Tuesday 31 December 2019

Vanessa Mdee Amleta Mpenzi wake Tanzania kwa Mara ya Kwanza

...
Msanii Vanessa Mdee  amemleta mpenzi wake ambaye ni muigizaji maarufu wa Nigeria na Marekani, Olurotimi Akinosho ‘Rotimi’   kwa mara ya kwanza katika ardhi ya Tanzania.

Inasemekana wawili hao watafanya show usiku wa leo katika Ukumbi wa Velisas – Kawe Beach. jijini Dar es salaam ambayo ni maalum kwa kuuaga mwaka 2019 na kuukaribisha 2020.


Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger