Friday, 12 March 2021

RAIS KAGAME NA MKE WAKE WAPATA CHANJO YA CORONA

...

Rais Paul Kagame akichanjwa chanjo dhidi ya corona

Mke wa rais wa Rwanda, Janeth Kagame

Rais  wa Rwanda Paul Kagame amechanjwa chanjo dhidi ya Corona ikiwa sehemu ya mpango wa uchanjaji wa taifa zima la Rwanda ambapo zaidi ya watu 230,000 wamepatiwa chanjo hiyo ya kujikinga na Corona.

Rais Kagame na mkewe Jannette Kagame wamepatiwa chanjo ya COVID-19 katika Hospitali ya Mfalme Faisal.

Rwanda inatarajia kupata dozi za chanjo ya corona 1,098,960, aina ya AstraZeneca/Oxford na Pfizer-BioNTech, zitatolewa kwa awamu wa kwanza na wa pili wa mwaka 2021.

Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger