Saturday, 25 February 2017

Rais Magufuli Ateua Mwenyekiti Wa Bodi Mamlaka Ya Masoko Ya Mitaji Na Dhamana

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli,  amemteua Dkt. John Kedi Mduma kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA). Taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi imeeleza kuwa uteuzi wa Dkt. John Kedi Mduma...
Share:

mpya:Taarifa Kuhusu UTAPELI Ajira za JWTZ

...
Share:

Friday, 24 February 2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEB 24 2017

...
Share:

Mahakama Yamzuia RPC Kujibu Swali la Tundu Lissu

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imemzuia shahidi wa kwanza katika kesi inayomkabili Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu na wenzake watatu, kujibu swali linalohusu mamlaka ya kikatiba ya Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC),  kufuta uchaguzi uliofanyika...
Share:

Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Chaipinga TCU.,Chasema Hakijawahi Dahili Wanafunzi Vilaza

...
Share:

Wednesday, 22 February 2017

Tcu: Orodha ya Vyuo na Majina ya wanafunzi waliokosa sifa za kupewa nafasi za vyuo Tanzania 2016/2017

&nbs...
Share:

Mahakama Yamkingia Kifua Mbowe,Yaamuru Asikamatwe

Mahakama  Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetoa zuio la muda kuzuia Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe asikamatwe na Polisi hadi maombi yake, aliyoyaomba ya kutaka asikamatwe, yatakaposikilizwa kesho. Katika kesi hiyo ya kikatiba namba 1 ya mwaka 2017,...
Share:

TCU: ORODHA YA WANAFUNZI WASIO NA SIFA KATIKA VYUO VYA ELIMU YA JUU 2016/2017

TUME YA VYUO VIKUU TANZANIA TAARIFA KWA UMMA WANAFUNZI WASIO NA SIFA KATIKA VYUO VYA ELIMU YA JUU Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) inautangazia Umma kuwa zoezi la uhakiki wa sifa za wanafunzi wanaondelea na masomo kwenye Vyuo vya Elimu ya Juu nchini kwa mwaka...
Share:

Ridhiwani Kikwete ajibu shutuma ya kutajwa kwenye orodha ya watuhumiwa wa dawa za kulevya

Mbunge wa jimbo la Chalinze mkoani Pwani kwa tike...
Share:

WANAWAKE 13 WAHUKUMIWA KWENDA JELA MIAKA 2 KWA KOSA LA KUJIUZA HUKO MOROGORO

 Dada poa hao wakitoka  ser o ya Mahakama ya Nunge wakipanda Difenda  kuelekea Magerez...
Share:

WANAOSOMA CHINA KUISOMA NAMBA,SERIKALI YASISITIZA KUSITISHA FEDHA ZA MIKOPO KWA WANAFUNZI WANAOSOMA NCHINI CHINA

Serikali kupitia wizara ya elimu,sayansi na teknolojia imesisitiza kusitisha pesa za mikopo ya nauli za kwenda masomoni na malipo mengine yote yaliyokuwa yanatolewa kwa wanafunzi wanapata ufadhili wa masomo kutoka kwa nchi rafiki ikiwemo nchi ya China. Kauli hiyo imetolewa kupitia barua(ya tarehe...
Share:

MAGAZETI YA LEO JUMATANO FEBRUARY 22,2017

...
Share:

Tuesday, 21 February 2017

 HIZI HAPA HABARI KALI SIKU YA LEO JUMANNE FEB 21 2017   MBOWE APEKULIWA USIKU ARUDISHWA POLISI,SOMA ZAIDI HAPO>>>>>https://goo.gl/T5jbX8    MAGAZETI YA LEO JUMANNE FEB TAREHE 21.2.2017,SOMA ZAIDI HAPO>>>>>https://goo.gl/PHqMKK SHAMSA FORD AMLILIA MUMEWE ALIEKAMATWA KWA KESI YA MADAWA YA KULEVYA,SOMA ZAIDI HAPO>>>>>https://goo.gl/6s58nV NECTA...
Share:

Mahaba Niue!! MZEE WA MIAKA 98 AFUNGA NDOA NA BIBI WA MIAKA 88

Mzee Willy Kinyua (98) amefunga ndoa na Joyce Nyambura (88) baada ya wenza hao kuishi pamoja kwa zaidi ya miaka 6...
Share:

AUDIO | Shamba Darasa(Mkubwa na Wanawe) - Mwanamke | Download

...
Share:

NECTA YAWATAKA WANANCHI KUPUUZA TAARIFA ZILIZOTOLEWA KUHUSU MCHUJO KIDATO CHA KWANZA

...
Share:

SHAMSA FORD AMLILIA MUMEWE ALIEKAMATWA KWA KESI YA MADAWA YA KULEVYA

Mwigizaji Shamsa Ford ambaye ni mke wa Mfanyabiashara Chidi Mapenzi aliyeitwa Polisi kwa tuhuma za kujihusisha na biashara ya dawa za kulevya, ameandika yafuatayo ikiwa ni mara ya kwanza toka aitwe Polisi kuhojiwa....
Share:

MAGAZETI YA LEO JUMANNE FEB TAREHE 21.2.2017

...
Share:

MBOWE APEKULIWA USIKU ARUDISHWA POLISI

Jana  mchana Mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (C...
Share:

Monday, 20 February 2017

HIZI HAPA HABARI KALI SIKU YA LEO JUMATATU FEB 20 2017 MAGAZETI YA LEO JUMATATU FEB 20 2017,BONYEZA HAPO>>>>>https://goo.gl/nx8imK     MANENO YA PRFO.J BAADA YA KWENDA GEREZA ALILOFUNGWA MBUNGE LIJUAKALI,SOMA ZAIDI HAPO>>>>>>>>>>>https://goo.gl/P00daq    MH.MBOWE ASAKWA...
Share:

Siri yafichuka wanawake wengi kujifungua kwa upasuaji

WANAWAKE wengi kwa sasa wanajifungua kwa njia ya upasuaji kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo mfumo wa maisha, vyakula, mwili kukosa mazoezi huku baadhi wakiomba wenyewe kufanyiwa upasuaji, imefahamika. Aidha, imeelezwa kuwa...
Share:

MKAZI WA MKOA WA MWANZA KWIMBA AANZISHA KIWANDA CHA KUTENGENEZA GONGO

...
Share:

MH.MBOWE ASAKWA NA JESHI LA POLISI KILA KONA APEWA MASAA 48 AJISALIMISHE

...
Share:

MANENO YA PRFO.J BAADA YA KWENDA GEREZA ALILOFUNGWA MBUNGE LIJUAKALI

January 11 2017 Mbunge wa Jimbo la Kilombero Morogoro kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo ‘CHADEMA’ Peter Lijualikali alihukumiwa na Mahakama ya wilaya kifungo cha miezi sita jela bila kulipa faini kwa kosa la kufanya vurugu kipindi cha uchaguzi wa Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya...
Share:

MAGAZETI YA LEO JUMATATU FEB 20 2017

...
Share:

Sunday, 19 February 2017

HII HAPA REPORT YA WANASAYANSI KUHUSU KUWEPO KWA BARA LA NANE DUNIANI

Wanasayansi wafahamisha kuwa bara la 8 lawezekana kuwa lipo chini ya bahari ya Pasifiki. Kwa mujibu wa taarifa iliyochapishwa katika jarida la Marekani la 'Geological Society of America' ni kwamba bara hilo limepewa jina la Zealandia . Bara hilo lililokubalika na wanasayansi linasemekana kupatikana...
Share:

Zijue Namba Maalum za Magari ya Viongozi, Serikali na Taasisi za Umma kwa Ujumla..!!!

Ukiona mtaani gari zimeandikwa ktk plate number kama ifuatavyo usiumize kichwa jua ni hivi: 1. Ngao-Rais, makamu wa rais na waziri mkuu 2. S-Spika wa bunge 3. JM- Jaji mkuu 4. JR- Jaji wa mahakama ya rufaa 5. JK- Jaji Kiongozi 6. J- Jaji wa mahakama kuu 7. XXXX-Mkuu wa majeshi(CDF) 8....
Share:

MUGABE ANAWEZA KUPIGIWA KURA HATA AKIWA MAITI...

Mke wa Rais mkongwe wa Zimbabwe, Robert Mugabe, amesema kuwa mumewe ni mashuhuri sana hivi kwamba anaweza kupigiwa kura hata akiwa maiti. Bwana Mugabe, ambaye atakuwa na umri wa miaka 93 mnamo Jumanne, ametangaza mara kadhaa kuwa atagombea kiti cha Urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka ujao. Grace...
Share:

MAELFU WAJITOKEZA KUMZIKA MCHEZAJI BONNY MWANDANJI

Maelfu ya wakazi wa mkoa wa Mbeya wamejitokeza katika mazishi ya mchezaji wa zamani Geoffrey Bonny Mwandanji aliyefariki dunia juzi na kuzikwa katika makaburi ya kanisa Katoliki Makandana wilayani Rungwe. Akizungumza wakati wa mazishi baba mzazi wa marehemu,Bonifasi Mashamba alisema amepokea...
Share:

AMIRI JESHI MKUU RAIS DKT MAGUFULI ATUNUKU KAMISHENI KWA MAAFISA WAPYA WA JWTZ IKULU DAR

Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akikagua gwaride wakati wa sherehe za Kutunuku Kamisheni kwa Maafisa wapya wa Jeshi la Ulinzi la Tanzania na kadhaa kutoka nchi marafiki katika viwanja vya Ikulu jijini Dar es salaam Jumamosi Februari 18, 2017. Amiri...
Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAPILI FEB TAREHE 19.2.2017

Haya hapa magazeti ya leo Jumapili,Februari 19,201...
Share:

Saturday, 18 February 2017

Mwanamke asimulia alivyobakwa na askari Msumbiji

Wakati Serikali ikiahidi kufanya uchunguzi wa vitendo vya ukiukwaji wa haki za binadamu katika kutimua Watanzania nchini Msumbiji, mwanamke mmoja amesema alibakwa na askari watatu kabla ya kuwekwa mahabausu ambako alikaa siku tatu bila kula.  Mwanamke huyo, aliyejitambulisha kwa jina...
Share:

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya February 18

...
Share:

Vurugu za mgambo na machinga zaibuka tena Jijini Mwanza

...
Share:

Thursday, 16 February 2017

NECTA yasitisha mtihani wa udahili kwa kidato cha kwanza Jambo Blog 10

BARAZA la Mitihani la Tanzania (NECTA) limesitisha mpango wa kuwafanyia mtihani wa udahili wanafunzi wote waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mwaka huu katika shule za sekondari za serikali uliokuwa ufanyike Februari 28, mwaka huu. Naibu Katibu Mtendaji wa Necta, Athumani Salumu...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger