Thursday 2 March 2023

MBUNGE KIRUMBA AKUTANA NA WANACHAMA WA UWT SEGESE KAHAMA

...

Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Shinyanga Mhe. Santiel Kirumba amekutana na kuongea na wanawake wanachama wa UWT kata ya Segese halmashauri ya Msalala wilaya ya Kahama mkoa wa Shinyanga ili kuzungumzia masuala mbalimbali yanayohusu Chama Cha Mapunduzi (CCM) ambapo pia amelipia kadi za UWTA kaa wanachama 37 sa kata hiyo.

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger