...
Thursday, 27 February 2025
KIKAO CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE CHAFANYIKA RUVUMA

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Ahmed Abbas Ahmed akizungumza na watumishi wa sekta mbalimbali ikiwemo Afya waliokuja kwenye kikao hicho cha mpango harakishi na shirikishi wa tathmini ya mpango wa bajeti ya lishe
Mganga Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Dkt. Louis Chomboko akiwasilisha mpango harakishi na shirikishi...
BALOZI NCHIMBI AWASILI NAMIBIA MSIBA WA SAM NUJOMA

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amewasili nchini Namibia, akiongoza ujumbe wa CCM kwenye mazishi ya aliyekuwa Rais wa Kwanza wa Namibia na Baba wa Taifa hilo, Dkt. Sam Shafiishuna Nujoma, yatakayofanyika tarehe 1 Machi, 2025.
Balozi Dkt. Nchimbi pamoja na...
Wednesday, 26 February 2025
WILDAF YAWAOKOA NA VITENDO VYA UKATILI ZAIDI YA WASICHANA 700 KUTOKA MIKOA YA SHINYANGA NA MARA, CANUCK YAAHIDI KUSHIRIKIANA NAO

Mkuu wa chuo cha ufundi stadi Veta Mwakata Kahama (St Fransis Vacation Center) Father John akipokea zawadi kutoka kwa wahitimu wa mahafali ya 25 ya chuo hicho.
Shirika la Wanawake katika sheria na Maendeleo Barani Afrika(WilDAF) kwa kushirikiana na UN-FPA kwa ufadhili wa serikali ya Finland,...