
August 29 2016 Kupitia Hekaheka ya Clouds FM Geah Habib ametuletea
Hekaheka iliyotokea Tanga ambapo mzee mmoja kafumaniwa na mkewe akiwa na
mtoto wa shule wa miaka 14.
Mjomba wa mtoto ameeleza kuwa mtoto amekuwa akijiandaa asubuhi na mapema
sana na anaaga anaenda shule lakini...