Friday, 2 April 2021

SERIKALI YATANGAZA KUSITISHA BEI MPYA ZA BANDO 'VIFURUSHI' VILIVYOZUA GUMZO LEO

Kufuatia malalamiko na mjadala mkubwa mara baada ya kutangazwa kwa bei mpya za vifurushi kwani matarajio ya wengi ilikuwa ni kushuka kwa gharama hizo leo Aprili 2,2021, Serikali imetangaza kusitisha kutumika kwa gharama hizo hadi hapo itakapotangazwa baadaye. Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano...
Share:

ONGEZEKO VIFURUSHI 'BANDO' KILIO KILA KONA... STEVE NYERERE ATAKA WAZIRI ASEME WALAU NENO MOJA TU

Kulia ni Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Faustine Ndugulile, kushoto ni msanii wa filamu Steve Nyerere ** Mapema leo Ijumaa Aprili 2, 2021 kumeibuka mjadala  mkubwa miongoni mwa watumiaji simu za mkononi baada ya mambo kuwa kinyume na matarajio yao licha ya kuanza kutumika...
Share:

FUNDI AFARIKI KWA KUPIGWA SHOTI AKICHOMELEA GARI

Mkazi wa Mtaa wa Kazaroho, Kata ya Mbugani katika Manispaa ya Tabora, Salumu Madinda amepoteza maisha papo hapo baada ya kupigwa na shoti ya umeme wakati akichomelea sehemu iliyopasuka kwenye bodi la gari kwa kutumia mtambo wa kuchomelea (welding machine). Baadhi ya watoto wa marehemu ambao walikuwa...
Share:

TAZAMA HAPA FILAMU YA YESU KWA LUGHA YA KISUKUMA (The Jesus Film - Sukuma / Kisukuma Language (Tanzania)

Wakati wakristo kote duniani wakisherekea sikukuu ya pasaka weekend hii,Malunde1 blog imekuletea Filamu kuhusu Maisha ya Yesu iliyochezwa kwa kutumia Lugha ya Kisukuma....Bonyeza Play hapa chini ...
Share:

GEKUL AHAIDI KUIMARISHA USHIRIKIANO KWA WADAU WA TASNIA YA HABARI NCHINI

Rais Samia Suluhu Hassan akimwapisha Pauline Gekul kuwa Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo katika hafla iliyofanyika katika Ikulu ya Chamwino Jijini Dodoma jana. Waziri wa Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Innocent Lugha Bashungwa (asiye na Miwani) akizungumza na Viongozi...
Share:

WANANCHI NYALIGONGO WAKABIDHI MSAADA WA MADAWATI SHULENI, DC MBONEKO AONYA WAZAZI KURUBUNI WATOTO KUFELI MTIHANI

  Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko, kulia akipokea msaada wa Madawati, kutoka kwa Mwenyekiti wa Serikali ya kijiji cha Nyaligogo Masumbuko Lushona kushoto, ili kupungufa upungufu wa madawati katika shule ya Msingi Nyaligongo wilayani Shinyanga. Na Marco Maduhu, Shinyanga. Wananchi...
Share:

ICT OFFICER II at Tanzania Tobacco Board

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content RE: ADVERTISEMENT OF TRANSFER VACANCIES Ref. No. TTB/P.3/VOL.II/143 Introduction The Tanzania Tobacco Board (TTB) invites applications from suitably qualified Public Servants who wish to transfer their employment to fill 8 vacant posts in various post/designations. Establishment of...
Share:

RECORDS MANAGEMENT ASSISTANT II 3 posts at Tanzania Tobacco Board

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content RE: ADVERTISEMENT OF TRANSFER VACANCIES Ref. No. TTB/P.3/VOL.II/143 Introduction The Tanzania Tobacco Board (TTB) invites applications from suitably qualified Public Servants who wish to transfer their employment to fill 8 vacant posts in various post/designations. Establishment of...
Share:

PERSONAL SECRETARY II at Tanzania Tobacco Board

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content RE: ADVERTISEMENT OF TRANSFER VACANCIES Ref. No. TTB/P.3/VOL.II/143 Introduction The Tanzania Tobacco Board (TTB) invites applications from suitably qualified Public Servants who wish to transfer their employment to fill 8 vacant posts in various post/designations. Establishment of...
Share:

Chief, Procurement, P-4 at IRMCT

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content Org. Setting and Reporting This position is located in the Arusha branch of the Mechanism. The incumbent reports to the Chief Administrative Officer. Responsibilities Within delegated authority the incumbent will be responsible for the following duties: • Serves as a senior procurement...
Share:

Project Executant at WWF

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content VACANCY: PROJECT EXECUTANT – CORAL REEF RESCUE INITIATIVES (CRRI) & FISHERIES WWF is seeking to hire a competent and motivated Project Executant – Coral Reef Rescue Initiatives (CRRI) & Fisheries for its office in Tanzania, based in Dar es salaam. Main Tasks Under the technical...
Share:

VIJANA WA KIUME WADAI UCHUMI WA NG’OMBE UNACHOCHEA NDOA UTOTONI

  Picha ya ng'ombe Na Deogratius Temba, Kahama Vijana wameaswa kutafuta vyanzo mbadala vya uwekezaji ili kujukwamua kimaisha badala ya kutegemea kuwaoza wasichana wa shule ili wapate mahari ya ng’ombe.  Wakizugungumza katika mdahalo wa wanaume  juu kubadili mtazamo na mila na desturi...
Share:

Regional Emergency Director – Great Lakes at International Rescue Committee

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content Requisition ID: req14096 Job Title: Regional Emergency Director – Great Lakes Sector: Emergency Response Employment Category: Fixed Term Employment Type: Full-Time Open to Expatriates: Yes Location: Dar es Salaam, Tanzania Job Description   This...
Share:

UFUNGUO PROJECT MANAGER at UNDP

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content Background UNDP Tanzania’s inclusive growth programme 2016 – 2021. The overarching goal is to support Tanzania to accelerate inclusive economic growth with a focus on poverty reduction, job creation and environmental sustainability, in line with the principal objectives set out in the...
Share:

Senior Accountant at Pathfinder International

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content Pathfinder Overview Pathfinder International is driven by the conviction that all people, regardless of where they live, have the right to decide whether and when to have children, to exist free from fear and stigma, and to lead the lives they choose. Since 1957, we have partnered with...
Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO IJUMAA APRILI 2,2021

...
Share:

Thursday, 1 April 2021

JESHI LA POLISI TANZANIA: HATUTEGEMEI KUONA SHEREHE NA SHAMRASHAMRA ZOZOTE SIKUKUU HII YA PASAKA

Wakati Wakristo duniani wakitarajia kusherehekea sikukuu ya Pasaka siku ya Jumapili Aprili 4, 2021, Jeshi la Polisi Tanzania limesema halitarajii kuona shamrashamra zozote. Hali hiyo inatokana na kwamba nchi ya Tanzania bado ipo ndani ya siku 21 za maombolezo kufuatia kifo cha Rais wa awamu ya tano...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger