DAR ES SALAAM – Kampuni ya Ndege ya Tanzania (ATCL) imetangaza nafasi 59 za ajira kwa Watanzania wenye sifa, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuimarisha ufanisi wa uendeshaji na kuendana na kasi ya upanuzi wa huduma zake.
Nafasi hizi zinahusisha idara mbalimbali, ikiwemo Uendeshaji wa Ndege, Upangaji...
Na Mwandishi Maalum, MTWARA
Mkoa wa Mtwara unatarajiwa kuwa na mafanikio makubwa kupitia mafunzo ya Elimu ya Uraia na Utawala Bora yanayoendelea kutolewa kwa menejmenti za Wilaya,kamati za usalama za wilaya ya Newala na watendaji wa kata.
Leo January 29 ,2025 Mafunzo hayo yameendeshwa kwa kujumuisha...
Watumishi wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) wametakiwa kutumia mikutano ya Baraza la wafanyakazi kujadili mambo yanayoleta tija katika kuongeza ufanisi wa kazi.
Kauli hiyo imetolewa Januari 28, 2025 na Afisa Elimu Kazi Kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Vijana, Ajira...
Na Mbuke Shilagi Kagera.
Waandishi wa habari wa mkoa wa kagera wamehudhuria semina ya siku moja waliopewa juu ya ugonjwa hatari wa Murburg iliyofanyika katika ukumbi wa ELCT Bukoba Manispaa.
Semina hiyo imeongozwa na mgeni rasmi ambaye ni Mkuu wa Mkoa wa Kagera Hajat Fatma Mwassa ambaye ameambatana...
Na Dotto Kwilasa, MTWARA
Leo tarehe 28 Januari 2025, timu ya utoaji Mafunzo ya Elimu ya Uraia na Utawala Bora kwa viongozi imeendesha mafunzo hayo katika Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba kwa kamati ya ulinzi na usalama ya Wilaya.
Mafunzo hayo ni sehemu ya juhudi kubwa zinazofanywa na Wizara...
Mkuu wa Mkoa Kanali Ahmed Abbas akikagua mradi wa maji katika eneo la Chandamali Manispaa ya Songea wenye gharama ya Sh.bilioni 145.
Msimamizi wa mradi wa maji katika eneo la Chandamali Manispaa ya Songea Mhandisi Vicent Bahemana akitoa taarifa ya ujenzi kwa Mkuu wa Mkoa Kanali Ahmed Abbas kushoto,...
Shirika la Umeme Tanzania, TANESCO, linashiriki katika Maonesho kando ya Mkutano wa Nishati wa Wakuu wa Nchi wa Afrika (African Energy Summit) unaofanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNICC).
Mkutano huo umeanza leo Januari 27, 2025 unawakutanisha Wakuu wa Nchi Barani Afrika kujadili...
Na Mwandishi Wetu,Arusha
KAMPUNI ya Oryx Gas Tanzania imewakutanisha mawakala wake kutoka mikoa yote nchini katika mkutano mkuu wa mwaka 2025 kwa ajili ya kuweka dira ya kutekeleza majukumu yao ya kuendelea kutoa huduma bora kwa Watanzania sambamba na kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia.
Kikao...