Saturday 8 August 2015

MMILIKI WA BLOG AUAWA BAADA YA KUWAKOSOA WAISLAM

...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
 
Aliuawa na kundi la watu walioingia katika nyumba yake kwa madai kuwa walitaka kupangisha chumba katika nyumba yake jijini Dhaka.

Alijulikana kwa kuandika taarifa za kutoamini kuwepo kwa mwenyezi Mungu na kwa kuwakosoa waumini waislamu wenye itakadi kali.

The body of slain blogger Niladri Chatterjee Niloy being taken out of his home in Dhaka's Gorhan on Friday. Photo: asif mahmud oveMkewe aliyesikitishwa na mauaji hayo alisema kuwa Bangladesh kwa wakati huu ni taifa lililoko mikononi mwa Waislamu wenye itikadi kali.

Bi Chatterjee anasema kuwa laiti serikali ingetaka kuwepo kwa uhuru wa kujieleza ingeliwaadhibu waliomwua mumewe.

Hata hivyo Asha Moni alisisitiza kuwa wao pia wana haki ya kuishi nchini humo licha ya imani zao kinzani na ya waliowengi.BBC
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger