• Home
  • About
  • Support
  • Contact
  • Advertise

MASWAYETU BLOG

  • Home
  • Business
    • Internet
    • Market
    • Stock
  • Downloads
    • Dvd
    • Games
    • Software
      • Office
  • Parent Category
    • Child Category 1
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • Featured
  • Health
    • Childcare
    • Doctors
  • Uncategorized
Menu
  • Home
  • Business
    • Internet
    • Market
    • Stock
  • Downloads
    • Dvd
    • Games
    • Software
      • Office
  • Parent Category
    • Child Category 1
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • Featured
  • Health
    • Childcare
    • Doctors
  • Uncategorized

Monday, 16 November 2015

TAARIFA KWA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA STASHAHADA ZA UALIMU ELIMUMSINGI NA ELIMU YA SEKONDARI KUPITIA MFUMO WA UDAHILI WA PAMOJA (CAS) KATIKA CHUO KIKUU CHA DODOMA (UDOM)

 TANDALE YETU BLOG     21:43:00     No comments   
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
  TAARIFA KWA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA STASHAHADA ZA UALIMU ELIMUMSINGI NA ELIMU YA SEKONDARI KUPITIA MFUMO WA UDAHILI WA PAMOJA (CAS) KATIKA CHUO KIKUU CHA DODOMA (UDOM)
Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) linapenda kuwataarifu wote waliochaguliwa kujiunga na Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kupitia Mfumo wa Udahili wa Pamoja (CAS) baada ya Mfumo wa CAS kuonyesha kuwa umechaguliwa kwenda Chuo Kikuu cha Dodoma, utaratibu ni kusubiri UDOM na vyombo vyake vya ndani kuthibitisha majina hayo. Waliodahiliwa wanatakiwa kwenda chuoni baada ya kupata joining instructions na wito kutoka Chuo husika.

Kumekuwapo na wanafunzi waliosafiri kwenda kuripoti chuoni kabla ya taratibu hizi kukamilika na hivyo kusababisha usumbufu kwao wenyewe na kwa taasisi za NACTE na UDOM. Majina ya wanaotakiwa kwenda kuripoti na tarehe za kuripoti mara zote hutolewa na chuo husika. Kwa kuwa majina yamekwenda vyuoni kwa makundi (batches) sio makundi yote yamepitishwa na katika mchakato wa ndani ya vyuo.
Baraza (NACTE) hutoa uchaguzi wake ili kuondoa usumbufu kwa wanafunzi kuangalia tovuti za vyuo mbalimbali kusaka majina yao. Iwapo kwa sababu zozote UDOM itashindwa kuwapokea baadhi ya waliochaguliwa, Baraza litawapa nafasi katika vyuo vingine. Ikumbukwe kuwa kuna vyuo vingi ambavyo havijapata wanafunzi wa kutosha.
Imetolewa na:
Katibu Mtendaji
Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE)
15 Novemba 2015
Share:
Read More →

HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WA IFM AWAMU YA KWANZA,PILI NA TATU WALIOPATA MKOPO 2015/2016

 TANDALE YETU BLOG     18:10:00     No comments   
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

1.Loan Allocation for Bachelor Students 2015-2016 - Batch 6

2. Loan Allocation for Bachelor Students 2015-2016 - Batch 7

3.Loan Allocation for Bachelor Students 2015-2016 - Batch 8
Share:
Read More →

Students Fear Impending Dropout Due to Lack of Loans

 TANDALE YETU BLOG     18:09:00     No comments   
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
 Scores of university students   will be forced to drop out because of prolonged delay of loans to cover tuition and other expenses.
 
The development comes in the wake of last week’s announcement by the High Education Students’ Loan Board (HESLB) that it issued loans to over 40,000 students out of 50,830 applications received in 2015/16 academic year. 
 
However, the payment only covered new students but skipped all together the majority of continuing students.
 
In separate interviews, a cross-section of students from different universities blamed the loans facility of being “too selective” and giving little consideration to continuing students.
 
Charles Alphonce, a second year student at Mzumbe University, told The Guardian that he had all the required  qualifications to secure a loan yet he had being left out.
 
“This is the third time I am applying for a loan and I have never got any luck,” he lamented.
 
“I can’t understand what’s wrong with my applications,” he said with the sad acknowledgment that, “...should I fail to get the loan this time around I will have to postpone my classes.”
 
Alphonce who comes from a poor family background said he has been struggling to raise funds for his studies but due to increasing costs he may be forced to drop out.
 
Another student from the University of Science and Technology (MUST) Mbeya Campus, Samuel Hosea shared a similar experience and appealed to the board to treat all eligible loan applicants fairly without bias.
 
Hosea also called upon the board to give special consideration to students from outside the campus regions who have to go out of pocket to survive while waiting for the  loans that may not come at all.
 
Chairman of the Ministers of Loans in High Education in Tanzania, Shitindi Venance, said the gravity of the problem is such that only 400 students of 6,000 eligible students at the University of Dar es Salaam received their loans in their first year.
 
Expressing profound dismay over the exclusion of continuing students, Venance said numerous continuing students have not being considered for the loan and remain in dilemma.
 
“The government should be transparent in issuing of loans because the money is not given to the students as an offer but as a loan which will later be repaid,” he said.
 
He challenged the 30, 000/- fees charged for every application made by students and asked the loan facility to reconsider the amount to accommodate more applications.
 
HESLB Assistant Director of Communication, Education and Information, Cosmas Mwaisoba said the continuing students who applied for loans for the first time will be treated as are the first year applicants.
 
Students who have received loans so far are 40,836 students and the loan amount is pegged at 155.2bn/-.
Share:
Read More →

Opposition says no to working with new govt

 TANDALE YETU BLOG     18:08:00     No comments   
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Former Chadema presidential candidate Edward Lowassa speaks to journalists in Dar es Salaam yesterday. (Photo: Mpoki Bukuku)
 The Coalition of People’s Constitution (Ukawa) said yesterday said it will not co-operate   with the fifth-phase government under President John Magufuli, citing “electoral fraud”.
 
 
The decision by Ukawa comes ten days after Magufuli was sworn-in the United Republic of Tanzania President following a 58.45 per cent victory against Chadema’s Edward Lowassa who garnered 39.97 per cent.
 
Addressing a press conference in Dar es Salaam yesterday Lowassa explained   the coalition had sufficient evidence to prove how last month’s General Election was marred  by vote rigging. 
 
 Lowassa who was supported by parties forming the Coalition of People’s Constitution (Ukawa) objected the   presidential results which were announced by National Electoral Commission,  Chairman Justice (rtd) Damian Lubuva.
 
The former prime minister, vowed to unmask what transpired during the tallying process anytime from now after getting enough evidence.
 
His statement follows a secret meeting held last Saturday in Dar es Salaam between Chadema, NCCR-Mageuzi, NLD national leaders and the Zanzibar presidential candidate on CUF ticket Seif Sharif Hamad.
 
Lowassa maintained to keep a low-profile on the revelations about the ruling party’s presidential candidate victory.
 
He further explained the coalition was simply buying time to reveal what happened at the “backstage” of the presidential polls tallying exercise.
 
“We cannot at the moment reveal what had transpired,” and the coalition will not cooperate with the fifth phase government.
 
Lowassa was saddened by the country’s Constitution which bars individuals or institution to challenge the presidential elections results before the courts of law.   
 
“We are asking Tanzanian to keep on protesting the General Election results because there were rigged. No one should demonstrate as leaders were looking for other appropriate actions,” he said.
 
Referring to the Zanzibar general elections, Ukawa demanded the Zanzibar Electoral Commission (ZEC) to declare Civic United Front (CUF) presidential candidate, Maalim Seif Sharif Hamad  the winner of the elections.
 
He said: “How is it possible for one pot to cook legal and illegal things at the same time? If ZEC claims the election results were illegal then the Union results were also not legal because they all came from the same pot.”
Ukawa despite protesting the presidential results said that they would still take part during the National Assembly proceedings scheduled for tomorrow.
 
However Lowassa also called for a new constitution that would ensure free and fair elections in the country.
 
“The new constitution will ensure the country has independent election commission which is responsible to the public, without new constitution the country will continue be under the ruling Chama cha Mapinduzi dictatorship.”
 
Meanwhile Ukawa has called on the government to take immediate action over the mysterious death of former Chadema candidate for Busanda constituency in Geita Region in the recent parliamentary elections, Alfonce Mawazo.
 
NCCR-Mageuzi National chairman, James Mbatia strongly condemned the killing, calling the authority to identify culprits behind the death of Chadema’s Geita regional chairman.
Share:
Read More →

Lowassa Ataja Sababu 4 Kumpinga Magufuli.....Zifahamu Hapa

 TANDALE YETU BLOG     18:07:00     No comments   
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Aliyekuwa mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) chini ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa (wa pili kulia), akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana juu ya hali ya kisiasa nchini. Wengine ni Kaimu Mwenyekiti wa Cuf, Twaha Taslima (wa kwanza kushoto), Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Prof. Abdallah Safari (wa pili kushoto) na Mwenyekiti Mwenza wa Ukawa, James Mbatia (wa kwanza kulia). PICHA: MPOKI BUKUKU
Aliyekuwa mgombea urais kupitia  Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) chini ya mwamvuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa, ameeleza sababu za kutokubaliana na ushindi uliomuweka madarakani mpinzani wake kupitia CCM, Dk. John Magufuli katika uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 25, mwaka huu.
Aidha, amewataka Watanzania kutoyakubali matokeo hayo na kuyapinga kwa nguvu zao zote bila ya kuandamana na kufanya fujo na kwamba umoja huo hautashirikiana na serikali ya Dk. Magufuli kwa madai haikuingia madarakani kihalali. 
 
Lowassa alitoa kauli hiyo wakati akizungumza na waandishi wa jijini Dar es Salaam jana juu ya hali ya kisiasa nchini na mustakabali wa Zanzibar baada ya kufutwa kwa matokeo ya uchaguzi wa visiwa hivyo.
 
ATAJA SABABU ZA KUPINGA
Lowassa alisema yeye na wenzake ndani ya Ukawa hawaukubali na ushindi alioupata Dk. Magufuli kwani wana ushahidi wa kutosha juu ya namna Chama Cha Mapinduzi (CCM) na serikali yake kilivyopora ushindi wake (Lowassa) kwa kuyakachakua matokeo.
 
Hata hivyo, Lowassa hakuwa tayari kuuweka wazi ushahidi, akisema atafanya hivyo wakati muafaka ukifikaa ambao pia hakuutaja. 
 
Alitaja sababu nyingine za kutokukubali na ushindi wa Dk. Magufuli kuwa ni, matumizi makubwa ya vyombo vya dola wakati wa uchaguzi. 
 
Alisema wakati wa uchaguzi huo serikali ilitumia nguvu kubwa na vitisho vya askari wenye silaha za kivita ikiwamo kutumia magari yenye maji ya kuwasha yaliyonunuliwa kwa mabilioni ya fedha, ambayo yalikuwa yanarandaranda mitaani, ili matokeo aliyodai ya wizi huo wa kura yakubalike.
 
Sababu nyingine aliyoitoa Lowassa ni hatua ya serikali kupinga maandamano ya Ukawa na kuvitisha vyombo vya habari kufanya kazi zake kwa uhuru.
 
Nyingine alisema ni hatua ya serikali kupiga marufuku mikutano ya kisiasa iliyopangwa  kufanywa na viongozi wa Ukawa na kuwanyima viongozi hao fursa ya kuwashukuru wananchi kwa kuwapigia kura baada ya uchaguzi.
 
 “Wanatumia gharama zote hizo huku bei ya vitu mbalimbali hasa vyakula inapanda kwa kasi kubwa, kama CCM inadai imeshinda kwa nini wana hofu kubwa mpaka kuhujumu uhuru wa vyombo vya habari, kupiga marufuku mikutano ya kisiasa na kunyima viongozi wa Ukawa hata fursa ya kuwashukuru wananchi kwa kutuunga mkono katika safari yetu ya kuleta mabadiliko, hii ni aibu kwa taifa letu,” alisema Lowassa na kuongeza:
 
“Tuna ushahidi wa kutosha jinsi matokeo ya uchaguzi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano yalivyochakachuliwa na kiasi cha kura zilizoibwa, wakati muafaka tutaweka bayana ushahidi huo ili Watanzania wajue kwa nini Ukawa inasema kwa dhati kwamba haitambui matokeo yaliyotangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) na kwa nini haitashirikiana na serikali ya sasa ambayo ni batili kisheria.”
 
Lowassa alisema endapo Katiba ingekuwa inaruhusu matokeo ya urais kupingwa mahakamani wangefanya hivyo, lakini kwa kuwa hairuhusu wataendelea kutoitambua serikali hiyo, huku akiwataka wananchi kukataa matokeo hayo katika hali ya utulivu wakati Ukawa ikiendelea na harakati nyingine za kisiasa katika nyanja mbalimbali ili kutekeleza azma yao ya kuleta mabadiliko ya kweli nchini.
 
ZANZIBAR
Aidha, Lowassa alisema Ukawa unamuunga mkono mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Wananchi(Cuf), Maalim Self Sharif Hamad, kama mshindi wa uchaguzi mkuu visiwani humo na kuitaka Tume ya Uchaguzi Zanzibar (Zec) imtangaze mara moja.
 
Alisema kinyume na Tanzania Bara ambako uchaguzi uligubikwa na mizengwe, uchaguzi wa Zanzibar ulikuwa wazi na wa amani, huku vyama vyote vya siasa na hata waangalizi wa uchaguzi wa kimataifa walisema uchaguzi huo ulifanyika kwa amani, lakini wanashangaa Zec kufuta uchaguzi huo.
 
Alisema uamuzi huo wa Zec unalaaniwa vikali na Ukawa na kwamba uamuzi wa kutaka uchaguzi huo urudiwe  hawakubaliani nao kwa kile alichosema  hizo ni mbinu mpya ambazo zimepangwa kuhujumu uchaguzi huo na una lengo  la kuhatarisha  amani na utulivu visiwani humo. 
 
“Wakuu wa Ukawa walikataa dhana kuwa uchaguzi uleule unaodaiwa kufutwa kwa kuwa ulikuwa na mizengwe, ulizaa matokeo halali ya wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na ya urais wa Jamhuri, lakini ni batili kwa wajumbe wa Baraza la Wawakilishi na Rais wa Zanzibar, dhana hii haina mantiki yeyote bali ni ubabe wa kisiasa,” alisema Lowassa na kuongeza:
 
“Haiwezekani chungu kimoja kikapika halali na haramu kwa pamoja. Kigezo cha Zec kuwa uchaguzi wa Zanzibar ulikuwa batili, basi matokeo yake yote ikiwa ni pamoja na yale ya urais wa Jamhuri pia ni batili. Hii ina maana kuwa hata ushindi unaodaiwa wa Dk. Magufuli, mbali ya kuwa ni matokeo haramu ya wizi kwa kura za Tanzania Bara, pia ni batili kisheria kwani hana ridhaa ya watu wa pande zote mbili za Muungano.”
 
KATIBA MPYA
Lowassa alisema bado wataendelea kupigania kuandikwa kwa Katiba mpya ambayo watahakikisha inazingatia maoni na matakwa ya Watanzania.
 
Alisema pasipo Katiba hiyo, matatizo mengi yanayojitokeza hivi sasa hayatapatiwa ufumbuzi  ikiwamo kuwa na tume huru ya uchaguzi na serikali inayowajibika, huku akisisitiza kuwa katika mazingira ya sasa na chini ya Katiba inayotumika sasa, Tanzania haitakuwa na demokrasia na itaendelea kuwa nchi inayotawaliwa kwa mizengwe na udikiteta .
 
AELEZA HATMA YAKE 
Lowassa alisema hatarudi nyuma wala kustaafu siasa, bali ataendelea kuimarika katika nyanja hiyo kwa kuwa mstari wa mbele kupigania Ukawa na mabadiliko.
 
MBATIA
Kwa upande wake, Mwenyekiti Mwenza wa Ukawa, James Mbatia, alisema vurugu zinazoendelea hivi sasa na mauaji ya Watanzania  katika matukio tofauti na matumizi ya mabavu, itafika mahali Watanzania watakosa uvumilifu na endapo machafuko yakitokea Rais Mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa, Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete  pamoja na Mwenyekiti wa Nec, Jaji Damian Lubuva, wote watafikishwa katika mahakama za kimataifa.
 
Mbatia  alidai Kikwete atawajibika pamoja na mambo mengine kwa kutumia nguvu kubwa kununua vifaa vya kivita vyenye thamani ya Sh. bilioni 409 katika uchaguzi wa mwaka huu, huku akimtaja Jaji Lubuva kwamba atawajibika kwa kukiuka sheria za uchaguzi kwa kuibeba CCM na Mkapa atawajibika kwa kusababisha mauaji katika uchaguzi Mkuu 2001, Zanzibar.
 
Akizungumzia kifo cha aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo, aliyeuawa juzi kwa kukatwa mapanga na watu wasiojulikana, Mbatia alihusisha kifo chake na mauaji mengine ambayo yamekuwa yakihusishwa na chuki za kisiasa.
 
Lowassa aliungana na Mbatia kulaani mauaji hayo na kulitaka Jeshi la Polisi kufanya uchunguzi wa haraka ili kubaini waliohusika na kuwachukulia hatua.
 
MALALAMIKO VITI MAALUM
Akizungumzia malalamiko kutoka maeneo mbalimbali nchini kuhusu mgawanyo wa viti maalum kwenye nafasi ya ubunge ndani ya Chadema, Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, Prof. Abdallah Safari, alisema Chadema imepokea malalamiko mengi kuhusiana na mgawanyo wa wabunge wa vitihivyo na kwamba kinayafanyia kazi na yale ya msingi yatafanyiwa uamuzi na yasiyo ya msingi yataachwa.
 
Naye Kaimu Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi (Cuf), Twaha Taslima, alisema masuala ya wabunge wa viti maalum yanazungumzwa ndani ya chama na si katika vyombo vya habari.
 
Katika Uchaguzi Mkuu mwaka huu, Nec ilimtangaza Dk. Magufuli wa CCM kuwa mshindi wa nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano kwa kupata  asilimia 58.46 ya kura halali zilizopigwa, huku Lowassa akipata asilimia 39.97.
 
CHANZO: NIPASHE
Share:
Read More →

CHADEMA Watangaza hali hatari,Ni mauaji ya MAWAZO sasa vijana wote waagizwa kuelekea mwanza

 TANDALE YETU BLOG     18:07:00     No comments   
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Katibu wa uenezi wa Baraza hilo la vijana BAVICHA Taifa Bwana EDWARD SIMBEYE akizungumza na wanahabari mapema leo juu ya hali ya mauaji ya mwenyekiti wa chama hicho mkoani Geita ALPHONCE MAWAZO na hatua ambazo watazichukua
 Na Exaud Msaka Habari
Baraza la vijana la chama cha  Demkocrasia na maendeleo chadema BAVICHA wametoa siku tatu kwa jeshi la polisi nchini kumwachia Mwenyekiti wa baraza hilo PATROBAS KATAMBI aliyekamatwa jana mkaoni mwanza pamoja na kuwakamata wahusika wote waliohusika na kifo cha Mwenyekiti cha CHADEMA mkoani GEITA Bwana ALPHONCE MAWAZO huku wakisema kuwa kama hayo hayatafanyika watalazimika kulipa kisasi.

Akizungumjza na wanahabari mchana wa leo jijini Dar es salaam katibu wa uenezi wa baraza hilo Taifa Bwana EDWARD SIMBEYE amesema kuwa kwa sasa vijana na wanachama wa chadema wamechoka na mauaji ya  viongozi wa chama hicho huku kukiwa hakuna hatua zinazochukuliwa kwa wahusika hivyo sasa wameamua kuhakikisha kuwa wanajilinda wenyewe ikiwa ni pamoja na kuwatafuta wahusika wa tukio la Geita na kuwakamata kama polisi watakuwa wameshindwa kufanya hivyo kwa muda muafaka..
BEN SAANANE ambaye ni mkuu wa Idara ya sera na utafiti wa chadema akionyesha baadhi ya picha za mauaji ya viongozi wa Chama hicho yaliyowahi kufanyika na hakuna hatua zozote zilizochukuliwa hadi sasa jambo ambalo sasa wamesema wamechoka na wameamua kujilinda wenyewe kwa kuhakikisha kuwa wanawakamata wale wote walioendesha tukio la GEITA
Akizungumzia tukio la jana mkoani mwanza amesema kuwa wakati jana mwili wa marehemu MAWAZO ukiwasili katika hospitali ya BUGANDO kwa ajili ya kuhifadhiwa na kufanyiwa uchunguzi zaidi Polisi walipanga njama za kuutorosha mwili wa marehemu kwa ajili ya kwenda kuuzika kimya kimya jambo ambalo amesema wanachama na viongozi wa CHADEMA walishtuka na kuamua kulinda mwili huo na ndipo ilipotokea vurugu iliyopelekea kiongozi wa vijana taifa kukamatwa na polisi bila sababu yoyote ya msingi.

Amesema kuwa inashangaza kuona  jeshi la polisi likiwa katika mstari wambele kuhangaika juu ya mwili wa Marehemu ALPHONCE MAWAZO wakati iko wazi kuwa wakati anauawa na wananchi polisi walikuwepo eneo la tukio na kushindwa kutoa hata msaada wa gari kwa ajili ya kumpeleka hospitalini lakini jana polisi walipata gari la kuja kumtorosha katika hospitali hiyo jambo ambalo amesema limekuwa likifanywa na polisi kila mara yanapotokea matukio ya mauaji kana haya.
Kiongozi huyo amesema ni lazima jeshi la polisi sasa waeleze ukweli kama sio wao na serikali ya CCM wanaohusika na mauaji ya viongozi wa chadema Basi waweke wazi ni nani hasa anayefanya unyama huo juu ya Democrasia ya Tanzania.


Aidha katika hatua nyingine vijana hao wametangaza rasmi kuwa baada ya siku tatu na polisi kushindwa kuwaachia huru viongozi wao na kuwakamata wauaji wa MAWAZO wamewaagiza vijana wote wa Tanzania kukusanyika kwa wingi mkaoni mwanza kwa ajili ya kushinikiza kuwaachia viongozi wao pamoja na kulinda mwili wa marehemu ALPHONCE MAWAZO ambao umelazwa katika hospitali ya Bugando mkoani mwanza.

Marehemu ALPHONCE MAWAZO aliuawa na wananchi mkoani GEITA baada ya kushambuliwa na wananchi waliokuwa na sialaha za jadi ambao hadi sasa hakuna taarifa rasmi inayoeleza hali halisi ya mauaji hayo.
Share:
Read More →

CCM YAMPITISHA JOB NDUGAI KUGOMBEA NAFASI YA USPIKA WA BUNGE.

 TANDALE YETU BLOG     18:06:00     No comments   
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Mh. Job Ndugai ameteuliwa kuwa mgombea rasmi wa nafasi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha Mapinduzi (CCM).

Wabunge wateule wa CCM wamempitisha Job Ndugai kuwania uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, baada ya wenzake wawili kujitoa.
Via>>EATV
Share:
Read More →

HUYU NDIYO MBUNGE WA KWANZA KUTEULIWA NA RAIS MAGUFULI

 TANDALE YETU BLOG     18:05:00     No comments   
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Rais wa Tanzania Dk. John Magufuli amemteua Dk. Tulia Ackson Mwansasu kuwa mbunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kutengeua nafasi yake ya awali aliyokuwa akishikilia kama Naibu Mwanasheria Mkuu wa serikali.


Mh. Dk Tulia anakuwa Mbunge wa kwanza wa kuteuliwa na Rais, kumbuka pia Dk. Tulia ni mmoja kati ya watu watatu waliopitishwa na CCM kuwania nafasi ya Spika wa Bunge
Share:
Read More →

MALKIA ELIZABETH II WA UINGEREZA ATUMA SALAMU ZA PONGEZI KWA RAIS JOHN POMBE JOSEF MAGUFULI

 TANDALE YETU BLOG     18:04:00     No comments   
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

SALAMU ZA PONGEZI
     RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli amepokea salamu za pongezi kutoka kwa Malkia Elizabeth II wa Uingereza kufuatia kuchaguliwa kwake kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

     Katika salamu hizo Malkia wa Uingereza amemueleza Mhe. Rais Dkt. Magufuli kuwa  “Natumaini kuwa mahusiano baina ya nchi hizi mbili ambazo ni wanachama wa Jumuiya ya Madola yataendelea wakati wa utawala wako, nakutakia kheri pamoja na wananchi wa Tanzania”  amesema malkia katika salamu zake.

     Salamu pia zimetoka kwa Mfalme Akihito wa Japan ambaye amemueleza Mhe.  Rais Dkt. Magufuli “Nakutumia salamu za dhati,  mafanikio na furaha kwako Mheshimiwa Rais na watu wa nchi yako” Amesema.

     Salamu zingine kwa Mhe. Rais Dkt. Magufuli zimetoka kwa Rais wa Jamhuri ya kidemokrasia ya Kiarabu  ya Saharawi, Mhe. Mohamed Abdelaziz ambaye amemtakia kheri  Mhe. Rais Dkt. Magufuli na kumueleza kuwa “Nina  imani kuwa  Jamhuri ya Muungano wa Tanzania itaendelea vyema chini ya uongozi wako kuelekea katika kupata maendeleo  na mafanikio zaidi”.

  Amesema; na pia amekipongeza Chama Cha Mapinduzi na Watanzania kwa uchaguzi wa kidemokrasia ulioendeshwa katika mazingira ya kistaarabu chini ya usimamizi wa waangalizi kutoka kwenye kanda, bara na kimataifa na hivyo kuliletea sifa bara la Afrika.

     Mhe. Rais Dkt. Magufuli pia amepokea salamu kutoka kwa Rais wa Namibia Mhe. Hage Geingob na kumueleza Mhe. Rais Dkt. Magufuli kuwa salamu zake na zile za wananchi wa Namibia ni za dhati kwa Serikali na Watanzania kwa ujumla kwa ushindi wa kiti cha Urais.

     “Pia napenda kutoa pongezi kwa Chama Cha Mapinduzi kwa ushindi uliopatikana katika uchaguzi wa Oktoba 25, 2015”. Amesema na kuongeza kuwa  “Kwa hakika Watanzania wamezungumza na kukipa tena CCM  Mamlaka ya kuipeleka mbele Tanzania  kuelekea kwenye mafanikio zaidi”.  Ameongeza.

      Salamu zingine ni kutoka kwa Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ambaye amesema Tanzania kwa mara nyingine tena imedhihirisha kuwa ni nguzo ya demokrasia barani Afrika.

     Naye Rais wa Jamhuri  ya Shirikisho la Ujerumani, Joachim Gauck amemtakia Mhe. Rais Dkt. Magufuli na Watanzania kwa ujumla mafanikio  katika kuendeleza Taifa kwa ujumla.

Imetolewa na:
Premi Kibanga, 
Mwandishi wa Habari wa Rais, Msaidizi
Ikulu,
DAR ES SALAAM.
16 Novemba, 2015.
Share:
Read More →

MBUNGE WA KIGOMA MJINI ZITTO KABWE AANZA KULICHOKONOA MAPEMA KWEUPE TIZAMA MKWARA ALIOUCHIMBA LEO FACEBOOK LIVE!!

 TANDALE YETU BLOG     18:03:00     No comments   
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Share:
Read More →

WALIOFUKIWA NA KIFUSI WILAYANI KAHAMA KWA SIKU 41 WAPATIKANA WAKIWA HAI,WALIKUWA WANAKULA MENDE UDONGO NA MAGOME YA MITI.

 TANDALE YETU BLOG     18:02:00     No comments   
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
TAARIFA KUTOKA WILAYANI KAHAMA MKOANI SHINYANGA ZINASEMA KUWA WATU WATANO KATI YA SITA WALIOKUWA WAMEFUKIWA NA KIFUSI KATIKA MACHIMBO YA NYANGARATA KWA SIKU 41 WAMEOKOLEWA USIKU WA KUAMKIA LEO WAKIWA HAI.

KWA MUJIBU WA TAARIFA ZA AWALI INASEMEKANA WATU HAO WALIKUWA WANAISHI KWA KULA MENDE,MAJI,UDONGO NA MAGOME YA MITI MAARUFU KAMA MATIMBA
Share:
Read More →

Dk. Tulia Kuchukua FOMU ya Kugombea Nafasi ya NAIBU Spika

 TANDALE YETU BLOG     18:02:00     No comments   
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Dkt Tulia Ackson amesema ana mpango wa kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya Naibu Spika wa Bunge la Tanzania, ameongeza kuwa fomu hiyo anaweza kuichukua leo au kesho maana siku ya kurudisha fomu ni kesho
"Nashukuru kwa kuaminiwa na kuteuliwa mbunge, sasa mpango wangu ni kugombea kiti cha Naibu Spika wa Bunge la 11"

EATV 
Share:
Read More →

CHUO CHA MIPANGO YA MAENDELEO VIJIJINI: FURSA ZA MASOMO KWA NGAZI MBALIMBALI

 TANDALE YETU BLOG     18:02:00     No comments   
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

 
Chuo kinakaribisha maombi ya kujiunga na masomo katika programu za Astashahada (Certificate), Stashahada (Diploma) na Shahada za Kwanza (Bachelor Degrees). Je, wewe ni Mhitimu wa Kidato Cha Nne na umefaulu masomo kuanzia matatu kwa alama "D" na  ungependa kusoma masuala ya Mipango? Kama ndio; <<<Bofya Hapa>>>
Share:
Read More →

 TANDALE YETU BLOG     17:53:00     No comments   
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Share:
Read More →

CUHAS: Job Opportunities

 TANDALE YETU BLOG     17:52:00     No comments   
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
CUHAS - Bugando
MNCH Research Coordinator
Overall Description: This full-time Research Coordinator will provide technical expertise and oversee the day-to-day activities of the Canadian government funded research project â€Å“Innovating for Maternal and Child Health in Africa (2015-2020)” project and support Monitoring and Evaluation for the PS-MNCH Mama Toto Initiative (2016-2020). He/she will serve as a liaison between investigators from the Catholic University of Health Allied Sciences (CUHAS), University of Calgary (UC), Mbarara University of Science and Technology (MUST) and collaborators from Agriteam, Save the Mothers, Canadian Paediatric Society, and Geita and Mwanza Region and District Health Teams.
  • Download link for MNCH Research Coordinator
MNCH Research Administrator
Overall Description: This full-time Research Administrator will oversee the day-to-day activities of the Canadian government funded research project â€Å“Innovating for Maternal and Child Health in Africa (2015-2020)” project and support Monitoring and Evaluation for the PS-MNCH Mama Toto Initiative (2016-2020). He/she will support the Research Coordinator and Principle Investigator.
  • Download link for MNCH Research Administrator
Share:
Read More →

TAARIFA MUHIMU KWA WANAFUNZI WA SUA 2015/2016

 Unknown     06:27:00     No comments   
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Course Registration deadline
All SUA Students are reminded to pay the required fees and register for elective course.
Note:
1. The system shall close itself automatically.
2. The accounts for university fees will be deactivated.
3. No one will be allowed to use the accounts for fee payments.
4. Failure to pay University fees = failure to register for elective courses
Share:
Read More →

MPYA:WANAFUNZI WA VYUO VIKUU KULIPA QUALITY ASSUARANCE FEE TSHS 20000 KAMA KAWAIDA

 Unknown     06:25:00     No comments   
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Denouncement of the Rumours Publicised by some Students' Organisations on the Payment of Statutory Quality Assurance Fee
Share:
Read More →
← Newer Posts Older Posts → Home
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

  • MPYA:HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA VYUO VIKUU MBALIMBALI 2016/2017
    Kama kawaida yetu MASWAYETU BLOG katika nusanusa yetu tumefanikiwa kunasa hii ambayo ilikuwa ikisubiriwa na watu wengi,ni kuhusu ...
  • UPDATED:HII HAPA LIST YA VYUO VILIVYOTOA SELECTION YA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA VYUO VIKUU MBALIMBALI 2016/2017
    Habari yako, Maswayetu blog,tumedhamiria kuwapa vitu roho inapenda hapa mjini,Tumeamua kukuwekea list ya vyuo vikuu ambavyo vimetoa m...
  • NECTA:HAYA HAPA MATOKEO DARASA LA SABA 2017
    NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2017 EXAMINATION RESULTS ANGALIA MATOKEO YAKO KWA KUBONYEZA MKOA WAKO HAPO CHINI, ...
  • MPYA:HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI 10,027 WALIOKOSEA KUJAZA FORM ZA MIKOPO BODI YA MIKOPO 2016/2017
      KUONA MAJINA HAYO   << BONYEZA HAPA--PDF >>
  • BREAKING NEWS:HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOPATA MKOPO MWAKA WA MASOMO 2016/2017
      Bodi ya mikopo ya elimu ya juu wametangaza majina ZAIDI YA 20000 ya wanafunzi waliopata mkopo 2016/2017. Kama utahitaji kuangaliziwa j...
  • MPYA:HII HAPA LIST YA VYUO VILIVYOTOA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA SECOND ROUND VYUO VIKUU MBALIMBALI 2016/2017
    Habari yako, Maswayetu blog,tumedhamiria kuwapa vitu roho inapenda hapa mjini,Tumeamua kukuwekea list ya vyuo vikuu ambavyo vimetoa ma...
  • MPYA:HAYA HAPA MAJINA (KATIKA PDF) WANAFUNZI SPECIAL DIPLOMA WALIOPANGIWA KURUDI UDOM &VYUO VINGINE 2016
    >>> CLICK HERE FOR LIST OF SELECTED STUDENT - UDOM (53.28 kB)<<<  CLICK HERE FOR LIST OF SELECTED STUDENTS - TEACHER ...
  • ANGALIA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWAPAMOJA NA APPLICATIONS FOR ADMISSION INTO NON DEGREE (DIPLOMA AND CERTIFICATE) PROGRAMMES FOR ACADEMIC YEAR 2016/2017-NACTE
                      Nacte wametoa majina ya wanafunzi waliofanikiwa kuchaguliwa  katika vyuo mbalimbali  afya,ualimu ,kil...
  • MPYA:HII HAPA LIST YA VYUO VILIVYOTOA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA SECOND ROUND VYUO VIKUU MBALIMBALI 2016/2017
    Habari yako, Maswayetu blog,tumedhamiria kuwapa vitu roho inapenda hapa mjini,Tumeamua kukuwekea list ya vyuo vikuu ambavyo vimetoa ma...

Unordered List

Pages

Blog Archive

  • ▼  2026 (71)
    • ▼  January (71)
      • NITASIMAMIA KILA MWANANCHI MWENYE UHALALI WA KUMIL...
      • HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO IJUMAA JANUARI 30, 2026
      • SERIKALI YATOA MIKOPO KIASI CHA SHILINGI MILION...
      • KIJANA APITIA MATESO MAZITO LAKINI AKAJA KUWA MTU ...
      • HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMATANO JANUARI 28,2026
      • TWIGA, TANGA CEMENT WAPEWA SAA 48 KUJISALIMISHA
      • WAASISI CCM RUVUMA WATOA WITO WA KUZINGATIA KATIBA...
      • CCM MIAKA 49: WAZAZI WAONGOZA MAPAMBANO YA UTUNZAJ...
      • HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMANNE JANUARI 27,2026
      • WAKULIMA TABORA WALALAMIKIA UPUNGUFU WA TAARIFA ZA...
      • RAIS SAMIA AMEIMARISHA UCHUMI GEITA KUPITIA UJENZI...
      • HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAPILI JANUARI 25,2026
      • MV NEW MWANZA: MKOMBOZI WA UCHUMI NA BIASHARA KAND...
      • BILIONI 67 ZIMETUMIKA KUJENGA BARABARA NA MASOKO M...
      • HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI JANUARI 24, 2026
      • TUTACHUKUA HATUA KALI KWA WATAKAOTUMIA TAARIFA BIN...
      • MASLAHI YA TAIFA KWANZA: MAPINDUZI YA KIFIKRA NA K...
      • ILALA TUNAJIVUNIA RAIS SAMIA, AMETULETEA MAENDELEO...
      • WANANCHI WA UKONGA WAMSHUKURU RAIS SAMIA KWA KUDUM...
      • HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO ALHAMISI JANUARI 22,2026
      • Tanzia : MUASISI NA MWENYEKITI WA KWANZA WA CHADEM...
      • HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMATANO JANUARI 21, 2026
      • KANISA LA MLIMA WA MOTO LAZINDUA MAOMBEZI YA KUIOM...
      • HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMANNE JANUARI 20,2026
      • HUWEZI KUISHIWA PAWA UKIPANDA MLIMA LOLMALASIN
      • SIMBA WA TERANGA WANG’ARA MOROCCO, WANYAKUA UBINGW...
      • WANA SANTA RC BUNJU WAPIGWA MSASA MATUMIZI SAHIHI ...
      • SAUTI ZA WANANCHI: AMANI NDIO MSINGI WA MAENDELEO ...
      • WAZIRI AWESO ATAKA KAZI ZIFANYIKE USIKU NA MCHANA ...
      • HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAPILI JANUARI 18,2026
      • MCHINJITA AONYA SIASA ZA MIHEMKO, APINGA MIITO YA ...
      • VIJANA 5,746 WACHAGULIWA KUJIUNGA NA MAFUNZO YA UA...
      • WATUMISHI WAPYA TASAC WATAKIWA KUZINGATIA MAADILI ...
      • HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI JANUARI 17,2026
      • HAPA KUNA MKAKATI PEKEE UNAOWEZA KUIFANYA BIASHARA...
      • WANANCHI MSATA WAFAIDIKA NA ZOEZI LA MEDANI LA EX...
      • KWA NINI UNAPOTEZA KAZI KILA MARA? USILAUMU UZEMBE...
      • HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO ALHAMISI JANUARI 15, 2026
      • INAMAANISHA NINI WAKATI HUWEZI KUSHIKILIA KAZI KWA...
      • YANGA BINGWA MAPINDUZI CUP
      • MTOTO WANGU ALICHELEWA KUTEMBEA NA KUONGEA HATUA M...
      • WANAOSEMA 'SAMIA MUST GO' AKITOKA UNAMUWEKA NANI P...
      • MWANAMKE HUYU ANASIMULIA JINSI MGANGA WA JADI ALIV...
      • HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMANNE JANUARI 13,2026
      • Tanzania: IPTL's Patience Pays Off in $168m Disput...
      • BILIONI 6.7 KUBORESHA AFYA YA MAMA NA MTOTO KAHAMA
      • PROF. MKENDA AIPONGEZA LALJI FOUNDATION KUUNGA MKO...
      • MAKAMU WA PILI WA RAIS KUZINDUA MASHINDANO MAKUBWA...
      • HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO IJUMAA JANUARI 9,2026
      • SERIKALI IMEFANIKISHA AJIRA 1400 NJE YA NCHI: SANGU
      • KILA MTU NILIYEMWAMINI ALIISHIA KUNISALITI, HADI N...
      • HAPPY BIRTHDAY MALUNDE!
      • VETA MOSHI YATAJWA MFANO WA MAFANIKIO YA ELIMU YA ...
      • HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO ALHAMISI JANUARI 8, 2026
      • KILA MTU NILIYEMWAMINI ALIISHIA KUNISALITI, HADI N...
      • SERIKALI YASEMA BARRICK NI MFANO WA KUIGWA KWA KUW...
      • START NEW YEAR 2026 WITH GOOD NEWS DOING BUSINESS ...
      • HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMATANO JANUARI 7,2026
      • RAIS MSTAAFU WA DKT. KIKWETE, AZINDUA JENGO LA AFI...
      • RAIS MSTAAFU WA DKT. KIKWETE, AZINDUA JENGO LA AFI...
      • CHADEMA WAJIFUNZE KUTOKA KITABU CHA HESABU: KUKIRI...
      • HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMATATU JANUARI 5,2026
      • SH MILIONI 500 ZA RAIS SAMIA KWA TAIFA STARS NI UW...
      • TAHADHARI: ‘UTANDAWAZI NI CHUI’, TUJILINDE NA UTEK...
      • HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAPILI JANUARI 4,2025
      • SHAMRASHAMRA ZA MWAKA MPYA 2026: AMANI YA TANZANIA...
      • CHIKAMBO AKAGUA MIUNDOMBINU KOROFI MASONYA TARURA ...
      • HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI JANUARI 3,2026
      • WANANCHI KIJIJI CHA LAJA WILAYANI KARATU WAISHUKUR...
      • WAKAZI WA JIJI LA DODOMA WAKISHEREHEKEA MWAKA MPYA...
      • DC NKINDA ACHUKUA HATUA ZA HARAKA KUTATUA KERO YA ...
  • ►  2025 (993)
    • ►  December (73)
    • ►  November (67)
    • ►  October (72)
    • ►  September (92)
    • ►  August (82)
    • ►  July (84)
    • ►  June (76)
    • ►  May (92)
    • ►  April (86)
    • ►  March (91)
    • ►  February (83)
    • ►  January (95)
  • ►  2024 (1017)
    • ►  December (89)
    • ►  November (89)
    • ►  October (73)
    • ►  September (94)
    • ►  August (86)
    • ►  July (85)
    • ►  June (86)
    • ►  May (94)
    • ►  April (92)
    • ►  March (101)
    • ►  February (30)
    • ►  January (98)
  • ►  2023 (1772)
    • ►  December (99)
    • ►  November (101)
    • ►  October (130)
    • ►  September (102)
    • ►  August (150)
    • ►  July (162)
    • ►  June (165)
    • ►  May (178)
    • ►  April (172)
    • ►  March (188)
    • ►  February (162)
    • ►  January (163)
  • ►  2022 (1846)
    • ►  December (173)
    • ►  November (161)
    • ►  October (190)
    • ►  September (188)
    • ►  August (185)
    • ►  July (146)
    • ►  June (116)
    • ►  May (130)
    • ►  April (126)
    • ►  March (120)
    • ►  February (136)
    • ►  January (175)
  • ►  2021 (7035)
    • ►  December (284)
    • ►  November (598)
    • ►  October (641)
    • ►  September (638)
    • ►  August (619)
    • ►  July (616)
    • ►  June (617)
    • ►  May (637)
    • ►  April (581)
    • ►  March (621)
    • ►  February (539)
    • ►  January (644)
  • ►  2020 (7392)
    • ►  December (597)
    • ►  November (589)
    • ►  October (586)
    • ►  September (618)
    • ►  August (680)
    • ►  July (625)
    • ►  June (614)
    • ►  May (591)
    • ►  April (606)
    • ►  March (632)
    • ►  February (624)
    • ►  January (630)
  • ►  2019 (7895)
    • ►  December (611)
    • ►  November (643)
    • ►  October (673)
    • ►  September (664)
    • ►  August (679)
    • ►  July (677)
    • ►  June (619)
    • ►  May (725)
    • ►  April (622)
    • ►  March (477)
    • ►  February (604)
    • ►  January (901)
  • ►  2018 (409)
    • ►  December (388)
    • ►  August (1)
    • ►  July (1)
    • ►  June (2)
    • ►  May (2)
    • ►  April (7)
    • ►  March (2)
    • ►  February (1)
    • ►  January (5)
  • ►  2017 (450)
    • ►  December (1)
    • ►  November (1)
    • ►  October (119)
    • ►  September (7)
    • ►  August (2)
    • ►  July (10)
    • ►  June (23)
    • ►  May (28)
    • ►  April (39)
    • ►  March (16)
    • ►  February (77)
    • ►  January (127)
  • ►  2016 (2803)
    • ►  December (246)
    • ►  November (198)
    • ►  October (274)
    • ►  September (286)
    • ►  August (251)
    • ►  July (233)
    • ►  June (260)
    • ►  May (309)
    • ►  April (210)
    • ►  March (233)
    • ►  February (264)
    • ►  January (39)
  • ►  2015 (1416)
    • ►  December (24)
    • ►  November (102)
    • ►  October (186)
    • ►  September (89)
    • ►  August (80)
    • ►  July (229)
    • ►  June (197)
    • ►  May (61)
    • ►  April (266)
    • ►  March (105)
    • ►  February (50)
    • ►  January (27)
  • ►  2014 (1347)
    • ►  December (21)
    • ►  November (33)
    • ►  October (51)
    • ►  September (43)
    • ►  August (40)
    • ►  July (202)
    • ►  June (287)
    • ►  May (328)
    • ►  April (159)
    • ►  March (61)
    • ►  February (118)
    • ►  January (4)

Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger