Thursday 20 October 2016

PROF NDALICHAKO:WANAFUNZI WALIOKOSA MIKOPO KUPEWA

...
 View image on Twitter
waziri wa elimu sayansi na teknolojia prof ndalichako amewatupia lawama bodi ya mkopo elimu ya juu kuwa wanafanya kazi kwa mazoea amesema pamoja na kutumia jitiada za kusafisha watumishi bodi hiyo amesema wapo watumishi bado wanafanya kazi kwa mazoea;
 ndalichako amesema ameyasikia malalamiko kutoka kwa wananchi na anayafanyia kazi na amesema wanafunzi wapewe mikopo semista hii kwa mwaka wa kwanza na wote bila kufata mean tested.

amesema lengo la serikali ni kuwapa wote wahitaji amesema na kuiagiza bodi ya mikopo kuwapa kama mfumo wa zamani Pia bodi ya mkopo imekosea kuwapa wanafunzi shilingi elfu tano kwa miezi kama pesa za kujikimu amesema bora kutompa.
source.TBC
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger