Monday 21 September 2015

MAJINA WALIOITWA USAILI TBS SEPTEMBER 2015

...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

 

KUITWA KWENYE USAILI

image Shirika la Viwango Tanzania linapenda kuwatangazia waombaji wa nafasi za kazi zilizotangazwa 25.5.2015 katika kada zifuatazo:
Standards Officer II (Pharmacy),
Standards Officer II (Microbiology and Chemistry)


Standards Officer II (Animal Science) 
Quality Assurance Officer II (Microbiology with Chemistry)
Quality Assurance Officer II (Laboratory Science and Technology)
Inspector II (Food & Biochemical Engineering)
Quality Assurance Officer II (Food & Biochemical Engineering)
Quality Assurance Officer II (Petroleum and Gas)
Metrologist II (Legal and Industrial Metrology)
Metrologist II (Physics)
Chief Procurement Officer
kuwa usaili wa mahojiano utafanyika tarehe 28 na 29 Septemba 2015 katika ofisi za TBS, Ubungo Dar es Salaam.

WASAILIWA WALIOITWA KWENYE USAILI WANATAKIWA KUZINGATIA YAFUATAYO.
Tafadhali bonyeza linki ifuatayo hapo chini kwa taarifa zaidi:
TANGAZO_LA_KUITWA_KWENYE_USAILI_-_TOVUTI_sept_2015.pdf
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger