Friday, 18 January 2019

Mfumo wa Usimamizi wa Mawasiliano ya Simu (TTMS)

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano  nchini (TCRA), Injinia James Kilaba, amesema Mfumo wa Usimamizi wa Mawasiliano ya Simu (TTMS) utasaidia kurahishisha usimamiaji wa masuala mengi hasa katika ukusanyaji wa mapato hivyo kuiongezea nchi nafasi ya kukua kiuchumi.

Ameyasema hayo alipokuwa akitoa taarifa kuhusu mfumo huo katika makabidhiano ya yaliyofanyika jijini Dar es Salaam leo Ijumaa Januari 18.

Injinia Kilaba amesema TCRA inafanya kazi kwa ukaribu na Mamlaka ya Mapato nchini (TRA), ambapo mfumo huo utawasaidia kukusanya taarifa muhimu za wateja wao kwa kutumia njia ya simu.

“Mfumo huu una faida sana katika nchi yetu lakini hasa katika ukusanyaji wa mapato kwa sababu utawezesha kutambua vyanzo vya mapato ya watoa wa huduma za fedha kwa njia ya simu na itawasaidia TRA kufanya kazi zao kwa urahisi,” amesema.

Amezitaja faida zingine zitakazopatikana kutokana na mfumo huo utawezesha kupatikana takwimu za mawasiliano yanayofanyika ndani na nje ya nchi, kupata na kugundua mawasiliano ya simu za ulaghai na kutambua ada za huduma za fedha mtandaoni.


from MPEKUZI http://bit.ly/2RTvhYj
via Malunde
Share:

Tiba Bora ya Nguvu za Kiume, Kisukari, Ngiri, Miguu Kuvimba

Matatizo ya nguvu za kiume yanawaathiri watu wengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona tofauti sana na wengine. Kawaida mwanaume anatakiwa kuwa na uume kuanzia nchi 6- 8, vinginevyo mtu huwa na matatizo. Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo. 

Baadhi ni upungufu wa vichocheo hivi; Homoni za getrogen ambazo mwanaume anapobalehe, vichochea hivi huchochea ukuaji wa uume.

Ngiri; Hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na hufanya tumbo kuunguruma na kujaa gesi. Sababu zingine ni korodani moja kuvimba, kupopata choo vizuri.

Sababu hizi na zingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na mara kwa mara husababisha kukosa tendo ya kurudia tendo na baadae kushindwa kabisa

MWIFU: Ni dawa inayozalisha homoni zxa Gestrogen na kufanya uume kukua na kuongezeka hadi nchi 6-8
 
WET POWER: Ni dawa bora ya vidonge iliyotengenezwa kwa mitishamba na matunda ambayo huongeza nguvu za kiume kuanzia miaka 15-95 na hukomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi, ina imariisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa na itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara mbili bila hamu kuisha na pia itakuchelewesha kufika kileleni

Pia tunatibu kisukari, presha, ngiri, miguu kuvimba na kuwaka moto

Wasiliana na Sheikh Khatib akutatulie matatizo yako. Namba zake; 0782682648  au 0656 551 093  au 0746473974


from MPEKUZI http://bit.ly/2CuGFA9
via Malunde
Share:

ANUSURIKA KUPOFUKA BAADA YA KUBUGIA DAWA ZA KUONGEZA NGUVU ZA KIUME 'VIAGRA'


Mtu ambaye aliripotiwa kuwa alikunywa chupa 30 zenye ujazo wa mililita za dawa aina ya sildenafil, ambayo hutumiwa kusisimua sehemu za siri za kiume, alijikuta akipoteza uwezo wa kuona, ambao ni pamoja na kudhoofisha uwezo wa kuona usiku, kwa mujibu wa jarida la utafiti wa afya lililochapishwa hivi karibuni.


Mtu huyo, ambaye hakutajwa na anasemekana kuwa na umri wa zaidi ya miaka hamsini, alikunywa mara kumi zaidi ya kiwango kinachoshauriwa, IFLScience ilisema.

Baadaye mtu huyo alikwenda kwa madaktari wa macho wa macho wa kituo cha Massachusetts Eye and Ear Infirmary jijini Boston ambako alieleza kuwa alikuwa na tatizo la kuona usiku na alikuwa akiona vitu vye umbile la donati, kwa mujibu wa jarida hilo la IFLScience.

Madaktari walisema baada ya kutafiti dalili zote — isipokuwa ya kuona vitu vyenye umbile la donati— hali yake ilikuwa nzuri baada ya kupata matibabu. Walisema alipata tatizo katika retina (sehemu inayopokea nuru) za macho yake, jari hilo lilisema.

Dawa hiyo ya Sildenafil hufanya kazi kwa kuongeza kasi ya mwenendo wa damu kuelekea sehemu za siri za mwanamume, na kumuwezesha mtu aliye na tatizo la sehemu hizo kutofanya kazi, kuweza kujamiiana.

Katika shauri la mtu huyo, hata hivyo, kiwango cha sildenafil alichokunywa kinaweza kuwa kilisababisha “mishipa ya damu ya macho kutanuka kwa haraka au kwa nguvu, na kusababisha uharibifu,” limeripoti jarida hiyo la IFLScience.

Lilisema hata kutumia kiwango kinachoshauriwa cha cha sildenafil kunaweza kusababisha tatizo la kuona, Jamie Alan, profesa msaidizi wa masuala ya dawa na sumu wa Chuo Kikuu cha Michigan aliiambia Yahoo.

Hata tovuti ya Viagra imeonya kuwa “kupotea ghafla kwa uwezo wa kuona wa jicho moja au yote" ni moja ya madhara yanayoweza kusababishwa na dawa hiyo.

Share:

MWENYEKITI CCM TARIME APIGA TAFU UJENZI WA SHULE SHIKIZI

Na Frankius Cleophace Tarime. Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Tarime mkoani Mara Daud Marwa Ngicho ametoa kiasi cha shilingi milioni moja, mifuko 50 ya saruji na lori tano za mchanga kwa ajili ya kuunga nguvu za wananchi katika ujenzi wa shule ya msingi Keweirumbe iliyopo katika kijiji cha Masurura kata ya Goronga wilayani humo ili kupunguzia wanafunzi hao kutembea zaidi ya kilometa 600. Mwenyekiti huyo amedai kuwa ameamua kuchangia ujenzi huo baada ya kuona nguvu za wananchi katika ujenzi huo kuwa kubwa na kuonyesha nia na moyo…

Source

Share:

MWENYEKITI CCM TARIME APIGA TAFU UJENZI WA SHULE SHIKIZI.

Na Frankius Cleophace Tarime. Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Wilaya ya Tarime Mkoani Mara Daud Marwa Ngicho ametoa kiasi cha shilingi Millioni Moja, Mifuko 50 ya Saruji na Tripu 05 za Mchanga kwa ajili ya kuunga nguvu za wananchi katika ujenzi wa shule ya msingi Keweirumbe iliyopo katika kijiji cha Masurura kata ya Goronga Wilayani Tarime Mkoani Mara ili kupunguzia wanafunzi hao kutembea zaidi ya Kilometa 600. Mwenyekiti huyo alidai kuwa ameamua kuchangia Ujenzi huo baada ya kuona nguvu za wananchi katika ujenzi huo kuwa kubwa na kuonyesha nia…

Source

Share:

Je Kwanini Baadhi Ya Wanaume Wengi Wana Ukosefu Ama Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo

JE KWANINI BAADHI YA WANAUME WENGI WANA UKOSEFU AMA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO ???

Pata sululisho la matatizo haya na  magonjwa mengine utapona kwa mda mfupi sana hatakama ulihangaika mpaka ukakata tamaaa 

GALIMBO 3 MIX  ni dawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa aina mbili ili kukidhi mahitaji ya mtumiaji, imetengenezwa kwa muundo wa vidonge pamoja na unga kwaajili ya kuponesha tatizo moja kwa moja , huimalisha misuli ya uume iliyolegea wakato wa tendo la mdoa ,na kukufanya ucherewe kufika kileleni kwa mda wa dk ( 20 - 45 ) itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya Mara tatu nira hamu kuisha wara kuhisi kuchoka vilivile huzalisha viini vya uzazi ( manii ) 

YOLAN  hurefusha na kunenepesha  maumbile madogo ya uume na kuwa na uume kuanzia nchi (6-8) tiba kwa mda mfupi sana

Zipo sananu nyingi sana zinazosababisha matatizo hayo  km vile -:punyeto, kisukali,ngili,chango,vidonda vya tumbo,  tumbo kuunguluma na kujaa gesi maumivu ya mgongo ama kiume ,kolodani moja kuvimba ama kuingia ndani  presha nk 

Matatizo haya yote sio mageni, kigeni ni tiba sahihi ya kuponesha matatizo hayo

SUPER MBUKE -:  nidawa ya kuponesha tatizo la kisukali kwa mda mfupi sana , usihangaike wara kuteseka tumia dawa ya mitishamba kwaajili ya tatizo hili na upone kabisa

NTINJIWA  nidawa ya mvuto wa biashara,kazi, kupandishwa cheo,kumfanya mfanyakazi apendwe na bos wake

Pia ninadawa za kumvuta mme , mke,mchumba,hawara, au mtu yoyote unaemuhitaji katika maisha yako hata km yupo mbali na atatulia na kukutimizia cjovjote utakacho na kumfunga asiwe na mtu mwingime ,

Pata tiba za magonjwa mbalimbali ikiwemo miguu kuwaka moto, mgongo,bawasili ,kaswende ,gono na mengine mengi

KWAUSHAULI NA TIBA WASILIANA NA DR CHIKAGO    0743543944   0620510598

Km huna nafasi ya kufika ofisini hudumahii utaletewa hapo ulipo , kwa wale wa mikoani natuma kwanjia ya basi


from MPEKUZI http://bit.ly/2AUqUTh
via Malunde
Share:

Ofisi Ya Waziri Mkuu – Idara Ya Uratibu Maafa Yaridhishwa Na Hatua Za Kurejesha Hali Daraja La Dumila

Mkurugenzi Idara ya Uratibu Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu, Kanali, Jimmy Matamwe akikagua sehemu ya kingo za daraja la Dumila, ambalo hivi karibuni kingo za daraja hilo ziliathirika kutokana na mvua zilizonyesha wilayani Kilosa mkoani Morogoro. Kamati ya Usimamizi wa  maafa  ya mkoa na wilaya  zilichukua hatua ya kurejesha hali ya kawaida ya daraja hilo kwa wakati.


Muonekano wa mawe yaliyowekwa katika Daraja la Dumila wilayani Kilosa mkoani Morogoro, ikiwa ni hatua ya kamati ya Usimamizi wa maafa ya mkoa na wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro ya  kurejesha hali ya kawaida ya daraja hilo kuweza kupitika. Daraja hilo liliathirika  kingo zake kutokana  na mvua zilizonyesha wilayani Kilosa juzi.

Vyombo vya Usafiri, ikiwa ni magari, pikipiki na baiskeli pamoja na watembea kwa miguu wakipita  katika Daraja la Dumila wilayani Kilosa mkoani Morogoro, baada ya kingo za daraja hilo zilizo kuwa zimeathiriwa na mvua  kujengwa kutokana na  mvua zilizonyesha wilayani Kilosa juzi.  Hatua hiyo ilifanywa kwa wakati na kamati ya Usimamizi wa maafa ya mkoa na wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro .

Mkurugenzi Idara ya Uratibu Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu, Kanali, Jimmy Matamwe akimsikiliza Mratibu wa Kurejesha Hali Daraja la Dumila, Mhandisi wa TANRODS- Morogoro, Deogratius, akimueleza hatua walizochukua katika kurejesha hali ya  hilo ambalo hivi karibuni kingo za daraja hilo ziliathirika kutokana na mvua zilizonyesha wilayani Kilosa mkoani Morogoro. Kamati ya Usimamizi wa  maafa  ya mkoa na wilaya  zilichukua hatua ya kurejesha hali ya kawaida ya daraja hilo kwa wakati.

(PICHA ZOTE NA OFISI YA WAZIRI MKUU)


from MPEKUZI http://bit.ly/2W9LCHU
via Malunde
Share:

Rais Magufuli aagiza taasis zote za kifedha ziunganishwe

Rais Dk John Magufuli ameigiza Wizara ya Fedha na Mpango kuunganisha taasis za kifedha ziwe chini ya mfumo mmoja wa kimawasiliano utakaoirahishia Serikali kujua mapato yanayokusanywa lakini pia kupunguza gharama za uendeshaji wa kila taasis.

Ametoa agizo hilo leo Ijumaa Januari 18, alipokuwa akihutubia viongozi mbalimbali na wananchi waliojitokeza katika Makabidhiano ya mfumo wa usimamizi wa mawasiliano ya simu (TTMS) nchini, uliofanyika jijini Dar es Salaam.

Rais Magufuli amesema mfumo huo utarahisisha taasis hizo hasa ya ukusanyaji mapato kwani taarifa zitakuwa za uwazi hivyo itapunguza udanganyifu na ubadhirifu wa fedha unaofanywa na baadhi ya watumishi wasio wazalendo.

“Naiagiza Wizara ya Fedha kuhakikisha taasisi zote za kukusanya mapato na za kifedha ziunganishwe na mfumo mmoja wa kieletroniki utakaowasaidia kufanya kazi zao kisasa zaidi.

“Nitashangaa kama hazitaungaishwa mtafanya niamini mnafanya kazi gizani na mimi nataka tuwe na tochi ya kuwamulika na tochi hiyo ni kuwa na mfumo unganishi,” amesema Rais Magufuli.

Aidha Rais Magufuli amesema bila mfumo huo serikali ingeendelea kupoteza fedha nyingi bila kujua kwani wanaotakiwa watote taarifa za ukusanyaji mapato wangeleta kile wanachokitaka wao bila mtu mwingine kujua lakini sasa taarifa zote zitakuwa wazi.


from MPEKUZI http://bit.ly/2TYfHIh
via Malunde
Share:

Kiboko Ya Matatizo Ya Nguvu Za Kiume, Maumbile Madogo Mvuto Wa Mapenzi

*************************
KIBOKO YA  MATATIZO YA  NGUVU  ZA  KIUME MAUMBILE MADOGO MVUTO  WA  MAPENZI .
MAGONJWA SUGU
*************************
Wanaume  wengi wana  upungufu wa  nguvu  za kiume nakuwa  na  maumbile madogo  ya kiume magonjwa kama  kisukari, presha, ngiri  korodani kuvumba, busha, tumbo kuunguruma na kujaa  gesi  na  kutopata  choo  vizuri, punyeto  NK.
___________________________
Huchangia kwa  kiasi kikumbwa upotevu  wa nguvu  za kiume tumia dawa nzuri ya  mitishamba ambayo haina madhara kwa mtumiaji ata uwe  na  miaka 80 inatibu na kumaliza matatizo  hayo:

 SUPER SHAFT 
********'****************
HII NI DAWA  YENYE  UWEZO  MKUBWA WA  KUOGEZA  NGUVU ZA KIUME MARA  DUFU NA MAUMBILE MADOGO  YA KIUME
************************
(1) Itakufanya uwe  na nguvu za  ajabu ukiwa unafanya tendo la ndoa.
___________________________
(2 ) Inaongeza hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi  ya mara  tatu bila kuchoka.
___________________________
(3)Itakufanya uchelewe kufika kileleni ndani ya dk 30 nakukupa nguvu ya ajabu.
___________________________
(4) Pia itakupa nguvu za kusimamisha uume wako barabara kama msumari wakati wa tendo la ndoa.
___________________________

NYATI POWER
*****************
INAREFUSHA NA KUNENE PESHA MAUMBILE YA KIUME  SAIZI UTAKAVYO kuazia Inchi 1 -8 unene sm 2-4.
*************************
(5) Itaimarisha mirija ya uume iliyolegea au kusinyaa.
___________________________
(6)lnasaidia kisafisha mishipa ya kwenye uume na hivyo kusaidia kuogeza kasi ya msukumo wa damu kwenye mishipa ya uume.
___________________________
(7) Usaidia kuurudisha nje uume ulioingia ndani.
___________________________
(8) Inasaidia kuogeza  manini  nyingi abazo vinaviini vya  uzazi.
___________________________
(9)Husaidia kutibu  madhara ya punyeto.
___________________________
Matumizi makali ya madawa  ya kizungu mirungi, bangi na  sigara.
*************************
TUNATIBU MAGONJWA YOTE SUGU, NGIRI, KORODANI KUVIMBA,  BUSHA BILA KUFANYIWA OPARESHENI, TEZI DUME, KISUKARI, PRESHA AINA ZOTE, UGONJWA WA MOYO STROKU. KWIKWI, KICHOMI MIGUU KUFA NGAZI NK
*************************
ANAPATIKANA MAGOMENI MIKUMI, KARIBU NA  KANISA KATOLIKI, TUMAINI HEARST CLINC NDIYO  SULUHISHO LA MATATIZO YOTE
*************************
PIGA  SIMU
📞0745495181 AU
📞0682644040 
*************************
WOTE  MNAKARIBISHWA
*************************
Kama huna nafasi ya kufika ofisini  kwetu  huduma  hii  utaletewa mahali  ulipo na wa mikoani  mtaipata kirahisi.
KWA MENGINEYO INGIA HAPA
*************************


from MPEKUZI http://bit.ly/2DhHcad
via Malunde
Share:

TCRA yatoa leseni 224 za watoa huduma za maudhui mtandaoni...93 ni za Blogs, 97 ni za Online Tv

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania (TCRA), James Kilaba amesema leseni 224 zimetolewa kwa watoa huduma za maudhui mtandaoni kati ya Machi na Desemba 2018.

Kati ya leseni hizo, 93 ni kwa wamiliki wa blogs, majukwaa ya majadiliano mtandaoni mawili, redio mtandao 32, televisheni mtandao 97.

Kilaba ameyasema hayo leo Ijumaa Januari 18, 2019 katika hafla ya makabidhiano ya Mfumo wa kusimamia uwazi katika mawasiliano ya simu (TTMS) inayofanyika katika ofisi za TCRA jijini Dar es Salaam.

Amesema lengo la kufanya hivyo ni kudhibiti matumizi mabaya ya mitandao na kujihakikishia kuwa maudhui yanayotolewa yanakuwa sahihi.

“TCRA haizuii matumizi ya mitandao ya kijamii katika utoaji wa maudhui bali tunalinda maslahi mapana na endelevu ya jamii inayotumia huduma hizo hususani watoto,” amesema Kilaba.

Amesema kutokana na hali hiyo hivi sasa Watanzania wanapata taarifa ya habari bure kupitia chaneli za ndani kwa mujibu wa sheria.


from MPEKUZI http://bit.ly/2HjwHYj
via Malunde
Share:

Askofu Kakobe: "Tanzania Haijawahi Pata Rais Kama Wewe Rais Magufuli"

Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF), Zachary Kakobe amesema kufanikiwa kwa mataifa makubwa kunatokana na kumtanguliza Mungu mbele katika kila shughuli wanayoifanya.
 
Ameyasema hayo leo Januari 18, 2019 katika hafla ya makabidhiano ya mfumo wa kusimamia uwazi katika mawasiliano ya simu (TTMS) iliyofanyika katika Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania(TCRA) jijini Dar es salaam, ambapo amesema jambo hilo limeweza kudhihirika hata kwa nchi ya Marekani kwani uthubutu wao wa kuweka maneno ya Mungu In God We Trust (Tunamuamini Mungu) katika pesa yao ya Dola kumeifanya pesa hiyo kuwa na thamani na kutumika dunia nzima.

“Haijawahi kutokea kuwa na Rais na serikali yake ambao wameheshimu viongozi wa dini kama wewe, si kwa viwango hivi kwa sababu katika uongozi wako hakuna dhehebu kubwa wala dogo wote wameheshimiwa sawa, suala hilo ni ufunguo kwa baraka zinazokuja", amesema Askofu Kakobe.

Kakobe ameongeza kuwa, “Umeanza vyema Rais John Magufuli kwa kumtanguliza Mungu katika shughuli unazozifanya, Mungu ameandaa baraka na zitakapokuja hakuna anayeweza kuzizuia".


from MPEKUZI http://bit.ly/2FH07wR
via Malunde
Share:

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME... DR SITTA NDO SULULISHO LAKO

Tatiza, hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine. Kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo... baadhi ni  upungufu wa vichocheo vya, HORMONES ZA CETROGEN .

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mrija iliyosinyaa,

NSHOLA; ni dawa bora, ya kurudisha nguvu za kiume kwa kutibu kabisa  tatizo hilo na kukupa  hamu ya  kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara nne 4 bila kuchoka 

Pia  kuna dawa za kutibu presha ya kupanda na kushuka, kisukari , kuondoa mafuta  mwilini na maumivu ya mgogo kiuno, matazo, ya hedhi kwa wanawake, hedhi zisizokuwa na mpangilio.

NKANYA; ni dawa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi aliyekuacha, mke, mme atakurudia .

NKOMA; Ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada ,

NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu miguu kufa ganzi na kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! 

DR SITTA, amebobea kwa tiba asilia 

Kwa DAR ANAPATIKANA MBAGALA ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI, SHINYANGA- KAHAMA MJINI, 

KWA MAELEZO ZAIDI  PIGA SIMU; 0763172670/ 0715172670,/

WOTE  MNAKARIBISHWA... KAMA, UTAKUWA NA TATIZO, UTAHUDUMIWA,


from MPEKUZI http://bit.ly/2FzrSrV
via Malunde
Share:

Naibu Waziri Mabula Akerwa Wakurugenzi Wa Halmashauri Kuzitengea Idara Za Ardhi Fedha Kidogo

Na Munir Shemweta, RUFUJI
Naibu waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dk Angeline Mabula amekerwa na tabia ya wakurugenzi wa halmashauri nchini kuitengea fedha kidogo idara ya ardhi katika halmashauri na hivyo kuifanya idara hiyo kushindwa kutekeleza majukumu yake ipasavyo.

Akizungumza na watumishi wa sekta ya ardhi katika halmashauri ya wilaya ya Rufiji mkoa wa Pwani jana, Dk Mabula alisema wakurugenzi wengi katika halmashauri nchini wamekuwa wakiifanya idara ya ardhi kwenye halmashauri hizo kama mtoto yatima.

‘’Ukienda katika halmashauri nyingi idara ya ardhi imekuwa kama mtoto yatima na ofisi zake haziridhishi kabisa ukilinganisha na zile ofisi za idara nyingine kama vile afya na elimu’’ alisema Dk Mabula.

Kwa mujibu wa Dk Mabula, halmashauri nyingi alizotembelea bajeti ya idara ya ardhi haizidi shilingi milioni nne ukiachilia mbali fedha za mapato ya ndani ingawa wakati mwingine hazipatikani zote na kubainisha kuwa tatizo linaloonekana ni wakurugenzi kutofahamu kama  idara hiyo ina fedha nyingi na kuweka wazi kuwa iwapo halmashauri zitaamua kuisimamia sekta hiyo kikamilifu zitajikusanya mapato mengi ukilinganisha na sekta nyingine.

Hata hivyo, Dk Mabula alisema, katika ukusanyaji mapato ya serikali nchini sekta ya ardhi inaweza ikawa sekta ya pili au ya tatu kwa kuingiza mapato mengi Serikali ikiwa nyuma ya taasisi zinazoingiza mapato mengi kama vile Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).

Kaimu Mkuu wa Idara ya Ardhi Halmashauri ya Wilaya ya Rufiji Mashaka Abdallah alimueleza Dk Mabula kuwa idara yake inakabiliwa na changamoto kubwa ya ufinyu wa bajeti inayotengewa kwa ajili ya kutekeleza kazi za ardhi pamoja na vitendea kazi kama Kompyuta, Printer, Shajala na usafiri.

Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi alisema, hali ya ukosefu wa vitendea kazi inawakatisha tamaa watendaji wa sekta hiyo lakini pia inachangia watendaji hao kutofanya kazi zao vizuri na wakati mwingine kuwalazimu kutumia fedha zao za mfukoni kufanikisha kazi walizopangiwa.

Katika muendelezo wa ziara yake mkoa wa Pwani katika halmashauri za wilaya za Rufiji, Kibiti, Mkuranga pamoja na Kisarawe Dk Mabula alikuta kila halmashauri ikidai kiasi kikubwa cha fedha kwa wamiliki wa viwanja na mashamba tofauti na kiwango ilichowekewa kukusanya kwa mwaka.

Mkuu wa Idara ya Ardhi katika Halamashauri ya wilaya ya Rufiji Mashaka Abdallah alieleza kuwa katika mwaka wa fedha 2018/2019 halmashauri yake ilipangiwa kukusanya jumla ya shilingi milioni 15 na hadi kufikia tarehe 31 Desemba 2018 ilishakusanya shilingi milioni 16.7 ikiwa ni sawa na asilimia 111.6.

Akigeukia suala la ukusanyaji mapato kupitia sekta ya ardhi, Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi alisema halmashauri nyingi zimekuwa zikifanya makisio machache ya fedha za makusanyo inayopangiwa huku zikiacha fedha nyingi kwa wadaiwa na kuwataka watendaji wake kuweka makadirio kulingana na uhalisia wa madeni wanayodai.

Alitolea mfano wa halmashauri ya wilaya ya Rufiji kuwa pamoja na kuwekewa kiwango cha kukusanya shilingi milioni 15 kwa mwaka na kukusanya milioni 16.7 hadi kufikia desemba 2018  na kujivunia kuvuka lengo la mapato lakini kumbukumbu zilizopo Wizara ya Ardhi zinaonesha halmashauri hiyo inadai kiasi cha shilingi bilioni Moja.

Amewataka wakurugenzi wa halmashauri kuweka mkazo katika makusanyo ya kodi ya ardhi na kubainisha kuwa wakurugenzi hao wangeweza kuzisaidia idara za ardhi kupitia mapato yao ya ndani katika kuzipatia vifaa na ofisi lakini wanashindwa kufanya hivyo na kusisitiza kuwa ni lazima idara hizo ziwezeshwe ili zifanye kazi kwa ufanisi.

Alibainisha kuwa, hata baada ya sasa kuelezwa kuwa asilimia thelathini ya mapato ya halmashauri ambayo yalikuwa yakirejea kwenye halmashauri kuondolewa, wakurugenzi wamekata tama na kuziacha idara hizo bila kuzisaidia lakini wakisahau kuwa mapato yanayopatikana kupitia sekta ya ardhi ndiyo yanayorudi kusaidia shughuli za maendeleo.

Amewataka wakurugenzi wa halmashuri nchini kubadili tabia zao za kuitenga idara ya ardhi na hivyo kuisadia kwa hali na mali kuhakikisha inafanya kazi zake kwa ukamilifu na mwisho wa siku kuisadia kuingiza mapato serikalini.

Amewataka wakurugenzi wa halmashuri nchini kubadili tabia zao za kuitenga idara ya ardhi na hivyo kuisadia kwa hali na mali kuhakikisha inafanya kazi zake kwa ukamilifu na mwisho wa siku kuisadia kuingiza mapato serikalini.


from MPEKUZI http://bit.ly/2SZviat
via Malunde
Share:

Rudisha heshima yako Kwa Mpenzi Wako, Mke Wako...Tumia Tiba Hii ya Asili

Rudisha heshima yako sasa kwa kutumia Dawa hii iitwayo SUPER GAFINA, kwa ajili ya nguvu za kiume na NKOLOMIJE ni kwaajili ya kuongeza maumbile.

Kwa mwanaume aliye kamilika anatakiwa awe na uwezo wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara mbili ,ila ukiwa unapiga moja tena kwa shida wewe ujue  unamatatizo ya upungufu wa nguvu za kiume.

TIBA YA TATIZO LAKO NI; Dawa iitwayo SUPER GAFINA, dawa hii ipo kwenye mfumo wa vidonge na unga wa asili ambavyo havina madhara kwa mtumiaji ambayo hutibu matatizo matatu kwa pamoja;-

1).itakufanya urudie tendo la ndoa zaidi ya Mara tatu bila kuchoka.

2).ltakufanya uchelewe kufika kileleni kwa dk.15 hadi 20 kwa tendo la kwanza.

3).lnaimarisha uume uliolegea na uliosinyaa na kuupa nguvu maradufu.

Je unamaumbile madogo pamoja na uume mfupi? NKOLOMIJE ni suluisho la tatizo lako. Na ni dawa inayoboresha maumbile ya kiume kwa kunenepesha na kurefusha kwa saizi kuanzia inch. 5 hadi 8 kwa muda mfupi sana .Dawa hizi huanza kufanya kazi kwa mda wa dk.30 ukisha tumia guarantee miaka 50  ikishakutibu.

Pia ninatibu;- KISUKARI, PRESHA, UZAZI, NGIRI, PUMU, MALARIA SUGU, VIDONDA VYA TUMBO, CHANGO AINA ZOTE ,BP, NK.

IGULYATI, ni dawa ya mvuto wa biashara, kazi,kupandishwa cheo na humfanya mfanyakazi kupendwa na mwajiri wake. Pia humvuta mke,Mme,hawara ,mchumba unae muitaji utampata kwa dk.30 tu na atatulia na kumfunga asitoke nje ya ndoa, Pia natoa Pete za bahati ambazo zimetajirisha wengi.

Pia ipo dawa ya kupunguza matiti,unene ,tumbo,na kitambi ,hupunguza mafuta ,kuondoa makovu,chunusi,michilizi mwilini na kuongeza hipsi, makalio na mguu wa bia nk. 

Kwa maelezo zaidi wasiliana na DR,HOSUTWA .Anapatikana Mbagara

Simu no, 0756241666 na 0672186977.

       Huduma hii utaipata popote ulipo


from MPEKUZI http://bit.ly/2RVNxAm
via Malunde
Share:

Jaji Kaijage : Wananchi Jitokezeni Kupiga Kura Uchaguzi Mdogo Wa Udiwani Kata 3 Za Tanzania Bara

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetoa wito kwa wapiga kura kwenye uchaguzi mdogo wa kata tatu utakaofanyika kesho (Jumamosi: 19.01.2019) kujitokeza kwa wingi kupiga kura ili kuwachagua viongozi wanaowataka wawaongoze kwa kipindi kilichobaki kabla ya  Uchaguzi Mkuu ujao.

Akisoma risala kuhusu uchaguzi huo Jijini Dar es Salaam leo (Tarehe 18.01.2019) Mwenyekiti wa Tume, Jaji (Rufaa) Semistocles Kaijage amesisitiza kwamba watakaoruhusiwa kupiga kura ni wale waliojiandikisha kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.

Jaji Kaijage alizitaja kata zenye uchaguzi kuwa ni pamoja na Kata ya Magomeni katika Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni Jijini Dar es salaam, Kata ya Mwanyahina katika Halmashauri ya Wilaya ya Meatu Mkoani Simiyu na Kata ya Biturana katika Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo Mkoani Kigoma.

“Kesho Jumamosi tarehe 19 Januari, 2019, ni siku ya Kupiga Kura katika Uchaguzi Mdogo wa Udiwani katika kata tajwa.  Jumla ya Wapiga Kura 26,282 katika Vituo vya Kupigia Kura 69 watahusika na uchaguzi huu mdogo wa Udiwani,” alisema.

Jaji Kaijage amewaasa viongozi wa vyama vya siasa, wagombea, wafuasi wao na wananchi kwa ujumla wajiepushe na vitendo vinavyoweza kusababisha fujo au vurugu wakati wa uchaguzi.

“Pale panapokuwa na malalamiko yoyote ya ukiukwaji wa sheria na taratibu za uchaguzi, malalamiko hayo yawasilishwe kwenye mamlaka inayohusika kwa utaratibu uliowekwa kwa mujibu wa sheria,” amesema.

Jaji Kaijage amesema kwamba upigaji kura utafanyika katika vituo vilevile vilivyotumika wakati wa uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 na kuongeza kwamba vituo vitafunguliwa kuanzia saa moja kamili (1:00) asubuhi na kufungwa saa kumi kamili (10:00) jioni.

“Iwapo wakati wa kufunga kituo watakuwepo wapiga kura katika mstari, ambao wamefika kabla ya saa kumi jioni na hawajapiga kura, wataruhusiwa kupiga kura.  Mlinzi  wa kituo cha kupigia kura, atasimama nyuma ya Mpiga kura wa mwisho aliyekuwepo kituoni kabla ya saa 10 jioni. Mtu yeyote hataruhusiwa kujiunga katika mstari wa wapiga kura baada ya muda huo,” ameelekeza Jaji Kaijage.

Licha ya kusisitiza kwamba watakaoruhusiwa kupiga kura ni wale tu ambao wamo kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwenye Kata husika na wana kadi ya mpiga kura, Jaji Kaijage alisema kwamba Tume imeruhusu matumizi ya vitambulisho mbadala.

“…..Tume kwa kuzingatia masharti ya kifungu cha 62(a) cha Sheria  ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, imeruhusu wapiga kura ambao  wamepoteza kadi zao za kupigia kura au zimeharibika au zimechakaa watumie mojawapo ya vitambulisho vifuatavyo; Pasi ya Kusafiria, Leseni ya Udereva au Kitambulisho cha Uraia kinachotolewa na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA),” amesema Jaji Kaijage.

Alifafanua kwamba mpiga kura ataruhusiwa kutumia vitambulisho hivyo, kwa sharti kwamba jina lake liwemo katika orodha ya Wapiga Kura katika kituo anachokwenda kupiga kura na lifanane kwa herufi, maneno na tarakimu na majina yaliyopo katika kitambulisho mbadala.

Jaji Kaijage alisema kwamba Tume imewaelekeza watendaji wa uchaguzi vituoni wawape kipaumbele wagonjwa, watu wenye ulemavu wa aina mbalimbali, wanawake wajawazito au wenye watoto wachanga na wazee.

Pia ameelekeza kwamba mpiga Kura mwenye ulemavu wa kutoona, ataruhusiwa kwenda kituoni na mtu atakaemchagua mwenyewe  kwa ajili ya kumsaidia  kupiga kura.
 
“Wapiga kura wanatakiwa kuondoka vituoni  baada ya kupiga kura na wajiepushe na mikusanyiko au mikutano katika maeneo ya vituo vya kupigia kura..,” ameagiza.

Mwisho


from MPEKUZI http://bit.ly/2DgEJgq
via Malunde
Share:

CHADEMA watuma mawakili kufuatilia afya ya Freeman Mbowe Gerezani

Chadema imetuma mawakili wake katika Gereza la Segerea kufuatilia afya ya mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe ambaye jana alishindwa kufika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kusikiliza kesi inayomkabili, ikielezwa kuwa ni mgonjwa.

Naibu Katibu Mkuu wa Chadema (Zanzibar), Salum Mwalimu jana alisema taarifa za kuumwa kwa Mbowe ambaye pia ni mbunge wa Hai zimewashtua kwa sababu walikuwa hawajui.

Alisema kutokana na taarifa hiyo wamelazimika kuwatuma mawakili kwenda gerezani ili kujua ni kitu gani kinachomsumbua na kujua kama amepatiwa huduma zinazostahili na kama kuna kitu kinachohitajika.
 
Taarifa za ugonjwa wa Mbowe zilitolewa mahakamani hapo na wakili wa Serikali mwandamizi, Patrick Mwita, wakati kesi ya ya jinai inayomkabili yeye na viongozi wengine wanane wa chama hicho mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Wilbard Mashauri ilipotajwa.


from MPEKUZI http://bit.ly/2sz4H8D
via Malunde
Share:

Muungano wa Afrika AU umeiomba Congo iahirishe kutangaza matokeo ya uchaguzi

Muungano wa Afrika (AU) umeitaka Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo iahirishe kutangaza matokeo ya uchaguzi mkuu.

Muungano huo unaonuia kuhimiza umoja na demokrasia, unasema una "shaka kubwa" na matokeo ya awali yaliotangazwa wiki iliyopita, Matokeo hayo yalimpa ushindi mgombea wa upinzani Felix Tshisekedi lakini mpinzani wa utawala uliopo, Martin Fayulu, anasisitiza kuwa yeye ndiye aliyeshinda.

Kumezushwa maswali mengi kuhusu uhakika wa matokeo hayo huku kukiwepo shutuma kwamba Tshisekedi anapanga mpango wa kugawana madaraka na rais anayeondoka Joseph Kabila.

Baadhi ya viongozi katika Muungano wa Afrika na Serikali walikutana katika mji mkuu wa Ethiopia, Addis Ababa jana Alhamisi na kutoa tamko kuhusu Uchaguzi huo wa Desemba 30 unaopingwa pakubwa.

"Kumekuwa na shaka kubwa kuhusu namna matokeo ya awali yalivyokusanywa, kama ilivyotangazwa na tume huru ya kitaifa ya uchaguzi kwa kura zilizopigwa," taarifa ya muungano huo imesema.

Hata hivyo AU imetaka kuahirishwa kutangazwa kwa matokeo ya mwisho ya uchaguzi mkuu huo, Matokeo ya mwisho yanatarajiwa kutangazwa leo Ijumaa.


from MPEKUZI http://bit.ly/2CrPxXr
via Malunde
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger