INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
JESHI
la Polisi Mkoa wa Arusha linamsaka kwa udi na uvumba, muuza nyama
jijini hapa, Lucas Lomayany Molel (37) mkazi wa Ilboru kwa madai ya
kumuua mkewe wa ndoa, Agnes Lucas (24) kwa kumcharanga na sime kwa kile
kinachoelezwa kuwa ni kutokana na wivu wa mapenzi.
JESHI
la Polisi Mkoa wa Arusha linamsaka kwa udi na uvumba, muuza nyama
jijini hapa, Lucas Lomayany Molel (37) mkazi wa Ilboru kwa madai ya
kumuua mkewe wa ndoa, Agnes Lucas (24) kwa kumcharanga na sime kwa kile
kinachoelezwa kuwa ni kutokana na wivu wa mapenzi.
BABA
wa aliyekuwa msanii maarufu wa filamu Bongo, marehemu Steven Kanumba,
Charles Kanumba ameibuka na kumtaka mama Kanumba, Flora Mtegoa kuacha
tabia ya kuombaomba michango mbalimbali.
Na Mwandishi Wetu
Stori: Waandishi Wetu







Watu wawili wamekufa katika ajali ya barabarani iliyotokea leo katika kijiji cha kwang’andu kata ya mbwewe mkoani PWANI.