Katibu Tawala wa Wilaya ya Mbinga Mkoani Ruvuma Pendo Damas,akizungumza kwenye hafla ya utiaji saini mkataba wa ujenzi wa mradi wa kuboresha huduma ya maji katika kata nane za Wilaya hiyo,katikati Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya majisafi na usafi wa mazingira Mji wa Mbinga(Mbiuwasa)Mhandisi Yonas...
Mbunge wa Jimbo la Madaba Mheshimiwa Joseph Kizito Mhagama akiwapungia mkono wananchi wa kijiji cha Lituta Halmashauri ya Madaba Mkoani Ruvuma
Mbunge wa Jimbo la Madaba Mheshimiwa Joseph Kizito Mhagama akicheza ngoma wakati wa mapokezi yake kijiji cha Lituta Halmashauri ya Madaba Mkoani Ruvuma
Wananchi...