Friday 21 August 2015

MAMA ANNA ELISHA MAGWIRA NDIE MGOMBEA URAIS ACT WAZALENDO 2015

...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Chama cha Upinzani cha ACT-Wazalendo kupitia Prof. Kitila Mkumbo kimemtangaza Mwenyekiti wake Mama Anna Elisha Mghwira kuwa mgombea wa nafasi ya Urais kwa tiketi ya chama hicho katika mkutano mkuu uliofanyika Jana , huku mgombea mwenza akiwa ni Hamad Mussa Yusuph, mzawa wa Visiwani Zanzibar.
ACT-Wazalendo kinakuwa ni chama cha kwanza nchini Tanzania kusimamisha mgombea urais mwanamke katika uchaguzi wa maana huu na ni chama cha pili nchini kusimamisha wagombea ubunge katika majimbo mengi nchini ikiongozwa na CCM.
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger