
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Halmashauri
ya CCM Mkoa wa Geita imemvua ujumbe wa Mkutano Mkuu, Peter Mwininga
baada ya kudaiwa kukiuka maadili ya Umoja wa Vijana (UVCCM).
Licha
ya kukiuka maadili ya umoja huo, Mwininga anadaiwa kukisaliti chama
hicho wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu uliopita...