INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Prof Rwekaza Mukandala, UDSM Vice Chancellor
Tanzania with all its current education sector
challenges may very well turn around to become a leading world centre of
intellectual wealt...
Wednesday, 25 February 2015
UDSM TO INSTALL ANTI-PLAGIARISM SOFTWARE
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
UDSM Vice Chancellor, Prof Rwekaza Mukandala
The University of Dar es Salaam (UDSM) is set to
install anti-plagiarism software in the 2014/15 academic year to monitor
theses of PhD students and research scholars...
Tuesday, 24 February 2015
MAZISHI YA MEZ B:TASWIRA ZA MAZISHI YA MAREHEMU MEZ B SIKU YA JANA DODOMA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Wananchi wakiwa wamebeba mwili wa marehemu Marehemu
Mez B baada ya kuagwa na mashabiki wa mziki pamoja na ndugu jamaa na
marafiki mwili wake ulielekea kupumzishwa katika makaburi ya Wahanga
Maili mbili jan...
VIDEO:DOWNLOAD HAPA VIDEO YA WIMBO WA BARNABA NA VANESSA MDEE UITWAO SIRI-MASWAYETU BLOG
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Download hapa video mpya ya wimbo wa barnaba,maswayetu inakupenda sana na karibu sana.
BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD VIDEO HIYO ...
JAMAA ANUSURIKA KIFO, BAADA YA WIZI WA FEDHA KWA MITANDAO YA SIMU
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
amaa mmoja ambaye jina halikupatikana mara moja, amejikuta
akinusa kifo baada ya kula kipigo ‘hevi’ wakati akifanya jaribio la
wizi wa fedha kiasi cha shilingi laki 450,000 kupitia huduma za fedha
kwa mitandao ya simu.
Akiomba kuachiwa baada ya kupewa kichapo ki...
SOMA HAPA HISTORIA YA MWIGIZAJI ROSE NDAUKA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Anafahamika
zaidi kama Rose Ndauka ni mmoja warembo wenye mvuto wa pekee ndani ya
tasnia ya bongo movies kwa vipaji vyake vingi sana.
Licha ya kuwa na uwezo mkubwa wa kuigiza pia rose ni mwandishi na mwongozaji wa Filamu.Akiwa
ameshaigiza kwenye zaidi ya...
TAARIFA KWA UMMA : KUHUSU TOZO KWENYE KATIKA MITANADAO YA SIMU ZA MIKONONI
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
TAARIFA KWA UMMA
KUHUSU TOZO KWENYE SEKTA YA TEHAMA
Katika wiki ya pili ya Februari 2015,
baadhi ya watoa huduma za mawasiliano ya simu za mkononi walianzisha
vifurushi vya mawasiliano na bei na kusabababisha malalamiko kutoka kwa
watumiaji na umma kwa ujumla. TCRA, kwa kuzingatia upeo wa shughuli
zake, imechambua hali hiyo na inapenda kutoa maelezo na...
Monday, 23 February 2015
Sunday, 22 February 2015
Read:How kindergarten boarding school can spoil your child
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
The Anglican Bishop Valentino Mokiwa .
Leonida Monera, a resident of Dar es Salaam is
aware of the negative impacts of sending very young children to boarding
...
MINISTER MAGUFULI CONSOLES ALBINO CHILD'S MOTHER-MASWAYETU BLOG
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Minister for Works Dr John Magufuli.
Minister for Works Dr John Magufuli who is also a
Member of Parliament for Chato (CCM) has sent a message of condolence to
the mother of Yohana Bahati, an albino child who was abducted recently
and brutally...
PRESIDENT JK:ELIMINATE NON TARRIF BARRIERS-MASWAYETU BLOG
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Tanzania President Jakaya Kikwete
Non-tariff barriers deny the EAC opportunity to
unlock the immense promise of integration and starves businesses of
innumerable opportunities, Tanzania President Jakaya Kikwete said
Friday...
MRITHI WA MAMA SALMA KIKWETE VITA NZITO!
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Mwandishi wetu TAYARI
imebainika kwamba, baadhi ya viongozi walioonesha nia ya kugombea urais
mwaka huu wameanza kupigiwa debe na wake zao ndani ya mitandao ya
kijamii ili waume hao watakapoibuka na ushindi wapate nafasi ya ‘u–First
Lady’, Risasi Jumamosi linakupa zai...
Friday, 20 February 2015
MPYA:NACTE YAFUTIA USAJILI BAADHI YA VYUO VINAVYOTOA FANI MBALIMBALI HAPA TANZANIA,ANGALIA VYUO HIVYO VILIVYOFUTIWA USAJILI NA AMBAVYO VIMEPEWA SIKU 30
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
1
BARAZA LA TAIFA LA ELIMU YA UFUNDI
(NACTE)
NOTISI YA SIKU 30 YA KUSUDIO LA KUFUTA USAJILI NA KUSHUSHA HADHI YA
USAJILI KWA VYUO/TAASISI ZA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI
Utangulizi
Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi ni chombo kilichoanzishwa kwa Sheria ya...
MPYA:SERIKALI KUAJIRI WALIMU 35,000 MWAKA 2015/2016 – WAZIRI MKUU
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema Serikali imepanga kuajiri walimu zaidi ya 35,000 kwa ajili ya shule za sekondari ili kukabiliana na tatizo la uhaba wa walimu nchini.
Ametoa kauli hiyo jana jioni (Alhamisi, Februari 19, 2015) wakati akizungumza na mamia ya wakazi...