Tuesday 18 February 2020

FULL TIME : YANGA SC 1, POLISI TANZANIA 1

...
FT:-Polisi Tanzania 1-1 Yanga
Uwanja wa Ushirika,Moshi
Goal: Tariq dk 41
Goal ;Sabilo dk 71

Zinaongezwa dakika nne
Dakika ya 90 mlinda mlango wa Polisi Tanzania anapewa huduma ya kwanza Dakika ya 71 Sabilo anafunga bao la kusawazisha kwa pasi ya Kaheza aliyepiga kona
Dakika ya 67 Sabilo anatengeneza pasi kwa Pato Ngonyani anafunga bao safi kwa kichwa linakataliwalinakataliwa
Dakika ya 66 Morrison anafanya jaribio linaokolewa na mlinda mlango
Morisson anapiga faulo inaokolewa
Dakika ya 66 Yikpe anaingia anatoka Tariq
Dakika ya 62 Morisson anapiga kona ya tano
Dakika ya 60 Morisson anapiga kona ya nne
Dakika ya 58 Tariq anapewa huduma ya kwanza
Dakika ya 56 Juma Abdul anapeleka majalo yanaokolewa na mlinda mlango wa Polisi
Dakika ya 55 Kaheza anapewa huduma ya kwanza
Dakika ya 54 Tariq anafanya jaribio halizai matunda
Dakika ya 53 Majogoro anacheza faulo
Dakika ya 51 Yanga wanafanya mashambulizi Kwa Polisi linaokolewa
Dakika ya 50 Polisi Tanzania wanafanya shambulizi linaokolewa
 Dakika ya 47 Yanga wanapeleka mashambulizi Polisi

ziliongezwa dakika 2 Dakika ya 41 Tariq anafunga goal kwa pasi ya Morisson
Seif anafunga bao la kuongoza Kwa Yanga
Dakika ya 39 Majogoro anafanya jaribio halileti matunda
Dakika ya 38 Polisi Tanzania wanapiga faulo
Dakika ya 37 Juma Abdul anapiga faulo kwa guu lake la kulia inaokolewa
Dakika ya 32 Kaheza anaonyeshwa kadi ya njano
Dakika ya 31 Niyonzima anamwaga majalo
Dakika ya 30 Morisson anachezewa faulo
Dakika ya 27 Shikalo anaanizisha mashambulizi
Dakika ya 25 Yanga inapiga Kona ya tatu Morrison ndiye anapiga inaokolewa
Dakika ya 24 Polisi wanaanzisha kwenda Kwa Yanga mashambulizi
Dakika ya 23 Niyonzima kwake Tshishimbi
 
Dakika ya 18 Nchimbi anakosa nafasi ya wazi ndani ya 18.Ndani ya dakika 15 timu zote zimecheza Kwa kujiamini na kushambuliana kwa zamu
Dakika ya 15 Kaheza anapeleka mashambulizi Yanga
Dakika ya 13 Juma Abdul alimimina majalo yakakutana na Kichwa cha Morrison kikapaa.
Dakika ya 11 mlinda mlango wa Polisi TanAnia anapewa huduma ya Kwanza baada ya kuokoa Kona iliyopigwa na Morrison


Dakika ya 05 faulo wanapiga Polisi Tanzania
Dakika ya 03 Yanga walipiga kona haikuzaa matunda.

Dakika ya 02 Tariq alifanya jaribio liliokolewa na mlinda mlango wa Polisi Tanzania
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger