.
Ajali
mbaya imeyohusisha mabasi mawili ya kampuni ya City Boy imetokea katika
kijiji cha Maweni wilaya ya Manyoni, Singida na kusababisha watu 29
kupoteza maisha papo hapo huku chanzo cha ajali kikitajwa kuwa ni mwendo
kasi.
Mabasi
hayo yenye namba za usajili T531 DCE...
JAJI
Mkuu, Mohammed Chande Othman, amesema Mahakama Maalumu ya Uhujumu
Uchumi na Ufisadi itaamua kesi kwa muda usiozidi miezi tisa na kwamba
itaanza na majaji 14.
Aidha,
wameandaa kozi maalumu kwa majaji 14 watakaofanya kazi katika mahakama
hiyo itakayoanza Julai 11 hadi...
SERIKALI
za mikoa ya Kilimanjaro na Manyara zimelifunga Bwawa la Nyumba ya Mungu
kwa kipindi cha mwaka mmoja ili kuepusha kutoweka kwa viumbe hai
wakiwamo samaki kutokana na kushamiri kwa uvuvi haramu.
Aidha,
wakuu wa wilaya za Moshi, Mwanga na Simanjiro wametakiwa kusimamia
maamuzi hayo...
Kukamilika kwa siku 72 za mkutano wa Bunge la Bajeti kumeacha rekodi
mpya ya wabunge wa upinzani kususia vikao vya Bunge kwa muda mrefu zaidi
kutokana na madai ya kutoridhishwa na utendaji wa Naibu Spika, Dk Tulia
Ackson katika chombo hicho cha uwakilishi nchini.
Wapinzani...
KATIKA
kutekeleza tamko la Baraza la Vijana wa Chadema (Bavicha) la kufika
Dodoma kusaidiana na Jeshi la Polisi kuzuia Mkutano Mkuu wa Chama Cha
Mapinduzi (CCM), Bavicha Dodoma wameanza maandalizi ya kupokea vijana
zaidi ya 2000.
Akizungumza
na waandishi wa habari mjini...