Saturday 22 August 2015

WAZIRI MKUU MSTAAFU FREDRICK SUMAYE AJIUNGA RASMI UKAWA

...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
 

Aliyekuwa waziri mkuu wa zamani na mwanachama wa CCM, Mh Frederick Sumaye amejiunga  na UKAWA leo. Akizungumza leo na waandishi wa habari jijini Dar amesema ameamua kuondoka CCM kutokana na kutoridhishwa na maamuzi yaliyofanyika wakati wa kumteua Rais atayeikiwakilisha chama cha Mapinduzi (CCM) 

Endelea kutufuatilia kwa taarifa zaidi
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger