Sunday, 30 November 2014

BREAKING NEWZ:MKUU WA JKT ATOA ONYO KALI NA KUUTANGAZIA UMMA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY TANGAZO MKUU WA JESHI LA KUJENGA TAIFA (JKT) ANAUTANGAZIA UMMA YA KUWA KWA SASA HAKUNA MCHAKATO WOWOTE WA UANDIKISHAJI VIJANA WA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA "KUJITOLEA" HADI ITAKAPOTANGAZWA.YEYOTE ANAYE TANGAZA,ANAYEUZA FORM ZA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA...
Share:

SOMA MAGAZETI YA LEO ,TAREHE 30 NOVEMBER 2014,KUBWA ZAIDI MUHONGO,TIBAIJUKA,MASWI ,WEREMA WANG'OKA,KIKWETE AREJEA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY ...
Share:

BREAKING NEWZ:CHAMA CHA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU WANAOSOMA MASOMO YA FOOD SCIENCE AND HUMAN NUTRITION(TAFONUSA-SUA) CHAFANYA SHEREHE YA KUWAKARIBISHA FIRST YEAR MWAKA WA MASOMO 2014-2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Jana ilikuwa ni siku yenye furaha sana hasa kwa vijana wa kitanzania wanaosoma vyuo vikuu kufanya sherehe ya kuwakaribisha mwaka wa kwanza katika mwaka wa masomo 2014/2015. Sherehe hiyo iliuzuriwa na mamia ya wanafunzi amabyo ilifanyikia katika hotel moja maarufu iliyopo hapa...
Share:

Friday, 28 November 2014

BREAKING NEWS- BUNGE LAAHIRISHWA USIKU HUU BAADA YA VURUGU KUTOKEA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Kumetokea mtafaruku bungeni Dodoma baada ya kutokea mvutano miongoni wa wabunge kuhusu viongozi wanaopaswa kuwajibika kutokana na sakata la Escrow. Baadhi ya wabunge hususani kutoak vyama vya upinzani wataka wahusika wawajibishwe ikiwemo kuachia ngazi,huku wale wabunge...
Share:

Wednesday, 26 November 2014

Taarifa maalum ya CAG kuhusu IPTL mikononi mwa PAC

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Naibu Spika wa Bunge la Tanzania Mhe. Job Ndugai leo ameikabidhi Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma (PAC) taarifa ya Mkaguzu na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) inayohusu fedha za IPTL na akaunti ya Escrow. Pichani ni  Naibu...
Share:

MPYA:TAARIFA KUHUSU WANAFUNZI WALIODAHILIWA IMTU,2014-15

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania  Taarifa Rasmi kwa Umma kuhusu Programu ya Pre-Entry ya Kutoka IMTU Itakumbukwa kuwa Tume ya Vyuo Vikuu katika kikao chake cha 52 cha tarehe 18 Machi 2011 iliamua kuwa kuanzia mwaka wa masomo 2011 / 2012 hakutakuwa tena...
Share:

HAYA NDIO YALIYOIRI BUNGENI LEO ASUBUHI,KUBWA ZAIDI WABUNGE WACHARUKA KUHUSU ESCROW

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Yanayojiri Bungeni Dodoma: Leo Jumatano, Tarehe 26 Novemba, 2014 Habari wakuu, Moja kwa moja kutoka bungeni Dodoma, leo tunaanza safari yetu yetu ya hitimisho kuhusu Escrow, japo kuna zuio la mahakama jana spika alisema bunge lina kinga na hakuna atakaezuia bunge lisijadili ripoti. Zitto pia amesema kamati ya PAC itawasilisha ripoti yake kama ratiba...
Share:

BREAKING NEWZ:Ripoti ya PAC kuhusu Escrow Kusomwa Jioni Bungeni saa 11 jioni

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY...
Share:

Friday, 21 November 2014

SAKATA LA TEGETA ESCROW, WABUNGE WAKINUKISHA BUNGENI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY MKUFUNZI NA KAMANDA WA DORIA YA KUPAMBANA NA UJANGILI HONEYGUIDE FOUNDATION- Ni shirika lisilo la serikali Arusha, nchini Tanzania ambalo linajihusisha na kusadia jamii na uhifadhi wa wanyama pori na maliasili kwa kuwa na ushirikiano madhubuti wa muda mrefu na jamii zinazojihusisha...
Share:

Thursday, 20 November 2014

MPYA:ANGALIA NA DOWNLOAD VIDEO MPYA YA DIAMOND-NITAMPATA WAPI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY BONYEZA HAPA KUDOWNLOADBONYEZA HAPA KUDOWNLOAD WIMBO MPYA WA DIAMO...
Share:

Sunday, 16 November 2014

MPYA:COLLEGE YA ENGINEERING SUA WAFANYA BONANZA,2ND YEAR WACHUKUA KOMBE BAADA YA KUWAFUNGA 3RD YEAR FAINALI KWA MIKWAJU 4-1

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY MASWAYETU BLOG chini ya mmiliki halali INNOCENT THE BLOGGER BOY  ilikuwa makini kukuletea matukio yote ambapo Walioshikilia nembo hiyo iliyoandikwa COLLEGE OF ENGINEERING kutoka kushoto ni ENG.STIMA na wa kulia ni ENG.Maulid...
Share:

MPYA:HUYU NDIE MHITIMU BORA WA UDSM MWAKA 2014,ANA MIAKA 22,GPA YA 4.8

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Huyu ndiye mhitimu bora wa chuo kikuu cha UDSM mwaka 2014, anaitwa Doreen Kabuche ana miaka (22). Alitangazwa kuwa kinara wa ufaulu kwa kupata alama 'A' 32 na 'B+ '6 kati ya masomo 38 ya shahada ya Takwimu Bima (Actuarial Science). Kwa alama hizo Doreen Kabuche alipata wastani...
Share:

MPYA:HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOFANIKIWA KUHAMA VYUO NACTE 2014/2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY PUBLIC NOTICE TRANSFERS OF SELECTED APPLICANTS ON  BACHELOR PROGRAMS                                         The National Council for Technical Education (NACTE)...
Share:

Saturday, 15 November 2014

MAGAZETI YA LEO NOV 15/2014 UDAKU,MICHEZO NA KITAIFA,KUBWA ZAIDI WABUNGE WAITAKA SERIKALI, MKURUGENZI WA DAR ANG'OLEWE

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY . Kama kawaidaMASWAYETU BLOG  inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za mbele za magazeti ya leo earn money a...
Share:

MPYA:MASTAA KUMFANYIA PATI LOWASA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Stori: Mwandishi Wetu SIKU chache baada ya Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kutangazwa kuwa anaongoza katika kinyang’anyiro cha urais 2015, mastaa mbalimbali wanaomuunga mkono wameandaa mkakati wa kumfanyia sherehe ya kumpongez...
Share:

Friday, 14 November 2014

BREAKING NEWZ:WALIOCHAGULIWA UDOM SPECIAL PROGRAMME KUSOMESHWA BURE HATA KAMA HUKUJAZA FORM ,UNATAKIWA KUWAHI CHUO MAPEMA ILI UJAZE FORM YA MKOPO

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY TANGAZO MUHIMU KWA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA STASHAHADA MAALUM YA ELIMU KWA MASOMO YA SAYANSI NA HISABATI CHUO KIKUU CHA DODOMA Chuo Kikuu cha Dodoma kinawatangazia wanafunzi wote waliochaguliwa kujiunga na Stashahada Maalum ya Elimu kwa masomo ya Sayansi na Hisabati kuwa...
Share:

Wednesday, 12 November 2014

BREAKING NEWZ:HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA VYUO VYA AFYA WATAKAOSOMESHWA BURE NA WIZARA YA AFYA 2014/2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY                                         Kama kawaida yetu MASWAYETU BLOG yafuatayo ni majina ya wanafunzi watakaosomeshwa bure mwaka wa masomo 2014/2015 Tunaendelea kutoa huduma...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger