Sunday, 31 October 2021

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMATATU NOVEMBA 1,2021

Magazetini leo Jumatatu November 1 2021 Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi 2021 (Matokeo ya Darasa la Saba mwaka 2021 Bofya Hapa Kutazama <<Matokeo hapa>> Ili kuwa wa Kwanza kusoma habari na matukio tunakushauri...
Share:

SIMBA YABANWA MBAVU...YALAZIMISHWA SARE YA 0-0 NA COASTAL UNION

Na Emmanuel Mbatilo - Dar es salaam KLABU ya Simba Sc imeshindwa kufurukuta mbele ya wagosi wa kaya Coastal Union kwenye ligi ya NBC. Simba imelazimishwa sare kwenye mchezo huo ambao ulikuwa mchezo wa aina yake hasa timu zote mbili katika kipindi cha kwanza kucheza kwa kushambuliana japo kwa upande...
Share:

Picha : MAHAFALI YA 23 YA SHULE YA SEKONDARI DON BOSCO DIDIA YAFANYIKA...WAZAZI WAKUMBUSHWA WAJIBU WAO

Wahitimu  wa kidato cha nne Shule ya Sekondari Don Bosco Didia-Shinyanga wakiwa katika picha pamoja. Na Josephine Charles - Shinyanga  Wazazi na Walezi wametakiwa kutekeleza Wajibu wao wa malezi ili kuepusha watoto wasijiingize katika matendo yasiyofaa kwenye jamii. Hayo yamesemwa Oktoba...
Share:

KUTANA NA MTAALAMU WA TIBA MBADALA BABU MWANASIMBA

 ...
Share:

VIBOKO WA PABLO KUTAMBULIWA KISHERIA KAMA BINADAMU

Mahakama ya nchini Marekani imepitisha sheria ya kuwatambua Viboko waliokuwa wanamilikiwa na muuzaji hatari wa madawa ya kulevya nchini Kolombia, Pablo Escobar kama watu, kufuatia kesi dhidi ya Serikali ya nchi ya Kolombia juu ya kuwaua na kuwafanya viboko hao wawe tasa ili wasiweze kuzaliana zaidi...
Share:

MITANDAO YA KIJAMII NA CHANGAMOTO ZA UTOAJI WA CHANJO YA UVIKO-19 TANZANIA

Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog Ugonjwa wa UVIKO-19 umesababisha madhara makubwa kwa watanzania. Athari za ugonjwa huu ni pamoja na vifo, gharama za matibabu, pamoja na kudorora kwa shughuli za kiuchumj. Bahati mbaya, UVIKO-19 hauna dawa mpaka sasa. Njia pekee ya kudhibiti kusambaa kwa maambukizi...
Share:

ATHARI ZA MABADILIKO YA HALI YA HEWA YAENDELEA KUONGEZEKA

Na Dinna Maningo, TARIME. MABADILIKO ya hali ya hewa yamesababisha athari za Kiuchumi na Kijamii huku Serikali ya Nchi ya Tanzania ikitumia fedha nyingi kugharamia majanga vikiwemo vifo,upotevu wa mali,uharibifu wa mazao,mifigo miundombinu ya barabara,maji na umeme. Sekta zote za kiuchumi na kijamii...
Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAPILI OKTOBA 31,2021....HABARI KUBWA MATOKEO DARASA LA SABA

Magazetini leo Jumapili October 31 2021.. Bofya Hapa Kutazama Matokeo ya Darasa la Saba <<Matokeo hapa>> Bofya Hapa Kutazama Matokeo ya Darasa la Saba <<Matokeo hapa>> Bofya Hapa Kutazama Matokeo ya Darasa la Saba <<Matokeo hapa>> Baraza...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger