Wednesday 19 February 2020

Yasemavyo Magazeti Ya Kenya Leo Jumatano February 19

...
1. The Star
Gazeti hili linaripoti kumhusu Stanley Kozlowski, raia wa Marekani ambaye amehusishwa katika sakata ya zabuni feki ya KSh 40 bilioni ya kusambaza vifaa vya kijeshi.


2. The Standard
-Maafisa wa polisi watawahoji wafanyakazi 10 ambao wanahudumu katika ofisi ya Harambee House Annex. Wafanyakazi hao wanakisiwa kuwasiliana na raia wawili wa kigeni waliotaka kandarasi ya kusambaza bunduki na washukiwa wengine waliotembelea ofisi hiyo

3. Daily Nation
Gazeti hili linaripoti kuhusu uagizaji wa samaki kutoka China kuingia nchini Kenya

Licha ya kukataliwa na Idara ya Kukagua Ubora wa Bidhaa Kenya (KEBS), samaki hao kutoka China wana madini ya dawa ya wadudu ambayo husababisha saratani.

4. Taifa Leo
Gavana wa Nairobi anayezingirwa na utata Mike Sonko amekuwa akiendelea na kazi yake kama gavana licha ya Mahakama Kuu kumzuia kuingia ofisini.

5. People Daily
Kulingana na gazeti hili, kiongozi wa Chama cha Amani National Congress, Musalia Mudavadi ameonya dhidi ya kubuniwa kwa nafasi ya Waziri Mku mwenye mamlaka kubwa.


Credit:TukoKenya

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger