Monday 26 June 2023

LICHA YA KUFIKISHA MIAKA 38 NIMEPATA MUME

...
  Jina langu ni Frida mkazi wa Tabata, Dar es Salaam, nafanya kazi ya Uhasibu, nimefanya kazi hii kwa miaka 15, tangu niajiriwe katika kampuni yetu ambayo kila siku hupokea wateja wengi. 


Kama mnavyofahamu, mimi ndiye hasa niliyekuwa nahusika na mambo yote ya fedha, kila mara watu mbalimbali walibisha hodi katika ofisi yangu, wakati wote nilikuwa bize sana na majukumu yangu.


Baadhi ya watu ambao walikuwa wanakuja ofisini haswa wanaume wengi wao walikuwa wanaomba kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mimi kutokana na muonekano wangu, wengi walikuwa wananiuliza kama nimeolewa, nilikuwa nacheka tu kisha naendelea na kazi zangu.


Siku moja nikiwa kazini alikuja kijana mmoja anaitwa Revokatus, kijana ambaye niliweza kuvutiwa naye pia na yeye alivutiwa na mimi kutokana na jinsi tulivyokuwa tunatazamana usoni ila mimi nilijitahidi kuficha hisia zangu kwake kisha nikamuhudumia kisha akaondoka zake.


Baada ya mwezi mmoja akarudi tena ofisini kwetu, kama ulivyo utaratibu wetu wa kazi nikamuhudumia kisha akaniomba namba yangu ya simu nikampatia.


Baada ya kutoka kazini alinipigia simu na kujitambulisha kwa mara nyingine tena kuwa anaitwa Revokatusi, tuliweza kuongea kwa muda wa masaa 2 kisha akaniomba siku ya Jumapili tukutane Mbezi Beach tupate chakula cha mchana wote.

Sikuweza kumjibu kwa muda huo zaidi nilimwambia kuwa nitamjulisha siku ya Ijumaa kama inawezekana au hapana kisha nikakata simu yake.

Baada ya maongezi nilijua kuwa Revokatusi anataka tukutane ili aweze kunitongoza hali ya kuwa mimi tayari nilikuwa nimeshachoka kabisa na kitu kinachoitwa mapenzi kwa sababu nilikuwa nimeshakutana na wanaume wengi katika mahusiano ila atimaye wote waliniacha na kuoa wanawake wengine.


Nakumbuka kuna kijana alikuwa anaitwa Nelson, tulipendana sana kwa miaka miwili hadi ikafika hatua akanitambulisha kwa wazazi wake na kujitambulisha kwa wazazi wangu na baada ya muda akaoa mwanamke mwingine na kuniacha mimi nikichekwa mtaani kwetu.

Ila Revokatus alikuwa amenivutia sana, ndipo niliamua kuwa nikutane naye tuongee ila akinitongoza sitamkubali kwa sababu nafanya kazi nzuri ambayo inanipatia fedha ya kujikimu kimaisha pia nilikuwa sitaki tena mambo ya kunisumbua.


Siku ya Jumapili ilipofika, hatimaye nikakutana na Revokatusi, baada ya kula na kunywa aliniomba niwe mchumba wake, ila kabla ya kumaliza kuongea hilo nilimkatalia kisha nikatoka zangu pale na kurudi nyumbani.

Nilipofika nyumbani alinipigia simu na kuniomba msamaha kama amenikwaza sehemu yoyote, alizidi kuniambia kuwa anahitaji kunioa nimpe nafasi hiyo.

Kwangu ikawa ngumu nilivyokuwa nakumbuka wanaume wengine walivyonifanyia ila nikitazama upande wa pili tayari nina miaka 38, sina mtoto, sina mume nikaamua nitoe uwamuzi wa kumkubalia Revokatusi ombi lake.

Basi miezi mitatu katika mahusiano na Revokatusi, naye alibadilika sana, hata simu yangu akawa hapokei tena baada ya kunitambulisha kwao nami kumtambulisha kwetu!.

Sikuweza kujua nilikuwa na shida gani hasa hadi wanaume wanikimbie kiasi hiki, nilifikia hadi hatua ya kufikiria kujitoa uhai ila nashukuru rafiki yangu Imelda aliniambia kuwa African Doctors wana uwezo wa kunisaidia kutatua shida yangu na kumfanya Revokatusi abadilishe mawazo yake.

Niliwasiliana na African Doctors kwa namba +254 769 404965 na kumueleza mwenendo wa maisha yangu tangu mwanzo ndipo akasema nimipigie simu baada ya dakika 35 hivi.

Muda wa dakika 35 ulipotimia nilipiga simu ndipo African Doctors akaniambia kuwa mwenye shida ni mimi siyo wanaume ninaopendana nao.

Aliweza nisaidia kisha akaniambia kuwa baada ya masaa 72 tu nitapata majibu kutoka upande wa Revokatusi, kesho yake asubuhi Revokatusi alikuja kwangu na kuniomba msamaha na kuniambia hata yeye hajui kwa nini alikuwa hataki kupokea simu yangu na kwa sasa tumeoana na maisha yetu vizuri tu.

Kumbuka African Doctors wanaweza kukufanya kupandishwa cheo kazini, kupata kazi, kupata mpenzi wa ndoto zako, wanatibu magonjwa sugu kama Sukari, Pressure na Kisonono.

Wasiliana na African Doctors kwa namba; +254 769 404965, tembelea tovuti yao; www.african-doctors.com au watumie email; africandoctorheals@gmail.com.

Mwisho.

 

 

 

 


Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger