
Mtangazaji wa kituo cha televisheni cha Azam, Godluck Paul (kulia) akiendesha mjadala wakati wa mkutano wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na wadau jana Agosti 11, 2022
Mkurugenzi wa Huduma za Ufundi wa REA, Mhandisi Jones Olotu, akisisitiza jambo wakati wa mkutano wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na wadau jana Agosti 11, 2022
Mkurugenzi wa Huduma za Ufundi wa REA, Mhandisi Jones Olotu (wa kwanza kushoto), akisisitiza jambo wakati wa mkutano wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na wadau jana Agosti 11, 2022
Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mhandisi Hassan Saidy (katikati) akitolea ufafanuzi wa masuala mbalimbali kuhusu nishati vijijini wakati wa mkutano na wadau wa REA jijini Dar es Salaam jana Agosti 11, 2022
Mkurugenzi wa Sera, Mipango na Utafiti, Mhandisi Elineema Mkumbo (katikati), akijibu hoja za wadau kuhusu masuala mbalimbali kuhusu nishati vijijini wakati wa mkutano wa REA na wadau wake jijini Dar es Salaam hapo jana Agosti 11, 2022
Mkurugenzi wa Uendelezaji Masoko na Teknolojia, Mhandisi Advera Mwijage akichangia katika mkutano wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na wadau wake ukiangazia masuala mbalimbali ya nishati vijijini ambao umefika Agosti 11, 2022 Jijini Dar es Salaam na kurushwa mubashara na kituo cha Azam TV
Wahariri mbalimbali wa vyombo vya habari nchini wakifuatilia wasilisho la Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini, Mhandisi Hassan Saidy (hayupo pichani) wakati wa mkutano wa REA na wadau wake jijini Dar es Salaam Agosti 11, 2022
Mhariri Mwandamizi wa gazeti la Nipashe, Bi. Salome Kitomali akichangia katika mkutano wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na wadau wake jijini Dar es Salaam hapo jana Agosti 11, 2022.
Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mhandisi Hassan Saidy (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi wa Huduma za Ufundi, Mhandisi Jones Olotu (wa kwanza kushoto), Mkurugenzi wa Sera, Mipango na Utafiti, Mhandisi Elineema Mkumbo (Wa kwanza kutoka kulia), Mkurugenzi wa Uendelezaji Masoko na Teknolojia, Mhandisi Advera Mwijage (wa pili kutoka kushoto ) na mtangazaji wa kituo cha televisheni cha Azam, Godluck Paul mara baada ya kuhitimisha mkutano wa REA na wadau wake hapo jana Agosti 11, 2022




































.jpeg)