Monday 30 May 2022

WAPENZI WALIOANZA UCHUMBA TANGU MWAKA 1956 WAFUNGA NDOA UZEENI 2022

...

Alex na Jane wakiwa na watoto wao watano
 **
Alex mwenye umri wa miaka 91 na Jane Hamilton mwenye miaka 89 kutokea nchini Uingereza wamefunga ndoa baada ya kudumu kwenye mahusiano kwa miaka 60 na kufanikiwa kupata watoto watano.


Alex na Jane walikutana mwaka 1956, ambapo kila mmoja alikuwa katika mahusiano na mtu mwingine. Baada ya miaka 6 walikutana na kuanza mahusiano yaliyodumu mpaka mwaka 2022, ndipo walipoamua kuwa mke na mume baada ya kudumu pamoja kwa miaka 60
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger