Wednesday 18 May 2022

Picha : RC MJEMA AKUTANA NA WAZEE WA MKOA WA SHINYANGA

...

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema akizungumza na Wazee wa Mkoa wa Shinyanga leo Jumatano Mei 18,2022 katika ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa. Mjema amekutana na wazee wa mkoa wa Shinyanga kwa ajili ya kujitambulisha, kusikiliza changamoto zinazowakabili wazee na kujadili masuala mbalimbali ya maendeleo. Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema akizungumza na Wazee wa Mkoa wa Shinyanga leo Jumatano Mei 18,2022
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema akizungumza na Wazee wa Mkoa wa Shinyanga leo Jumatano Mei 18,2022
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema akizungumza na Wazee wa Mkoa wa Shinyanga leo Jumatano Mei 18,2022
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema akizungumza na Wazee wa Mkoa wa Shinyanga leo Jumatano Mei 18,2022
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema akizungumza na Wazee wa Mkoa wa Shinyanga leo Jumatano Mei 18,2022
Wazee na wadau wakiwa kwenye Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema na Wazee wa Mkoa wa Shinyanga leo Jumatano Mei 18,2022
Mkazi wa kata ya Mwamala Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga Tangawizi Nkani Elias (kulia) akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Sophia Mjema sanamu ya Rais Samia Suluhu aliyochora na huwa anatembea nayo mtaani ishara ya upendo kwa Rais Samia Suluhu Hassan
Mkazi wa kata ya Mwamala Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga Tangawizi Nkani Elias (kulia) akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Sophia Mjema sanamu ya Rais Samia Suluhu aliyochora na huwa anatembea nayo mtaani ishara ya upendo kwa Rais Samia Suluhu Hassan
Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga Simbani Liganga akizungumza kwenye Mkutano wa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema  na Wazee wa Mkoa wa Shinyanga leo Jumatano Mei 18,2022
Mganga Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Dkt. Yudas Ndungile akizungumza kwenye Mkutano wa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema  na Wazee wa Mkoa wa Shinyanga leo Jumatano Mei 18,2022
Mzee Alley Juma akisoma taarifa ya Baraza la Wazee Mkoa wwa Shinyanga kwenye Mkutano wa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema  na Wazee wa Mkoa wa Shinyanga leo Jumatano Mei 18,2022
Mkuu wa wilaya ya Kahama Mhe. Festo Kiswaga akizungumza kwenye Mkutano wa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema  na Wazee wa Mkoa wa Shinyanga leo Jumatano Mei 18,2022
Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Wazee Manispaa ya Shinyanga, Zengo Mikomangwa akizungumza kwenye Mkutano wa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema  na Wazee wa Mkoa wa Shinyanga leo Jumatano Mei 18,2022
Mwenyekiti wa Baraza la wazee CCM Mkoa wa Shinyanga, Ziporah Pangani akizungumza kwenye Mkutano wa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema  na Wazee wa Mkoa wa Shinyanga leo Jumatano Mei 18,2022

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger