya wizara hiyo, ili kufahamu juu ya kanuni, miongozo na tozo wakati wa uwekezaji wao.

Mwisho.


Share:

Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Na Kidato Cha Kwanza 2020 Mkoa Wa Njombe

Waziri wa Nchi OR-TAMISEMI Mhe. Selemani Jafo ametangaza wanafunzi waliochaguliwa kujiunga  na Kidato cha Kwanza  mwaka 2020  kuwa ni  701,038 sawa na asilimia 92.27 ya wanafunzi 759,000 waliofaulu.

Bonyeza Hapo Chini Kuona Majina ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza Mkoa wa Kilimanjaro <<BOFYA HAPA>>


Share:

Mdogo wa Marehemu Steven Kanumba, Seth Bosco Afariki Dunia

Mdogo wa Marehemu Steven Kanumba, Seth Bosco amefariki usiku wa kuamkia leo Desemba 07, 2019 nyumbani kwao Mbezi Temboni. Msiba upo Mbezi Temboni kwa mama yake Kanumba.  Abela (Dada wa Marehemu) amethibitisha.

“Mdogo wangu Seth alikuwa anasumbuliwa na uvimbe kwenye uti wa mgongo akafanyiwa upasuaji na tukawa tunamuuguza nyumbani kwa Mama hapa Kimara Temboni, Jana jioni akalalamika maumivu yanazidi tukampeleka Muhimbili akapata afadhali tukarudi nae nyumbani

“Tuliporudi nyumbani kutokea Muhimbili alikuwa yuko vizuri tu, akaomba alale kidogo kisha tumuamshe aangalie TV kuna kipindi anakipenda, akiwa kitandani akafariki, tulikuwa na Daktari nyumbani anasema Seth alipata shida ya kupumua, pumzi zilimuishia

“Mwili wa Seth kwa sasa umehifadhiwa Muhimbili na shughuli zote za Mazishi zinafanyika hapa Kimara Temboni DSM, nyumbani kwa Mama Kanumba” - Amesema Abela (Dada wa Maremu)


Share:

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi Disemba 7



















Share:

Friday 6 December 2019

Kyela Mbeya Form One selection 2020

Kyela Mbeya Form One selection 2020 The List of Selected Candidates is available for each Ward Education Coordinator, Each Board’s Advertising Boards and the Office of the Regional Head Office, Check it here http://Mbeya.go.tz/ Form one selection for the academic year 2020  The following Kyela Mbeya students have been selected to join form one for the academic year… Read More »

The post Kyela Mbeya Form One selection 2020 appeared first on Udahiliportal.com.

Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger