Saturday 14 May 2022

WALIOFUKUZWA CHADEMA WAINGIA BUNGENI

...



Baadhi ya wabunge hao ni Esther Matiko na Salome Makamba

Baadhi ya Wabunge wa Viti Maalum waliofukuzwa uanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) juzi Ijumaa Mei 13, 2022, wameudhuria vikao vya Bunge na kuuliza maswali isipokuwa Mhe.Halima Mdee na Mhe.Ester Bulaya.

Baadhi ya wabunge hao waliingia ndani ya Bunge kwa nyakati tofauti huku Mhe.Ester Matiko, akiwa wa kwanza kuingia akifuatiwa na Mhe.Salome Makamba na wengine waliingia baadaya kikao cha Bunge kuanza huku wengine wakiingia baada ya Bunge kuanza.

Kila mmoja ameingia na wakati wake, tofauti na mara ya kwanza walipofika kwa ajili ya kuapishwa ambapo waliingia wote 19 katika viwanja vya Bunge.
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger