Friday, 20 June 2014

FUMANIZI:AIBU MUME AMFUMA MKE WAKE AKILIWA URODA NA RAFIKI YAKE

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY


Mume aliyejulikana kwa jina moja la Ngosha, mkazi wa Mabibo jijini Dar, amemfumania rafiki yake aitwaye Jazira akiwa chumbani na mkewe Jack wakiivunja amri ya sita ya Mwenyezi Mungu.Tukio hilo lilitokea Jumanne iliyopita saa 12 alfajiri ambapo ilidaiwa kuwa Jack alikuwa chumbani na mwanaume huyo ambaye ni mpangaji, wenzake wakipeana maraha.
Imedaiwa kuwa, wawili hao walikuwa wakimtegea Ngosha akitoka kwenda katika shughuli zake, Jazira alikuwa akizama katika chumba cha rafiki yake na kufanya mchezo wa kikubwa.
Wapangaji wenziye na Jack wamedai kuwa, mke huyo wa mtu ambaye ana miezi
Share:

MWANAFUNZI ATUHUMIWA KUMBAKA MTOTO WA KAKA YAKE HADI KUMVUNJA MGUU MKOANI MARA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY


Jeshi la polisi mkoa wa Mara linamshikilia kijana mmoja ambaye ni mwanafunzi wa kidato cha 2 katika shule ya sekondari ya Kemoramba wilayani Butiama, baada ya kutuhumiwa kumbaka mtoto wa kaka yeke mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi kumi, mkazi wa kijiji cha Nyankanga wilayani Butiama.
Share:

JOSE MOURINHO :"AMWAGA MACHOZI AKIFANYA ZIARA AFRIKA", ASEMA FAINI ANAZOTOZWA NA FA ZISAIDIE WENYE NJAA NA MAGONJWA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Observer: Jose Mourinho (right) has been visiting hungry children and HIV patients in the Ivory Coast as a United Nations ambassador for the World Food programme

Muangalizi: Jose Mourinho (kulia) amekuwa akiwatembelea watoto wanaosumbuliwa na njaa pamoja na wagongwa wa UKIMWI nchini Ivory Coast akiwa kama balozi wa Mpango wa Chakula Duniani.
Share:

AJALI MBAYA YATOKEA KATIKA DARAJA LA MTO NDURUMA, JIJINI ARUSHA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Scania mbili zilizogongana na fuso katika daraja la mto Nduruma
Share:

NEC: KUBORESHA DAFTARI LA WAPIGA KURA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Jaji Mstaafu Damian Lubuva (kushoto) akifafanua jambo kwa wahariri wa vyombo vya habari (hawapo pichani) wakati wa semina kwa wahariri wa vyombo vya habari juu ya maandalizi ya uandikishaji wapiga kura nchini, kulia ni Mkurugenzi wa uchaguzi toka Tume ya Taifa ya Uchaguzi Bw. Julius Mallaba.
2_2c151.jpg
Baadhi ya wahariri wakimsikiliza kwa makini Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi
Share:

MH RAIS KIKWETE AKABIDHI BODABODA 10 ARUSHA


President Jakaya Kikwete
Mahmoud Ahmad Arusha
RAIS wa jamhuri ya muungano waTanzania, Dakta,Jakaya Kikwete,jana alikabidhi msaada wa Pikipiki10 kwa chama cha Akiba na Mikopo cha Waendesha Pikipikikatika jiji la Arusha,UWAPA SACCOS, zenye thamani ya shilingi milioni 15.9. 
Share:

AJALI YA BASI LA NEW FORCE , WATEMBEA KWA MIGUU WAWILI WAFARIKI NA WENGINE KUJERUHIWA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh. Abbas Kandoro Muda akiwa katika eneo la Ajali Jana 
Share:

HEMEDY PHD ATAFUTA MKE WA KUOA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

 muna akiwa kwenye pozi tata

Msanii wa filamu nchini Hemedy aka PHD mwenye mikogo kuzidi mabilioni ya Dr dre amesema baada ya kuchafua sana sasa anataka kutulia na kuoa kabisa.
Share:

JAMAA AJINYONGA KWA KUKOSA KODI YA CHUMBA-SOMA HAPA


Marehemu Geofrey Ndibalema (41), mkazi wa Tandika jijini Dar aliyejinyonga kwa kukosa kodi ya chumba.
Share:

Thursday, 19 June 2014

Marehemu Kanali(mstaafu) Ally Hassan Mwanakatwe aagwa Lugalo

Kanali Ally Hassan Mwanakatwe alizaliwa tarehe 05 Julai, 1949 katika Kijiji cha Dareda, Kata ya Dareda, Tarafa ya Dareda, Wilaya ya Babati katika Mkoa wa
Share:

UTARATIBU WA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO 2014

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) imetangaza 
majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano kwa mwaka 2014 ambao 
waliomaliza kidato cha nne mwaka 2013

Wanafunzi waliochaguliwa wanatakiwa kuripoti kwenye shule walizopangiwa kuanzia tarehe 10 Julai 2014
 na mwisho wa kuripoti ni tarehe 30 Julai 2014. Aidha, hakutakuwa na mabadiliko ya wanafunzi kubadilishiwa 
shule walizopangiwa, hivyo wanafunzi wote wanatakiwa kuripoti katika shule walizopangiwa kama
 inavyoonekana katika matokeo haya.
Share:

MUME WA FROLA MBASHA APEWA DHAMANA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Mume wa Flora Mbasha, Emmanuel Mbasha akipelekwa mahabusu ya Mahakama ya Wilaya ya Ilala, Dar.
Share:

AGNESS MASOGANGE USO KWA USO NA CORAZON KWAMBOKA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Daah NOUMA sana, Katika hali ya kufurahisha wadada wanaotikisa  hapa Afrika Mashariki kwa kuwa na maumbo ya HATARI... Corazon kutoka Kenya na Masogange kutoka hapa 255.
Share:

FOLENI DAR:YASABABISHA AMBUNGE KUPANDA BODA BODA



Share:

SOMA MAGAZETI YA LEO

1_05e58.jpg
Share:

TANZANIA YAGUNDUA GESI NYINGINE.


gas_4dbed.gif
Dar es Salaam. Kampuni ya Statoil ya Norway na mshirika wake ExxonMobil wamegundua kiasi kingine kikubwa cha gesi katika Bahari ya Hindi nchini Tanzania.
Share:

Wednesday, 18 June 2014

MPYA:SOMA TAARIFA YA UCHAGUZI WA WANAFUNZI KUINGIA KIDATO CHA TANO HAPA

Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) imetangaza 
majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano kwa mwaka 2014 ambao 
waliomaliza kidato cha nne mwaka 2013
Wanafunzi waliochaguliwa wanatakiwa kuripoti kwenye shule walizopangiwa kuanzia tarehe 10 Julai 2014
 na mwisho wa kuripoti ni tarehe 30 Julai 2014. Aidha, hakutakuwa na mabadiliko ya wanafunzi kubadilishiwa 
shule walizopangiwa, hivyo wanafunzi wote wanatakiwa kuripoti katika shule walizopangiwa kama
 inavyoonekana katika matokeo haya.
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger