Friday, 31 January 2025

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI FEBRUARI 1, 2025

...
Share:

Video Mpya : MJUKUU WA MWANAMALONDE - MAITI

Hii hapa ngoma mpya ya Mjukuu wa Mwanamalonde inaitwa Mait...
Share:

Video Mpya : SHINJE ORIGINAL - LENTUMBA

Hii hapa video mpya ya Shinje Original inaitwa Lentumb...
Share:

Thursday, 30 January 2025

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO IJUMAA JANUARI 31, 2025

  Magazeti ...
Share:

ATCL YATANGAZA NAFASI 59 ZA AJIRA KWA WATANZANIA

DAR ES SALAAM – Kampuni ya Ndege ya Tanzania (ATCL) imetangaza nafasi 59 za ajira kwa Watanzania wenye sifa, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuimarisha ufanisi wa uendeshaji na kuendana na kasi ya upanuzi wa huduma zake. Nafasi hizi zinahusisha idara mbalimbali, ikiwemo Uendeshaji wa Ndege, Upangaji...
Share:

Wednesday, 29 January 2025

ELIMU YA URAIA, UTAWALA BORA YAWAFIKIA NEWALA

Na Mwandishi Maalum, MTWARA Mkoa wa Mtwara unatarajiwa kuwa na mafanikio makubwa kupitia mafunzo ya Elimu ya Uraia na Utawala Bora yanayoendelea kutolewa kwa menejmenti za Wilaya,kamati za usalama za wilaya ya Newala na watendaji wa kata. Leo January 29 ,2025 Mafunzo hayo yameendeshwa kwa kujumuisha...
Share:

WATUMISHI THBUB WATAKIWA KUTUMIA MIKUTANO YA BARAZA LA WAFANYAKAZI KUJADILI MAMBO YANAYOLETA TIJA

Watumishi wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) wametakiwa kutumia mikutano ya Baraza la wafanyakazi kujadili mambo yanayoleta tija katika kuongeza ufanisi wa kazi.  Kauli hiyo imetolewa Januari 28, 2025 na Afisa Elimu Kazi Kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Vijana, Ajira...
Share:

WANAHABARI KAGERA WANOLEWA DHIDI YA UGONJWA WA MURBURG

Na Mbuke Shilagi Kagera. Waandishi wa habari wa mkoa wa kagera wamehudhuria semina ya siku moja waliopewa juu ya ugonjwa hatari wa Murburg iliyofanyika katika ukumbi wa ELCT Bukoba Manispaa. Semina hiyo imeongozwa na mgeni rasmi ambaye ni Mkuu wa Mkoa wa Kagera Hajat Fatma Mwassa ambaye ameambatana...
Share:

Tuesday, 28 January 2025

NI ZAMU YA TANDAHIMBA,WIZARA YA KATIBA NA SHERIA HAKUNA KULALA

Na Dotto Kwilasa, MTWARA Leo tarehe 28 Januari 2025, timu ya utoaji Mafunzo ya Elimu ya Uraia na Utawala Bora kwa viongozi imeendesha mafunzo hayo katika Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba kwa kamati ya ulinzi na usalama ya Wilaya. Mafunzo hayo ni sehemu ya juhudi kubwa zinazofanywa na Wizara...
Share:

MKUU WA MKOA WA RUVUMA ATAKA MRADI WA MAJI WA MIJI 28 KUKAMILIKA OKTOBA 2025

Mkuu wa Mkoa Kanali Ahmed Abbas akikagua mradi wa maji katika eneo la Chandamali Manispaa ya Songea wenye gharama ya Sh.bilioni 145. Msimamizi wa mradi wa maji katika eneo la Chandamali Manispaa ya Songea Mhandisi Vicent Bahemana akitoa taarifa ya ujenzi kwa Mkuu wa Mkoa Kanali Ahmed Abbas kushoto,...
Share:

TANESCO YAJITOKEZA KUTOA ELIMU KUHUSU MATUMIZI BORA YA NISHATI YA UMEME KATIKA MKUTANO WA NISHATI AFRIKA

Shirika la Umeme Tanzania, TANESCO, linashiriki katika Maonesho kando ya Mkutano wa Nishati wa Wakuu wa Nchi wa Afrika (African Energy Summit) unaofanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNICC). Mkutano huo umeanza leo Januari 27, 2025 unawakutanisha Wakuu wa Nchi Barani Afrika kujadili...
Share:

ORYX GAS YAWAKUTANA NA MAWAKALA MIKOA YOTE KUWEKA MIKAKATI YA 2025

Na Mwandishi Wetu,Arusha KAMPUNI ya Oryx Gas Tanzania imewakutanisha mawakala wake kutoka mikoa yote nchini katika mkutano mkuu wa mwaka 2025 kwa ajili ya kuweka dira ya kutekeleza majukumu yao ya kuendelea kutoa huduma bora kwa Watanzania sambamba na kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia. Kikao...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger