INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
TANGAZO
MKUU WA JESHI LA KUJENGA TAIFA (JKT) ANAUTANGAZIA UMMA YA KUWA KWA
SASA HAKUNA MCHAKATO WOWOTE WA UANDIKISHAJI VIJANA WA KUJIUNGA NA JESHI
LA KUJENGA TAIFA KWA "KUJITOLEA" HADI ITAKAPOTANGAZWA.YEYOTE ANAYE
TANGAZA,ANAYEUZA FORM ZA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA...
Sunday, 30 November 2014
BREAKING NEWZ:CHAMA CHA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU WANAOSOMA MASOMO YA FOOD SCIENCE AND HUMAN NUTRITION(TAFONUSA-SUA) CHAFANYA SHEREHE YA KUWAKARIBISHA FIRST YEAR MWAKA WA MASOMO 2014-2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Jana ilikuwa ni siku yenye furaha sana hasa kwa vijana wa kitanzania wanaosoma vyuo vikuu kufanya sherehe ya kuwakaribisha mwaka wa kwanza katika mwaka wa masomo 2014/2015.
Sherehe hiyo iliuzuriwa na mamia ya wanafunzi amabyo ilifanyikia katika hotel moja maarufu iliyopo hapa...
Friday, 28 November 2014
BREAKING NEWS- BUNGE LAAHIRISHWA USIKU HUU BAADA YA VURUGU KUTOKEA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Kumetokea
mtafaruku bungeni Dodoma baada ya kutokea mvutano miongoni wa wabunge
kuhusu viongozi wanaopaswa kuwajibika kutokana na sakata la Escrow.
Baadhi
ya wabunge hususani kutoak vyama vya upinzani wataka wahusika
wawajibishwe ikiwemo kuachia ngazi,huku wale wabunge...
Wednesday, 26 November 2014
Taarifa maalum ya CAG kuhusu IPTL mikononi mwa PAC
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Naibu Spika wa Bunge la Tanzania Mhe. Job Ndugai leo
ameikabidhi Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma
(PAC) taarifa ya Mkaguzu na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG)
inayohusu fedha za IPTL na akaunti ya Escrow. Pichani ni Naibu...
MPYA:TAARIFA KUHUSU WANAFUNZI WALIODAHILIWA IMTU,2014-15
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania
Taarifa Rasmi kwa
Umma kuhusu Programu ya Pre-Entry ya Kutoka IMTU
Itakumbukwa kuwa Tume ya Vyuo Vikuu katika kikao
chake cha 52 cha tarehe 18 Machi 2011 iliamua kuwa kuanzia mwaka wa masomo 2011
/ 2012 hakutakuwa tena...
HAYA NDIO YALIYOIRI BUNGENI LEO ASUBUHI,KUBWA ZAIDI WABUNGE WACHARUKA KUHUSU ESCROW
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Yanayojiri Bungeni Dodoma: Leo Jumatano, Tarehe 26 Novemba, 2014
Habari wakuu,
Moja kwa moja kutoka bungeni Dodoma, leo tunaanza safari yetu yetu ya
hitimisho kuhusu Escrow, japo kuna zuio la mahakama jana spika alisema
bunge lina kinga na hakuna atakaezuia bunge lisijadili ripoti. Zitto pia
amesema kamati ya PAC itawasilisha ripoti yake kama ratiba...
Friday, 21 November 2014
SAKATA LA TEGETA ESCROW, WABUNGE WAKINUKISHA BUNGENI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
MKUFUNZI NA KAMANDA WA DORIA YA KUPAMBANA NA UJANGILI
HONEYGUIDE FOUNDATION- Ni shirika lisilo la serikali Arusha, nchini
Tanzania ambalo linajihusisha na kusadia jamii na uhifadhi wa wanyama
pori na maliasili kwa kuwa na ushirikiano madhubuti wa muda mrefu na
jamii zinazojihusisha...
Thursday, 20 November 2014
MPYA:ANGALIA NA DOWNLOAD VIDEO MPYA YA DIAMOND-NITAMPATA WAPI
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
BONYEZA HAPA KUDOWNLOADBONYEZA HAPA KUDOWNLOAD WIMBO MPYA WA DIAMO...
Sunday, 16 November 2014
MPYA:COLLEGE YA ENGINEERING SUA WAFANYA BONANZA,2ND YEAR WACHUKUA KOMBE BAADA YA KUWAFUNGA 3RD YEAR FAINALI KWA MIKWAJU 4-1

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
MASWAYETU BLOG chini ya mmiliki halali INNOCENT THE BLOGGER BOY ilikuwa makini kukuletea matukio yote ambapo
Walioshikilia nembo hiyo iliyoandikwa COLLEGE OF ENGINEERING kutoka kushoto ni ENG.STIMA na wa kulia ni ENG.Maulid...
MPYA:HUYU NDIE MHITIMU BORA WA UDSM MWAKA 2014,ANA MIAKA 22,GPA YA 4.8

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Huyu ndiye mhitimu bora wa chuo kikuu cha UDSM mwaka 2014, anaitwa Doreen Kabuche ana miaka (22). Alitangazwa kuwa kinara wa ufaulu kwa kupata alama 'A' 32 na 'B+ '6 kati ya masomo 38 ya shahada ya Takwimu Bima (Actuarial Science). Kwa alama hizo Doreen Kabuche alipata wastani...
MPYA:HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOFANIKIWA KUHAMA VYUO NACTE 2014/2015
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
PUBLIC NOTICE TRANSFERS OF SELECTED APPLICANTS ON
BACHELOR PROGRAMS
The National Council for Technical Education (NACTE)...
Saturday, 15 November 2014
MAGAZETI YA LEO NOV 15/2014 UDAKU,MICHEZO NA KITAIFA,KUBWA ZAIDI WABUNGE WAITAKA SERIKALI, MKURUGENZI WA DAR ANG'OLEWE
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
.
Kama kawaidaMASWAYETU BLOG inakupa vichwa vya habari vya magazeti
yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti
mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa
za mbele za magazeti ya leo
earn money a...
MPYA:MASTAA KUMFANYIA PATI LOWASA
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Stori: Mwandishi Wetu SIKU
chache baada ya Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kutangazwa kuwa
anaongoza katika kinyang’anyiro cha urais 2015, mastaa mbalimbali
wanaomuunga mkono wameandaa mkakati wa kumfanyia sherehe ya kumpongez...
Friday, 14 November 2014
BREAKING NEWZ:WALIOCHAGULIWA UDOM SPECIAL PROGRAMME KUSOMESHWA BURE HATA KAMA HUKUJAZA FORM ,UNATAKIWA KUWAHI CHUO MAPEMA ILI UJAZE FORM YA MKOPO
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
TANGAZO MUHIMU KWA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA STASHAHADA MAALUM YA ELIMU KWA MASOMO YA SAYANSI NA HISABATI CHUO KIKUU CHA DODOMA
Chuo
Kikuu cha Dodoma kinawatangazia wanafunzi wote waliochaguliwa kujiunga
na Stashahada Maalum ya Elimu kwa masomo ya Sayansi na Hisabati kuwa...
Wednesday, 12 November 2014
BREAKING NEWZ:HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA VYUO VYA AFYA WATAKAOSOMESHWA BURE NA WIZARA YA AFYA 2014/2015
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Kama kawaida yetu MASWAYETU BLOG yafuatayo ni majina ya wanafunzi watakaosomeshwa bure mwaka wa masomo 2014/2015
Tunaendelea kutoa huduma...