Saturday, 14 December 2019

Ndege Mpya Ya Tanzania Kutua Jijini Mwanza Leo Mchana

...
Ndege ya Tanzania aina ya Bombardier Q400 iliyokuwa imekamatwa nchini Canada itawasili nchini leo Jumamosi Desemba 14, 2019 katika Uwanja wa Ndege jijini Mwanza.

Akizungumza na waandishi wa habari jana  Ijumaa Desemba 13, 2019, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongella amesema ndege hiyo itapokewa saa 8 jioni.

Amewaomba wananchi wa ndani na nje ya mkoa huo kujitokeza kwa wingi kushuhudia tukio hilo.


Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger