Thursday 19 October 2023

DKT. BITEKO NA NAIBU WAZIRI KAPINGA WAFANYA KIKAO CHA KIMKAKATI

...

Na Mwandishi wetu, Dodoma. 

Leo Oktoba 19, 2023 Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amekutana na kuzungumza na Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga kuhusu Masuala mbalimbali yanayohusu Sekta ya Nishati . 

Hatua hiyo inalenga kuboresha Sekta hiyo nchini ili kupata nishati ya uhakika na inayotabirika.

Kikao hicho kifupi kimefanyika katika ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Bungeni jijini Dodoma.

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger