INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Mkuu wa chuo kikuu kikuu cha St, John Askofu Dolnad Mtetemela katikati akiwa na viongozi wa kanisa la anglikan ambalo ndilo mmiliki wa chuo hicho walipokuwa kwenye mahafali ya tano ya chuo hicho.
Habari wakuu,
Moja kwa moja kutoka bungeni Dodoma, leo tunaanza safari yetu yetu ya hitimisho kuhusu Escrow, japo kuna zuio la mahakama jana spika alisema bunge lina kinga na hakuna atakaezuia bunge lisijadili ripoti. Zitto pia amesema kamati ya PAC itawasilisha ripoti yake kama ratiba ilivyosema. Baada ya pilikapilika za usiku Dodoma tusubiri kitachojiri bungeni leo.
Hakikisha kifaa unachotumia kutembelea JamiiForums kina chaji ya kutosha kutokana na hofu ya TANESCO pia kifurushi chako kiwe kinatosha kuperuzi hii kurasa mara nyingi iwezekanavyo.
============================== ===========================
Kamati ya Uongozi imekutana sasa hivi
Bunge limeanza na aliekalia kiti leo ni mwenyekiti wa bunge, mheshimiwa Zungu kuna maelezo juu ya malalamiko ya walimu, maelezo yanatolewa na upande wa serikali
Swali: Wapo watumishi kama wauguzi wanadai zaidi ya milioni 100, japo kulikuwa na ahadi swala hili litashuhulikiwa, lakini hadi leo, nini kauli ya serikali?
PUBLIC NOTICE TRANSFERS OF SELECTED APPLICANTS ON BACHELOR PROGRAMS |
The National Council for Technical Education (NACTE) would like to inform you that the deadline
for transfers (applications and allocation to new institutions) was on 3rd November 2014.
A list of students showing new allocations as per their applications has been posted in/on the NACTE website. Find attached file for list of successful transfers applications
NOTE:
If your name does not appear in the list it means that your application was unsuccessful. |