
Kutokana na NACTE kutangaza kwamba tarehe 5 sep wangetangaza majina ya wanafunzi ambao watakuwa wamechaguliwa kujiunga na vyuo mbalimbali awamu ya pili,hali haikuwa hivyo na kuamua MASWAYETU BLOG kufuatilia swala hili.
Ukweli ni kwamba SELECTION ZIPO TAYARI ,UNAWEZA KU LOGIN KWENYE PROFILE YAKO NA KUANGALIA KAMA UMECHAGULIWA.Kama ikitokea hujachaguliwa tafadhali badilisha machaguo yako kabla ya sep 15 kwani system ipo wazi.
Maswayetu Blog tunakupenda sana.
Kulogin kwenye profile yako bonyeza hapo>>LOG IN NACTE
0 comments:
Post a Comment