Thursday 29 June 2023

MERIDIANBET YAKIMBIZA VIWANJA VYA SABA SABA

...


Ikiwa msimu huu wa Saba Saba umeanza rasmi, Magwiji wa Ubashiri Tanzania Meridianbet walitikisa eneo hilo huku wakija na kile ambacho wewe mteja wao na usiyekuwa mteja wao utakihitaji, ikiwemo bonasi kama zote, USSD na mengine mengi.

Meridianbet msimu huu mpya wa Saba Saba 2023, wanasema hivi wamekuja na Jakipoti kubwa kabisa ya shilingi Milioni 85 tuu endapo utabashiri mechi zote 13 kwa usahihi kwa dau la shilingi 1000 tuu.

Pia wamekuletea sloti mashine ambazo zipo kwenye kila maduka yao hapa Tanzania nzima, na kwasasa hivi hapa jijini Dar es salaam maduka hayo ni mengi sana, hivyo ni rahisi sana kwako kuingia na kucheza michezo ya sloti uitakayo.

Ukiwa bado unajiuliza utapata wapi pesa kwa urahisi msimu huu ambao ligi mbalimbali zimemalizika, basi Meridianbet wanakwmabia bado wana michezo ya kasino ya mtandaoni kama vile, Aviator, Poker, Roullette, Wild Icy Fruits Piggy Party na mingine kibao kwa dau dogo tuu unakuwa bingwa.

Pata mizunguko 50 ya bure kucheza sloti na michezo ya kasino ya mtandaoni ukijisajili na Meridianbet. Jisajili kupitia link hii

Kama bado hujajiunga na Meridianbet ingia www.Meridiabet.co.tz na fuata maelezo ambayo watakuletea, au kwa USSD PIAGA *149*10# na uanze kufadika na boansi ambazo zinazotolewa na magwiji hawa wa ubashiri Tanzania.

Pia Kampuni hii wamekuja na kaulimbiu yao mpya msimu ambayo inajulikana kwa jila la “CHAGUA TUKUPE” wakimaanisha kuwa ukitaka ODDS KUBWA, zipo, machaguo zaidi ya 1000 yanapatikana pale, mechi za mmuda wote zipo yani kila ukitakacho wanakupatia.

 Ukiwa na meridianbet unaweza kubashiri mubashara, tembelea maduka ya meridianbet uweze kucheza michezo ya sloti na kasino ya mtandaoni.

Ukifika Saba Saba nenda moja kwa moja hadi Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Tanzania ingia ndani na utakutana na mtaalamu wa masuala ya ubashiri Bwana Sadiki ambaye atakueleza kila kitu kinachohusiana na Meridianbet kuanzia michezo ya kasino, bonasi watoazo na namna ya kujiunga kama bado hujajiunga.

Lakini si hayo tuu bali kutakuwa na michezo ya kasino ya kushindana ambayo mshindi atapewa zawadi kama ni tisheti, bonasi ya shilingi elfu 50 au laki moja pamoja na mizunguko ya bure ambayo atawekewa kwenye akaunti yake ya Meridianbet.

Beti na Meridianbet mechi zote odds ni kubwa sana, usikose pia Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet yenye michezo rahisi ya sloti kama Poker, Aviator, Roulette.

Meridianbet kama Mabingwa wa ODDS KUBWA Tanzania wao ndio suluhisho kwa wewe mteja unayebashiri wala haina haja ya kuhangaika fika Saba Saba pale na Meridianbet wakupe unachohitaji wana zawadi kwaajili yako. Changamkia fursa muda ndio huu.

NB: Habari njema kwako, Meridianbet imesikia ombi la wengi imekuja na Jackpot kubwa ya mechi 13 kwa dau dogo la kuanzia 1,000/=TZS mshindi atajinyakulia donge nono la Tsh 85,000,000/= PIGA *149*10#

#MERIDIANBET CHAGUA TUKUPE

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger