Saturday 3 May 2014

TIMETABLE FOR FIFA WORLD CUP BRAZIL 2014

Group stage

Thursday 12 June

Change to your time
12 Jun 2014 - 17:00 Local time
Group A
Arena de Sao Paulo
Sao Paulo
Brazil
Brazil
Croatia
Croatia
17:00 
WATCH MORE HERE 
Share:

"2014 FIFA WORLD CUP BRAZIL"

here are people out there who are more jaded by FIFA's yearly release cycle than they are by the schoolboy "tactics" Roy Hodgson employs as England manager. Year after year we're asked to part with our hard-earned cash in exchange for a game that, on the surface at least, changes little with each iteration. Stand-alone tournament editions, such as 2014 FIFA World Cup Brazil, are sandwiched between releases of full FIFA games and do little to quell such negative opinion.
However, perhaps even more so than the criminally forgotten gems like UEFA Euro 2008 and 2010 World Cup South Africa FIFA, World Cup Brazil comes with more than enough content and ideas to justify its existence as a game in its own right. Although, to what extent depends on how you're currently fulfilling your FIFA needs. If you've already made the step up to FIFA 14 on either the PlayStation 4 or Xbox One, then you're going to be disappointed by what's on offer. With World Cup Brazil available only on previous-gen consoles, the absence of the slick animations and upgraded physics system of the next-gen versions is very much visible here.

While there's a nice array of new passing, shooting, and jostling animations, the core mechanics driving the action on the field lack the finesse and depth of the PS4 and Xbox One FIFA 14 experience. This rings especially true when you're defending, with the AI largely unable to deal with players boasting a combination of raw pace and accuracy of shooting. Time and time again, the greatest defenders on earth (the likes of Vincent Kompany, Thiago Silva, and Giorgio Chiellini) are made to look the fool by mediocre strikers packing just those two attributes.
This may all be part of the plan, though. These tournament editions have always been seen as a chance for the FIFA design team to let loose and have a bit of fun, so the favouring of attacking flair over defensive nuance is very likely a case of intended design over inferior AI. In practice, this creates a game that's more fun than realistic, offering an experience that is markedly different from that of FIFA 14.
Captain Your Country sees you compete against teammates in a bid to wear the armband on World Cup Final day.
Shooting, in particular, has been made much more accessible. A well-struck ball flies through the air as though tethered to a guided missile, making the taking of long-range potshots a more viable option than it has been in recent years. Invariably, this leads to some spectacular attempts on goal, which naturally lead to spectacular goals. These kinds of goals, from the audacious to the sublime, very much belong in a game that so heavily features the vibrant backdrop of Brazil and its football team--a team that is seen as the embodiment of exciting, attacking football.
In a bid to counter the venom of shooting, goalies seem to have been given an ability boost and are thus able to prevent the scoreline from getting out of hand. They don't always catch the ball or knock it into a safe area, but they are more likely to push it away for a corner or punch it to the edge of the box and give their defenders a chance to clear it properly.
Additionally, it's now much more difficult to score from corners thanks to the new over-the-back headers players can employ. Rather than simply standing limp and lifeless as an attacker cuts in front to score with his head at the near post (a trick that could be ruthlessly exploited to great success in previous FIFA games), defenders can now jump up using the shoulders of anyone in their way in a desperate bid to head the ball first. This new trick helps, perhaps more than any other element, in keeping the number of goals to a believable tally in the face of the improved shooting.
Much more focus has been spent on making each and every match feel like a genuine spectacle. Hopefully this will carry on to future FIFA titles.

Any and all of these gameplay tweaks would be rendered useless without sufficient content within which to make use of them. Captain Your Country and Road to the FIFA World Cup are the most robust and exhaustive game modes to conquer, joining the obvious inclusions of the World Cup tournament itself and the essential set of online and offline exhibition matches. Captain Your Country sees you take control of a single player as your team sets out to qualify for, and win, the World Cup. As its name suggests, your goal within that framework is to distinguish yourself and become national captain along the way.
Road to the FIFA World Cup allows you to rewrite the course of history and take a team from the qualification rounds, on to the tournament proper, and into Rio's Estadio do Maracana to contest the final on 13 July. All 203 officially recognised FIFA national teams are included and available for selection, allowing you to undo the injustices associated with the likes of Sweden and Poland failing to qualify for this summer's carnival. If you prefer to take your game online and compete with other human players, then Road to Rio De Janeiro is the mode with the most staying power. There you're promoted and relegated through different divisions in a bid to match you with players that are roughly your equal, which makes for some compelling matches.
What makes World Cup Brazil a different proposition to other recent FIFA games is the care and dedication that have gone into the little details. You've got the option of choosing between two prerecorded radio stations as you navigate menus, both of which are excellent and add colour to events by way of dissecting your future opponents and commenting on the journey teams took to reach the World Cup.
Over-the-back headers do a lot to prevent strikers scoring easy goals from corners, free kicks and crosses into the box.

Then there are the little visual presentation touches: managers that shout and command from the sidelines, cutaways to fans celebrating goals in front of screens in their home country, and goalkeepers who can perform dances and shuffles to unnerve penalty takers, and there's even a digital Sepp Blatter who attends important fixtures. Unfortunately, the graphical quality of the crowds remains as terrible as it has ever been on the PlayStation 3 and Xbox 360, but at least there's more variety to their celebrations this time around.
It's best to consider 2014 FIFA World Cup Brazil as a less serious, more accessible accompaniment to the main FIFA series. Focused more on giving you a good time than on advancing the quest for realism in sports games, this is a football game that's perfect for fans who are looking for a way to pass the hours between World Cup matches this summer. Beyond that, it may not be as exhaustive as the likes of FIFA 14, but with its own distinct feel and modes to explore, there's more than enough to keep you distracted before FIFA 15 lands later in the year.
Share:

MEZA YA MAGAZETI LEO JUMAMOSI


10254026_701605643237230_8580053565843709984_n_a1d9b.jpg
e_ea375.jpg
10314714_701605389903922_6275387952947322384_n_f2661.jpg
1491721_701582799906181_6031344742742479472_n_c4220.jpg
1959405_701582933239501_207281538074768844_n_36b4b.jpg
10169171_701577873240007_943124478303523100_n_4a945.png
10330495_701594153238379_6010293286524896578_n_56e1e.png
d_96e9b.jpg
Share:

WEUSI NDANI YA VIDEO YAO MPYA - ‘GERE’


Ni miongoni mwa single ambayo imepanda juu kwa haraka zaidi ndani ya wiki tatu zilizopita ambapo wakati audio ikiendelea kuchukua headlines, WEUSI wameidondosha video yake ambayo ilitazamwa kwa mara ya kwanza na waalikwa wachache kwenye party ya WEUSI April 30 2014. Video imefanywa Kenya.

ANGALIA HIYO VIDEO HAPO CHINI
Share:

ODAMA ATAJA SABABU KUZAA NJE YA NDOA

MKALI wa sinema za Kibongo, Jenifer Kyaka ‘Odama’ amesema sababu kubwa iliyomfanya azae nje ya ndoa ni maandalizi mazuri aliyojipangia.

Mkali wa sinema za Kibongo, Jenifer Kyaka ‘Odama’.
Odama ambaye amejifungua hivi karibuni, alisema aliamua kuzaa kwanza kisha ndoa ifuate hivyo hajutii uamuzi wake.
“Nimezaa kwa sababu nilijipanga, kuhusu kuolewa ni majaaliwa awe ni huyuhuyu niliyezaa naye au mwingine,” alisema Odama huku akigoma kumtaja baba mtoto.
Share:

NI ZAIDI YA LAANA, MJUKU AMBAKA NA KUMLAWITI BIBI YAKE HADI KUMUMIZA SEHEMU ZAKE ZA SIRI


UNYAMA uliyoje! Kijana aliyefahamika kwa jina moja la Pius (28), mkazi wa Kijiji cha Nyingwa Kata ya Kibungo Juu, Tarafa ya Matombo wilayani Morogoro Vijijini, anasakwa kwa tuhuma za ubakaji na ulawiti wa bibi mmoja,(74).
Bibi anayesadikiwa kibakwa na kulawitiwa na mjukuu wake aliyefahamika kwa jina moja la Pius.
Kwa mujibu wa chanzo chetu, mtuhumiwa huyo alikamatwa na kufikishwa katika Kituo cha Polisi cha Tawa wilayani humo, lakini alitoroka akiwa amefungwa pingu saa chache baada ya kufikishwa kituoni hapo.
Mtuhumiwa huyo ambaye ukilinganisha umri wake na kikongwe huyo ni sawa na mjukuu wake alidaiwa kutenda tukio hilo Aprili 20, mwaka huu saa 10:00 jioni vichakani.
Ilidaiwa kuwa bibi huyo ambaye alikuwa msibani alitendewa unyama huo wakati anarejea nyumbani kwake.
Taarifa zilidai kuwa baada ya kutendewa unyama huo na kuharibika vibaya sehemu nyeti, bibi huyo alipelekwa katika Zahanati ya Tawa, lakini akahamishiwa kwenye Hospitali ya Rufaa Morogoro kwa matibabu zaidi.
Kamanda Paul.
Akizungumza na mwanahabari wetu, mtoto wa bibi huyo aliyejitambulisha kwa jina la Novitha Martin alidai kuwa Pius ndiye aliyemfanyia unyama mama yake.
”Baada ya kumbaka na kumlawiti, mwenyekiti wetu wa Kijiji cha Nyingwa,  Roman Deli kwa kushirikiana na mgambo wa kijiji walifanikiwa kumkamata mtuhumiwa usiku huohuo na kumfunga kamba.
“Alilala kwa mwenyekiti hadi kulipokucha Aprili 21 mwaka huu, akasafirishwa hadi Kituo cha Polisi Tawa na kufungua jalada la kesi namba TAW/RB/33/2014-UBAKAJI kisha akapewa PF-3 aliyoitumia kwenye matibabu katika Zahanati ya Tawa,” alisema Novitha.
Mwandishi wetu alifika Kituo cha Polisi Tawa ambapo askari wa zamu alisema hawezi kuzungumza chochote kwa kuwa yeye siyo msemaji wa jeshi hilo.
Alipofika katika Hospitali ya Rufaa ya Morogoro na kuzungumza na Mganga Mkuu Msaidizi, Dk. Nuhu Muhinge, alikiri kumpokea bibi huyo akiwa katika hali mbaya.
Bibi anayedaiwa kufanyiwa vitendo hivyo.
Kwa upande wake bibi huyo aliyetendewa unyama, alisema:
“Nilipofika kwenye kichaka wakati narudi nyumbani alinipiga ngwara, akanivua nguo kisha alinifanyia tendo ambalo niliacha kulifanya zaidi ya miaka 15 iliyopita, aliniteka na alianza kunibaka saa kumi jioni hadi saa mbili usiku.
“Aliponiachia nilijikongonja hadi kwenye kigango cha kanisa letu la Katoliki Kigango cha Gomelo ndipo nilipata msaada wa hifadhi na kutoa taarifa kwa mwenyekiti wetu wa kijiji.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, SACP Leonard Paul alipohojiwa na mwandishi wetu kuhusiana na tukio hilo alisema halijatumwa ofisini kwake.
”Ngoja nimwite OCD awasiliane na mkuu wa Kituo cha Tawa, acha namba zako za simu tukilikamilisha tutakupigia,’’ alisema kamanda huyo ambaye amehamia mkoani hapa Jumanne iliyopita akitokea Mkoa wa Geita akiziba nafasi ya Faustine Shilogile aliyehamishiwa makao makuu ya polisi jijini Dar
Share:

LULU,SIO MABOSI WOTE WANATAKA TUKUTANE NAO KIMWILI (NGONO)


STAA wa filamu ya Foolish Age, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amewatetea mabosi wa wasanii akidai si wote wana tabia ya ‘kuduu’ na wafanyakazi wao.
Staa wa filamu ya Foolish Age, Elizabeth Michael ‘Lulu’.
Akijibu swali aliloulizwa na paparazi wetu kuhusiana na mabosi wakware, Lulu alitiririka:
“Imezoeleka kuwa mabosi wote hawawezi kufanya kazi na msanii bila kuomba penzi, si wote, wapo wasioomba,” alisema Lulu ambaye aliwahi kutajwa kuwa anatembea na mmoja wa mabosi wake wa sasa.
Share:

WEMA SEPETU, DIAMOND WAKIFANYA YAO CHUMBANI,CHEKI PICHA HAPA


MASUPASTAA ambao ni wachumba (wanasema wenyewe), Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu na Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ wakiwa katika pozi la kimahaba kitandani Naf beach hotel. Picha hizi Wema  amezitupia katika akaunti yake ya Instagram na kuandika maneno yafuatayo "Thank God tumemaliza salama...Nd we are Happy it went well...Alahamdulillah....Baadae inshallah...Tulale kwanza alafu yale mapichapicha na kila kitu, leteeeeers.."
Share:

Friday 2 May 2014

ADMISSION FOR UNIVERSITIES ACADEMIS YEAR 2014/2015


Tanzania Commission for Universities (TCU) in collaboration with National
Council
for Technical Education (NACTE) hereby inform all prospective
applicants who completed their studies
from 1988 to
2013 that, they will start
lodging their applications for admission into higher education institutions for
the 2014/2015
Share:

DENTI MIAKA 12 AOLEWA

Stori: Denis Mtima na Mayasa Mariwata, Pwani
YELEUWII! Kuishi kwingi ni kuona mengi, kijana aliyejitambulisha kwa jina la Andrew Vincent (23) ambaye amemaliza kidato cha nne mwaka jana, amejikuta katikati ya matatizo kufuatia kufunga pingu za maisha na mwanafunzi wa darasa la tano aliyefahamika kwa jina moja la Wastara (12), wote wakazi wa Bagamoyo, Mkoa wa Pwani.
Wastara akifanya usafi ndani kwake baada ya kuolewa.
Tukio hilo lilijiri Aprili 26, mwaka huu ambapo kikosi kazi cha Oparesheni Fichua Maovu ‘OFM’ kilipokea taarifa kutoka kwa wasamaria wema wakilalamikia kitendo hicho na kutaka mwanafunzi huyo asaidiwe ili arudi shule.
OFM kama kawaida yake, ilitinga eneo hilo kwa ajili ya kufuatilia taarifa hizo ambapo iliweza kuungana na mwalimu mkuu wa shule ya msingi anayosoma ‘bi harusi’ huyo, Hamad Mnaguzi na viongozi wengine wa kamati ya shule akiwemo mwenyekiti wa serikali ya kijiji, Shaban Zageni.
Kijana aliyefahamika kwa jina la Andrew Vincent anayetuhumiwa kuoa mwanafunzi.
OFM na viongozi hao walikwenda nyumbani kwa wazazi wa mtoto aliyeozeshwa na kumkuta mama yake aliyejitambulisha kwa jina la mama Wastara huku akikataa kutaja alikokwenda baba wa mtoto huyo pamoja na wanandoa wenyewe.
OFM ilipomuhoji kama anatambua tukio la mtoto wake kuozeshwa alikataa kuwa, hana mtoto wa shule ambaye ameolewa hivi karibuni huku akidai kuwa yeye ana mtoto mmoja tu ambaye aliolewa miaka mitatu iliyopita.
Baada ya kubanwa, ndipo akakiri kumuozesha bintiye na kudai kuwa familia ilifanya hivyo kutokana na ugumu wa maisha.
Hata hivyo, mama huyo akasema hajui makazi ya mwanaume huyo yalipo.
OFM kwa kushirikiana na viongozi hao wa serikali walimchukua mama huyo hadi kwenye ofisi ya serikali ya mtaa huo na kumlazimisha aelekeze alipo mwanae ndipo mjomba wa Wastara alijitokeza na kusema anapajua walipo wanandoa hao.
Saa 3 usiku, OFM na viongozi hao walifika kwenye kituo cha mafuta kilichopo Msata, Bagamoyo, Pwani na katika uliziaulizia, nyumba hiyo ilipatikana ambapo bwana harusi na baba yake walikimbia.
OFM ilifanya jitihada za kumsaka kijana huyo na kufanikiwa kumnasa na kumhoji kwa kina sababu ya kuoa denti wa shule ya msingi ambaye walimu wake wanamtambua kuwa ni mwanafunzi wao, akajitetea kuwa, aliwasiliana na wazazi wa binti huyo baada ya kukutana naye njiani na kuvutiwa kumuoa.
Wastara akiwa na begi lake.
“Mimi sikujua kama mwanafunzi niliambiwa hasomi, najuta! Hapo nimetoa mahari shilingi 300,000 lakini sina budi kuachana naye,” alisema kijana huyo.
Akaendelea: “Nimelala naye siku moja tu baada ya ndoa, ni vyema wanirudishie mahari yangu.”
Kwa upande wake denti huyo alisema hakuwa tayari kuolewa mapema ila kwa kuwa alikuwa haendi shule akaona bora afanye hivyo.
Baada ya mahojiano hayo, OFM na viongozi hao walimwamuru binti arudi kwa wazazi wake ili kufanyiwa mpango wa kuendelea na masomo huku wanandoa hao wakiangua vilio kwa kuwa ndoa yao ilikuwa bado


Share:

AJALI MBAYA YATOKEA MAENEO YA MOROGORO



Photo: Ajali mbaya imetokea usiku wa leo karibu na morogoro ikihusisha nagari sita kuna watu waliojeruhiwa
Ajali mbaya imetokea usiku wa wa wakuamikia leo karibu na Morogoro ikihusisha magari sita kuna watu waliojeruhiwa.
Share:

Magazeti Leo IJUMAA

1517643_701141009950360_7724427836005048895_n_16323.jpg
IMG-20140502-WA0034_5031a.jpg
IMG-20140502-WA0056_e2863.jpg
IMG-20140502-WA0063_6b9e0.jpg
10154453_701141743283620_8333108513808911619_n_9d30f.jpg
10314483_701141036617024_3945252458241646196_n_5d456.jpg

Share:

JK: Mishahara itapanda na itapunguzwa kodi


Rais Jakaya Kikwete akiangua kicheko wakati walimu (juu), walipokuwa wakipita kwa maandamano, huku wakiimba ‘Shemeji mshahara bado’ wakati wa sherehe za Siku ya Wafanyakazi (Mei Mosi) zilizofanyika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam jana. Walimu walimwita shemeji kwa kuwa mkewe, Salma ni mwalimu kitaaluma. Picha na Silvan Kiwale. 
Dar/mikoani. Rais Jakaya Kikwete ametoa ahadi mbili za kuwafurahisha wafanyakazi. Kwanza ametangaza nia ya kuongeza mishahara yao na pili, kupunguza kodi inayokatwa kwenye mishahara hiyo mambo ambayo ameahidi kutekelezwa katika Bajeti ya mwaka 2014/2015 inayotarajiwa kuwasilishwa bungeni hivi karibuni.
Akizungumza kwenye maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi (Mei Mosi), yaliyofanyika kitaifa Dar es Salaam jana, Rais Kikwete alisema anatambua kuwa wafanyakazi wana hamu ya kujua Serikali itasema nini kuhusu masilahi yao.
Alisema malalamiko ya wafanyakazi wengi ni kutaka kuona kima cha chini cha mshahara kinaongezwa huku kodi kwenye mishahara (Paye), ikipungua.
“Mimi na wenzangu serikalini hatuna upungufu wa dhamira ya kufanya hivyo, tumethibitisha miaka iliyopita na tutaendelea kuwa hivyo,” alisema.
Huku akishangiliwa na wafanyakazi waliofurika katika Uwanja wa Uhuru, Rais Kikwete alisema: “Najua kuwa nyongeza tuliyotoa mwaka jana si kubwa kama wafanyakazi walivyotaka iwe... hata mimi nisingependa iwe hivyo.”
“Kwa nyongeza iliyofanywa mwaka jana, hivi sasa Serikali inatumia asilimia 44.9 ya Bajeti kulipa mishahara ambayo ni asilimia 10 ya Pato la Taifa.”
Akifafanua namna Serikali ilivyofikia uamuzi wa kuongeza mishahara kwa mwaka huu, Rais Kikwete alisema kulikuwa na mjadala mkali baina ya wafadhili waliodai nyongeza ni kubwa mno.
“Ni kweli mapato yetu ni madogo lakini kwa kuwa mishahara ni midogo, lazima tuendelee kuongeza, hata hicho kidogo lazima ukitoe ili uijenge ile nafuu, alisema bila kutaja kiwango kitakachoongozwa.
“Hata sasa kumekuwa na ubishi mkali kati ya Wizara ya Utumishi na Hazina kuhusu nyongeza ya mwaka huu iwe mpaka kiasi gani, nikaingilia kati nikakubaliana na utumishi, Hazina walikuwa wanataka ipingue kidogo,” alisema.
Walimu na shemeji yao
Suala la mshahara lilijitokeza kwa namna nyingine kwenye maandamano ya wafanyakazi pale walimu walipoamua kusimama mbele ya jukwaa kuu na kumweleza Rais Kikwete ambaye walimtaja kama shemeji yao, kwamba hawajapata mshahara wa Aprili wakimtaka aingilie kati.
“Shemeji, shemeji, shemeji, hatujapata mishahara yetu ya Aprili, tunaomba utusaidie,” walitoa ujumbe huo kwa njia ya wimbo. 
Tofauti na wafanyakazi wengine ambao walipita mbele ya mgeni rasmi bila kusimama, walimu walisimama kwa dakika moja kuhakikisha ujumbe huo unamfikia.
Wakati hayo yakitokea, Rais Kikwete na viongozi wengine walikuwa wakicheka huku wakiwaangalia walimu hao waliokuwa wakiendelea kuimba wimbo huo.
Ajira kwa wageni
Rais Kikwete aliagiza yafanyike marekebisho kwenye sheria ya vibali vya ajira ili kudhibiti ongezeko la wafanyakazi wa kigeni nchini ambao wanafanya kazi zinazoweza kufanywa na Watanzania.
Aliagiza hatua hiyo itekelezwe haraka hata ikibidi kwa kupeleka bungeni hati ya dharura ili kuhakikisha jambo hilo linaanza mara moja.
Malalamiko ya Tucta
Katibu Mkuu wa Shirikisho la Wafanyakazi Tanzania (Tucta), Nicholas Mgaya alisema pamoja na ongezeko la mishahara kufanyika kila mwaka, limekuwa dogo mno kiasi cha kushindwa kufikiwa kima cha chini ya mshahara kinachotakiwa.
Alisema kwa upande wa sekta binafsi, Serikali imeongeza mshahara kutoka Sh100,000 hadi Sh450,000 mwaka jana, huku sekta ya kilimo ikiwa ya mwisho kwa kuwa na kiwango cha chini zaidi.
“Hali hii imesababisha kuwapo kwa upungufu mkubwa wa wafanyakazi mashambani na hivyo kuathiri uzalishaji wa mazao,” alisema na kuongeza:
“Tunapenda kuikumbusha Serikali kwamba kumlipa mfanyakazi mshahara unaokidhi mahitaji muhimu ya maisha siyo jambo la fadhila, bali ni mojawapo ya haki za msingi za binadamu zinazosisitizwa na jumuiya za kimataifa.”
Tanga
Mkuu wa Wilaya ya Pangani, Hafsa Mtassiwa alisema Serikali inatambua changamoto zinazowakabili wafanyakazi zikiwamo za kodi ya mishahara kuwa juu na kwamba inazifanyia kazi.
Mratibu wa Tucta Mwanza, Evarist Mwalongo ameutaka uongozi wa mkoa kuwachukulia hatua za kisheria waajiri wasiofuata sheria za kazi huku akiitaka Serikali kubadilisha sheria ya mifuko ya hifadhi ya jamii, ili itoe mafao mazuri kwa wastaafu na kiwango cha kodi kwenye mshahara kipungue hadi asilimia moja.
Mara
Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mara, John Henjewelle amewaagiza waajiri kuwalipa wafanyakazi masilahi yao kwa wakati ili kuepusha migogoro ya mara kwa mara kazini.
Share:

Hamad Rashid: Nitagombea urais 2015


Hamad_Rashid6_3bea3.jpg
Dodoma. Mbunge wa Wawi (CUF), Hamad Rashid Mohamed amesema anapanga kujitosa kwenye kinyang’anyiro cha urais katika Uchaguzi Mkuu mwakani.
Akizungumza katika mahojiano maalumu hivi karibuni mjini Dodoma, Hamad Rashid alisema: “Kama Mwenyezi Mungu akinijalia uhai na uzima mwakani, ninatarajia kuingia kwenye kinyang’anyiro cha urais ama wa Muungano au wa Zanzibar.
“Ila sijaamua kama ni Bara au Zanzibar; kama ni chama cha CUF au kingine, hayo yote yatakuja baadaye,” alisema Hamad Rashid.
Mohamed ambaye ana mgogoro mahakamani na chama chake cha CUF, ametoa kauli hiyo wakati tayari viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), CUF kikiwamo wanajipanga kusimamisha mgombea mmoja wa urais katika uchaguzi ujao.
Mbali na CUF, vyama vingine vinavyounda Ukawa ni NCCR-Mageuzi na Chadema ambavyo pia vinakusudia kusimamisha mgombea mmoja kwa nafasi za ubunge na udiwani, lengo likiwa kukabiliana na nguvu ya chama tawala, CCM.
Hamad Rashid aliyekuwa Mjumbe wa Baraza Kuu CUF, alifutwa uanachama Januari 4, 2012 na Baraza la Uongozi la chama hicho kwa madai ya kukihujumu kwa mujibu wa kifungu 63 (1) (j) na 64 (1-5) cha Katiba ya CUF. Wengine waliotimuliwa pamoja na Hamad ni Doyo Hassan Doyo, Shoka Hamis Juma na Juma Said Sanani.
Sakata la Hamad kuvuliwa uanachama lilianza baada ya kutangaza kuwania nafasi ya Katibu Mkuu wa chama hicho katika uchaguzi wa mwaka huu, nafasi inayoshikiliwa na Seif Shariff Hamad ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais, Zanzibar.
Hata hivyo, Januari 10, 2012 Hamad Rashid na wenzake waliiomba Mahakama iwatie hatiani wadhamini wa CUF, kwa kukiuka amri ya Mahakama kutokana na uamuzi wa Baraza la Taifa la Uongozi la chama hicho kuwafukuza uanachama wakiwa tayari wameweka zuio.
Baadaye Septemba mwaka jana, Hamad alikaririwa na gazeti moja akisema suluhu yake na CUF haiwezi kupatikana kwa kuwa kuna baadhi ya mambo ambayo hakubaliani nayo ndani ya chama hicho.(MWANANCHI) (FS)
Share:

Jeshi la Syria lashambulia soko Aleppo


Wanaharakati nchini Syria wanasema kuwa jeshi la serikali limetekeleza shambulizi la hewani katika soko moja lilikoko katika sehemu inayothibitiwa na waasi Aleppo. 
Read more...
Share:

AISHA BUI AJIFUNGUA MTOTO WA KIKE


STAA wa filamu za Kibongo, Aisha Bui amepata mtoto wa kike aliyejifungua kwa njia ya upasuaji lakini kumekuwa na usiri mkubwa katika jambo hilo.
Staa wa filamu za Kibongo, Aisha Bui.
Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Aisha alisema anamshukuru Mungu kwa kumjaalia mtoto wa kike aliyempa jina la Saloma.
“Nimefurahi sana, kumpata mtoto ni jambo la kumshukuru Mungu na sasa najisikia raha sana kuitwa mama,” alisema Aisha na kuongeza kuwa, mwanaume aliyezaa naye ni mchumba wake wa siku nyingi ambaye anaishi nje ya nchi na wanatarajia kufunga ndoa siku si nyingi.
Share:

CATHY: MIAKA 13 YA NDOA NIACHIKE, MH!


MSANII mkongwe kunako gemu la filamu Bongo, Sabrina Rupia ‘Cathy’ amefunguka kuwa hawezi kuachika kwenye ndoa yake iliyodumu kwa miaka 13 na wanaosubiri aachwe, watasubiri sana.
Msanii mkongwe kunako gemu la filamu Bongo, Sabrina Rupia ‘Cathy’.
Akizungumza na paparazi wetu juzi Cathy alisema kuwa, amekuwa akizushiwa kwamba anatoka nje ya ndoa na wasanii tofauti lakini hayo ni maneno tu ambayo hayamuumizi mumewe kwani ni muelewa na hawezi kuyasikiliza.
“Ndoa yetu ina miaka 13 sasa, nawashangaa sana wanaosema mimi nachepuka kwa kutoka na Dude, ninachoweza kusema ni kwamba hata wakimwambia mume wangu hawezi kuniacha maana mimi na yeye tulianzia mbali sana, kusikiliza umbeya wa watu ni kupoteza muda,” alisema Cathy.
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger