Monday, 10 October 2022

PSSSF YASHINDA TUZO KUNDI LA HIFADHI YA MIFUKO

...

Kaimu Meneja wa PSSSF Mkoa wa Geita Bw. Kiwamba Saidi akionesha Tuzo waliyoipata baada ya kuibuka mshindi wa tatu katika Kundi la Hifadhi ya Mifuko ya Jamii na Huduma za Bima ya Afya kwenye Maonesho ya tano ya Teknolojia ya Madini yaliyomalizika Oktoba 8-2022 katika viwanja vya EPZA Bombambili Mkoani Geita.
Kaimu Meneja wa PSSSF Mkoa wa Geita Bw. Kiwamba Saidi (wa pili kulia) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya watumishi wa Mfuko huo wakiwa wameshika Tuzo na Cheti baada ya kutangazwa mshindi wa tatu katika Kundi la Hifadhi ya Mifuko ya Jamii na Huduma za Bima ya Afya wakati wa kufungwa rasmi Maonesho hayo Oktoba 8,2022 Mkoani Geita.
Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger