Sunday 25 October 2020

MAGUFULI AUNGURUMA MANYARA AKINADI SERA ZA CCM NA KUOMBA KURA...."VIJANA WANASEMA TUMETOBOA...NA KWELI TUMETOBOA KIMAENDELEO..TUSIKUBALI KUCHONGANISHWA"

...



NI MAGUFULI DAY: Siku mbili kuelekea Uchaguzi Mkuu, Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli ameendelea kuwafikia Mamilioni kwa Mamilioni ya Watanzania na Kunadi Sera, Ilani ya CCM na kuomba kura kwa Wananchi na Leo ni Zamu ya Manyara ambako amefanya Mkutano Mkubwa uliofana sana pale Babati na haya ndiyo aliyoyazungumza Kwenye Mkutano huo.
#KuraKwaMagufuli2020#T2020JPM

Waziri Mkuu mstaafu Mzee Fedrick Sumaye akizungumza nakumuombea kura mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM Rais Dk. John Pombe Magufuli katika mkutano huo.
Waziri Mkuu mstaafu Mzee Fedrick Sumaye akiwa ameketi na Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Ndugu Rodrick Mpogolo wakishiriki katika mkutano huo wa kampeni uliofanyika mjini babati. 
Picha mbalimbali zikionesha maelfu ya wananchi wakiwa wanamsikiliza mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Rais Dk. John Pombe Magufuli wakati alipokuwa akiwahutubia wananchi hao kwenye uwanja wa Kwaraa mjini Babati.
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger